Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki kwenye sala ya Eid El Fitr kwenye msikiti wa Bakwata uliopo Kinondoni jijini Dar es Salaam. Rais Samia ni mpenda...
0 Reactions
1 Replies
353 Views
Habarini wakuu Suala la Chadema kuja na kauli mbiu ya No Reform No Election (NORENE) imetafrisiwa na wananchi wadadisi wa mambo kuwa Chadema wamekujanayo kutoka ng'ambo, mbaya zaidi wamesahau...
0 Reactions
0 Replies
259 Views
Wanavyuo kutoka mkoa wa Dodoma wameazimia kwa kauli moja kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Azimio hilo...
0 Reactions
17 Replies
960 Views
.. Ukweli Ni Kwamba Deni La Taifa,ni deni la kinachoitw Tanzania,kwa Muktadha wa deni la Taifa la Tanzania, Ikumbukwe Zanzibar wana Deni lao kama Zanzibar mwaka jana lilikuwa Trillion moja tu...
3 Reactions
13 Replies
973 Views
Eee! Mola wetu mlezi! Muumba wa mbingu na aridhi, umetuonyesha kwa macho yetu tumeona na sasa twakuomba, Uirehemu nchi yetu, sisi na viongozi wetu na kwamba Ee Mungu wetu, isijirudie tena ya...
10 Reactions
53 Replies
2K Views
Ukitaka kujua CCM haifai na inatakiwa kuondolewa madarakani tembelea nchi zingine na wala usiende mbali, nenda tu hapo Zambia utajifunza yafuatayo 1. Bando la elfu moja Zambia ni Gb 1 na utatumia...
19 Reactions
71 Replies
3K Views
Wakuu, Vituko haviishi, yaani ni mwendo wa kuchapwa na matukio tu! Ikitoka episode moja tunaletewa nyingine kali zaidi iliyoongezwa na pilipili:BearLaugh::KEKLaugh: Uvivu tu wa kuchambua na...
2 Reactions
63 Replies
3K Views
JUMUIYA ya Madola (Commonwealth) imeridhia wito wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan wa kuanzisha mpango maalum wa ufadhili wa masomo wa Commonwealth Julius Nyerere...
1 Reactions
4 Replies
519 Views
Ni Wazi kabisa kwamba siasa za kisasa zinahitaji watu wa kisasa, namaanisha wale waliotoa tongotongo machoni mwao, kwa maana ya watu waliotembea na kuona mambo kwenye mataifa mengine kwa kiwango...
8 Reactions
37 Replies
2K Views
Akiwa jijini Mwanza,Hayati Rais Daktari John Pombe Joseph Magufuli alisema umeme usiotosheleza Tanzania nzima utakuwa historia,aliyasema hayo wakati akifungua kiwanda cha Victoria Moulders...
5 Reactions
13 Replies
915 Views
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amempongeza Askofu wa Jimbo Katoliki Rulenge -Ngara, Mhashamu Severine Niwemugizi kwa maono ya kujenga Kanisa Kuu la Jimbo Katoliki la...
4 Reactions
5 Replies
708 Views
Habari wadau wa JF. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wa 26/4/1964 ulihusisha tukio nyeti ktk historia la kuchanganya udongo wa pande mbili. Mwl Nyerere na Karume ni watu moja wapo waliohusika...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna mtoto wa kiume sitomtaja jina akitokea Singida, anaandaliwa na baba yake kuwa Rais wa nchi hii kupitia CCM 2050. Ni mtoto wa mwisho ktk familia na ana miaka 6 hivi sasa. Wazo la kuwa Rais...
13 Reactions
251 Replies
33K Views
Ikiwa yamesalia masaa machache kuelekea sikukuu ya Eid Al- Fitri ikiashiria kutamatika kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani, Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa...
1 Reactions
1 Replies
405 Views
Habari JF siasa. Nguli wa siasa nchini aliyefubaa kisiasa Mheshimiwa Edward Lowassa, alipoiona kasi ya Rais Magufuli kipindi hicho Rais akiibuka na mambo mbalimbali kama ufichuzi wa ufisadi...
4 Reactions
31 Replies
5K Views
Wakuu, Kwa wanaomfatilia Fred Vunja Bei alishawahi kusema kuwa ana "interest" za kugombea Ubunge, jimbo analotaka kugombea hakutaja na hata kwenye mkutano mkuu wa CCM pia alikuwepo Leo katoa...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa zawadi za vitu mbalimbali kwa watoto na wazee wanaolelewwa kwenye vituo saba vilivyopo mkoani Shinyanga ili nao washerehekee Sikukuu ya Eid el Fitr kwa furaha...
0 Reactions
2 Replies
392 Views
Kwa mujibu wa report ya CAG deni la taifa Kwa miaka minne pekee ya uwepo wa Rais Samia madarakani ni zaidi ya Trilioni 30. Kwa mujibu wa maelezo ya wasemaji mbalimbali wa serikali pesa hizo...
16 Reactions
85 Replies
3K Views
ITOSHE tu kusema, Wakati wa Mungu ni wakati ,ukifika umefika. Licha ya CCM na ngonjera zake zote, Wananchi waamua kwenda na CHADEMA !! https://www.youtube.com/live/pfTT4SvfnVs?si=TU8MLjx9txKwG1HO
14 Reactions
18 Replies
1K Views
Kwa akili na uelewa wa watanzania kwa sasa hawana shida na mabadiliko ya uongozi ,wanachotaka wao ni kula na kulala ?! Watanzania asilimia 97 Wana Imani na ccm. Kwa hiyo kwa nafasi ya urais...
6 Reactions
49 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…