Wewe Angelia watu wote waliofanya Siasa za mafanikio huku Tanganyika ni lazima walipelekwa kwanza Zanzibar kujifunza ndio hawa akina hayati Mzee Mwinyi, mzee Kikwete nk
Chadema na vyama vingine...
Kwa wanaomjua Tundu Lissu na baraka alizonazo hawatapinga hili
Huyu Bwana ana kismart cha ajabu sana.
PAmoja na kwamba yuko lockup leo uchaguzi ukifanyika huyu bwana akapelekewa form aisee...
"Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkataba wake na wananchi mpaka kufika mwaka 2025 haikuwa (kufikisha umeme kwenye) vitongoji, ilikuwa vijiji tu, vijiji imemaliza kabla ya wakati, na kabla ya wakati...
NI kujulishana juu ya Viongozi wa Serikali ,kuanzia Mkuu wa Nchi akifuatiwa na ngazi mbali mbali hadi balozi wa nyumba kumi kumi.
Ni kesi ngapi maarufu za kupotea watu maarufu ,tuwaweke pembeni...
Wanabodi,
Naamini kwamba msimamo wa mahakama kuhusu kesi ya Tundu Lissu ndio utakao tufahamisha kama kweli hana hatia.Ushahidi wa kutosha kutoka upande wa serikali ndio unaoweza kumshawishi...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza...
Prof Janabi anatosha WHO. Nashauri timu ya kampeni iwe na watu wenye exposure ya Kimataifa haswa. Huku Peramiho tunawaunga mkono.
PIA SOMA
- Ikitokea tukapewa nafasi nyingine, Prof. Janabi...
Kamanda Muliro amesema jeshi la polisi linamshikilia Dereva aliyepiga kelele za kutekwa na kusababisha Wananchi kuwashambulia Watumishi wa TRA
Dereva huyo anashikiliwa kwa sababu za kiuchunguzi...
Kwa mujibu wa Sheria za Tume ya Uchaguzi ndugu zetu Chadema wamejiondoa kushiriki Uchaguzi mkuu 2025
Tumuombe Allah wasigombee kweli vinginevyo wanaweza kusumbua sana
CCM tusisahau Siasa ni...
Wasalaam.
Sikiliza mwenyewe.
From Makitaba. Nanukuu "Utasubiri na CHADEMA yako na CUF yako, siku ukipata uraisi na chama chako na mimi nitashika kitabu chako na kukupigia saluti ! Lakini kwa sasa...
Nimewasikia viongozi wa cdm wakihamasisha wafuasi nchi nzima waende kwa wingi Kisutu kusikiliza kesi ya Lissu, lengo hasa ni nini kuita watu wengi wakusanyike kwenye eneo dogo sana la mahakama...
Arusha ni mji wa wafanyabiashara huwenda kuliko miji yote Tanzania
Arusha kila mtu ni mfanyabiashara
Arusha wahuni ni wengi saana
Juzi nipo na wazee na viongozi baadhi waandamizi wa CCM mkoa wa...
Mwenyekiti wa AAFP, Said Soud akiongea na SAUT DIGITAL amesema ni vigumu mtu akikuajiri halafu ukamkataa, ataka tume huru yenye kuweka usawa ili kufanya uchaguzi uaminike kwa wananchi wote na kuwa...
Salaam Wakuu,
Hii imenishangaza na kunistaajabisha sana! Watu waliokuwa wanapokea wageni (ushers) wale ambao walivaa tisheti waliambiwa wakabadilishe au watoke hapo! Inanishangaza sana! Ndio...
“DP tutashiriki uchaguzi na sasa tumeshatoa kalenda na tutakuwa na Mkutano Mkuu wetu tarehe 10/6/2025 na tutaufanya Morogoro. Maana hata Mkutano Mkuu wa uchaguzi mwaka juzi tuliufanya Mogororo,”...
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali,
Kufuatia kuingezeka maradufu wa kasi ya sasa ya maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona, Je, tuendelee kuupongeza msimamo wa rais Magufuli wa ushujaa wa Ka...
Ukiwasikia wanavyojitapa hadharani utadhani ni chama kilichojaa watu mahiri na jasiri, lakini ni chama kilichojaa watu waoga kupindukia.
Sheria wanazotunga nyingi zake ni kwa ajili ya kujihami na...
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence Samizi hachoki wala kupumzika kulipambania Jimbo lake ambapo anafanya ziara kila kukicha na Bungeni anapambana kutafuta maendeleo ya...
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), Dkt. Charles Kitima, amesema kuwa jukumu la viongozi wa dini kukemea maovu katika jamii, likiwemo wizi wa kura na ukiukwaji wa...