Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Siioni chadema inayotetea maslahi na fikra za watanzania bali inafanyia kazi maelekezo ya wazungu wahuni hivyo tuikatae
1 Reactions
40 Replies
220 Views
Wengi wanetambua kuwa kuvaa mashati na hizo T shirt za Kijani au kuendesha baiskeli za CCM waweza kupata ajali na binadamu wakapita wakikuangalia kama wale mbwa Kokomo wagongwao barabarani na...
6 Reactions
17 Replies
537 Views
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar - Mafunzo kutoka kitabu "Pan-Africanism or Pragmatism?" cha Prof. Issa Shivji https://www.youtube.com/watch?v=AcK2xEIZJN8
1 Reactions
0 Replies
51 Views
Ni wazi usalama wa watu na makazi ya kila mTanzania, ni muhimu zaidi ya uhuru wa kuchchea au kuhubiri chuki, uhasama na migawanyiko nchini, kwa mgongo wa kufanya siasa. Tumpongeze waziri wa mambo...
4 Reactions
21 Replies
120 Views
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, amesema Kama Tanzania kuna hali ya hatari, Mikusanyiko yote ya dini, michezo, mazishi nk, ipigwe marufuku, sio siasa tu...
15 Reactions
68 Replies
1K Views
Huyu jamaa anayejita shekh mbona serikali inamuacha na kauli zake, au anatumika kwenye matukio yao? Na amini angezungumza maneno haya mpizani wa serikali basi kwa sasa angekuwa katika hali mbaya...
5 Reactions
39 Replies
845 Views
Nchi Ina viongozi na wote wameapa kuilinda kuiheshimu katiba ya Nchi kwa hali na Mali, wameapa kuilinda amani ya Tanzania kwa hali na Mali, kwahyo nyie viongozi na wafuasi wa chadema jueni kuwa...
0 Reactions
41 Replies
371 Views
  • Redirect
Ni aibu sana kwa wanasiasa kama Heche na Mnyika kujidai wana misuli ya kupambana na Sheria kwa kutegemea fedha na harakati za watetezi wa ushoga huko ulaya. TII SHERIA BILA SHURUTI
1 Reactions
Replies
Views
Yaani imefika wakati sasa wafanya maamuzi wa siasa za nchi ni Polisi Waziri anasimamisha mikutano ya kisiasa kwa kutumia Polisi kwa kushindwa hoja. Tuombe kesi ya Mama iende haraka tuondokane...
7 Reactions
9 Replies
237 Views
Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi ammwagiza IGP Wambura na Makamanda wa Polisi Mikoa kufungia maeneo yote ambayo yatakuwa na viashiria vya uvunjifu wa amani nyakati za usiku Pia soma...
1 Reactions
2 Replies
130 Views
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Songwe @fatumamnahwate amesikitishwa na namna Viongozi wa Chadema wanavyoeneza chuki na kupakiza uchochezi kwa watanzania kwa maslahi yao binafsi. Fatuma ameeleza kuwa...
1 Reactions
19 Replies
271 Views
Vichwa vitatu vimetosha kabisa kabisa kumsimamisha siasa na miktano ya hadhara STEPHEN WASIRA na vijana wote wa CCM na kama litakuwa jema na wamepatia bila kujua madhara yake hapo badae. Hili ni...
23 Reactions
53 Replies
956 Views
Unajua amani ndo uchumi wenyewe pasipo na amani hakuna shughuli za uchumi, hakuna ajira, hakuna shule, hakuna madawa, hakuna nyongeza za mishahara, hakuna haki ya kuabudu nk. Haiwezekani mtu...
1 Reactions
8 Replies
111 Views
  • Redirect
Tunaishi kwa kutegemea kutembea nje ya nyumba zetu ili maisha yetu yaendelee, hatuna access ya soft money kama nyie wenzetu chadema ambao mnategemea mle kupitia Hela za mabeberu. Kwahyo chadema...
0 Reactions
Replies
Views
Wananchi wameendelea kushuhudia maeneo ya wazi Dar es salaam yakigawanwa na vigogo kama Karanga au Pipi wakiweka showroom za magari na mengine kugeuzwa matumizi kwa kisingizio uwekezaji...
1 Reactions
4 Replies
90 Views
Wote tunajua maana ya neno Tukufu kwamba ni kitu kisafi chenye hadhi ya utakatifu. Rais Benjamin William Mkapa alikataa asiitwe mtukufu rais kwakuwa alijua hadhi na upekee WA neno Hilo. Sasa...
0 Reactions
8 Replies
109 Views
  • Redirect
Uyo mtaalamu wa siasa apo jumba jeupe hafai yawezekana mzee sana au elimu na uelewa wake wa kisiasa ni mdogo sana pia hawezi kunyumbulika kutokana na mazingira,haiwezekani uyo mtu atoe ushauli...
7 Reactions
Replies
Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amekosoa kauli ya Waziri Patrobas Katambi, akidai kuwa haina msingi wa kisheria na kwamba hana mamlaka ya kufuta mikutano ya vyama vya siasa. Kuhusu...
3 Reactions
4 Replies
285 Views
Naona dalili za Muungano kuvunjika zinanukia. Kila kona ya Tanganyika ni minog'ono juu ya Wazanzibari kuwanyonya Watanganyika kwenye kila sekta. Mfano, teuzi nyingi kwa sasa wanapewa Wazanzibari...
1 Reactions
9 Replies
140 Views
Awamu zote hiii awamu kiboko Ina viongozi mzigo kuanzia kitongoji mpka huko juu kwenye mihimili wana uwezo mdogo sana IQ na EQ zao kwakweli zinatia mashaka makubwa sana...
3 Reactions
17 Replies
208 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…