Tunaishi kwa kutegemea kutembea nje ya nyumba zetu ili maisha yetu yaendelee, hatuna access ya soft money kama nyie wenzetu chadema ambao mnategemea mle kupitia Hela za mabeberu.
Kwahyo chadema...
Wananchi wameendelea kushuhudia maeneo ya wazi Dar es salaam yakigawanwa na vigogo kama Karanga au Pipi wakiweka showroom za magari na mengine kugeuzwa matumizi kwa kisingizio uwekezaji...
Wote tunajua maana ya neno Tukufu kwamba ni kitu kisafi chenye hadhi ya utakatifu. Rais Benjamin William Mkapa alikataa asiitwe mtukufu rais kwakuwa alijua hadhi na upekee WA neno Hilo.
Sasa...
Uyo mtaalamu wa siasa apo jumba jeupe hafai yawezekana mzee sana au elimu na uelewa wake wa kisiasa ni mdogo sana pia hawezi kunyumbulika kutokana na mazingira,haiwezekani uyo mtu atoe ushauli...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amekosoa kauli ya Waziri Patrobas Katambi, akidai kuwa haina msingi wa kisheria na kwamba hana mamlaka ya kufuta mikutano ya vyama vya siasa.
Kuhusu...
Naona dalili za Muungano kuvunjika zinanukia.
Kila kona ya Tanganyika ni minog'ono juu ya Wazanzibari kuwanyonya Watanganyika kwenye kila sekta.
Mfano, teuzi nyingi kwa sasa wanapewa Wazanzibari...
Awamu zote hiii awamu kiboko Ina viongozi mzigo kuanzia kitongoji mpka huko juu kwenye mihimili wana uwezo mdogo sana IQ na EQ zao kwakweli zinatia mashaka makubwa sana...
Nadhani wafuasi wa chadema huwa Wana high expectations za kisiasa ambazo hazipo nchini.
wanajidanganya na kuamini. Nenda hapo Rwanda hakunaga siasa taka kama za chadema.
Leo mmekesha mnaandika...
Maandamano ya 7/7 Dunia inayamulika mwaaaaa !!.
Kesi yao Iko Active ICC.
Si Katambi Wala Muliro Wala Abdul Wala Yoyote yule aliyetayari kutoa Amri ya Kuua.
Matamko yao ya sasa ni Mbinu za Kuuza...
Ni kweli kabisa Katiba ya JMT inaruhusu watanzania kujumuika na kufanya shughuli za kisiasa kwa mujibu wa ibara ya 21 ya katiba ya JMT.
Japokuwa kuna limititations kwa mujibu wa ibara ya 30 (5)...
Nyie UVCCM kauli za wapinzani zinasumu kwenu?
Vipi kauli zenu nyie CCM na kauli zenu ya kwamba ni kauli za asali sana. Embu kuwe weledi hata kidogo basi
================
Baraza la Umoja wa Vijana...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha reli, shujaa wa Afrika na Jasiri Muongoza...
Jumla ya Wakimbizi 155,811 wanaohifadhiwa katika maeneo mbalimbali nchini wamemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan na Watanzania wote kulinda amani iliyopo nchini...
"Niwaase Watanzania wote kuheshimu misingi ya utawala bora na kuhakikisha kwamba shughuli mbalimbali za kijamii, shughuli mbalimbali za kijamii, kiutamaduni, kidemokrasia za kiuchumi zinazingatia...
Wakati CDM wapo site wanafanya active political maneuver kwa ufundi, utulivu na ubunifu mithili ya pasi mpalazo za Lamine Yamal pale Camp Nou,CCM walikuwa busy maghetoni wanafanya political...
Katiba yetu inatutaka wananchi wote kuilinda katiba ya nchi. Hivyo kila anayetenda au kuelekeza ukiukaji wa katiba, tunatakiwa kumkataa na kujitenga naye kabisa, kwa sababu anatuharibia nchi yetu...
Maendeleo ya kweli yanahitaji uwiano wa kimkakati kati ya kuanzishwa miradi mipya na kuimarisha iliyopo kulingana na uhitaji na mahitaji halisi.
Kulingana na mahitaji halisi ya sasa, watalii...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Balozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), aliyemaliza muda wake nchini Tanzania, Khalifa Abdulrahman...