Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Redirect
Tunaishi kwa kutegemea kutembea nje ya nyumba zetu ili maisha yetu yaendelee, hatuna access ya soft money kama nyie wenzetu chadema ambao mnategemea mle kupitia Hela za mabeberu. Kwahyo chadema...
0 Reactions
Replies
Views
Wananchi wameendelea kushuhudia maeneo ya wazi Dar es salaam yakigawanwa na vigogo kama Karanga au Pipi wakiweka showroom za magari na mengine kugeuzwa matumizi kwa kisingizio uwekezaji...
1 Reactions
4 Replies
90 Views
Wote tunajua maana ya neno Tukufu kwamba ni kitu kisafi chenye hadhi ya utakatifu. Rais Benjamin William Mkapa alikataa asiitwe mtukufu rais kwakuwa alijua hadhi na upekee WA neno Hilo. Sasa...
0 Reactions
8 Replies
109 Views
  • Redirect
Uyo mtaalamu wa siasa apo jumba jeupe hafai yawezekana mzee sana au elimu na uelewa wake wa kisiasa ni mdogo sana pia hawezi kunyumbulika kutokana na mazingira,haiwezekani uyo mtu atoe ushauli...
7 Reactions
Replies
Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amekosoa kauli ya Waziri Patrobas Katambi, akidai kuwa haina msingi wa kisheria na kwamba hana mamlaka ya kufuta mikutano ya vyama vya siasa. Kuhusu...
3 Reactions
4 Replies
285 Views
Naona dalili za Muungano kuvunjika zinanukia. Kila kona ya Tanganyika ni minog'ono juu ya Wazanzibari kuwanyonya Watanganyika kwenye kila sekta. Mfano, teuzi nyingi kwa sasa wanapewa Wazanzibari...
1 Reactions
9 Replies
140 Views
Awamu zote hiii awamu kiboko Ina viongozi mzigo kuanzia kitongoji mpka huko juu kwenye mihimili wana uwezo mdogo sana IQ na EQ zao kwakweli zinatia mashaka makubwa sana...
3 Reactions
17 Replies
208 Views
Nadhani wafuasi wa chadema huwa Wana high expectations za kisiasa ambazo hazipo nchini. wanajidanganya na kuamini. Nenda hapo Rwanda hakunaga siasa taka kama za chadema. Leo mmekesha mnaandika...
4 Reactions
12 Replies
228 Views
Mwanasiasa mzalendo na anaependwa kuliko wote yupo jela. Hilo ni tatizo kubwa
7 Reactions
9 Replies
139 Views
Maandamano ya 7/7 Dunia inayamulika mwaaaaa !!. Kesi yao Iko Active ICC. Si Katambi Wala Muliro Wala Abdul Wala Yoyote yule aliyetayari kutoa Amri ya Kuua. Matamko yao ya sasa ni Mbinu za Kuuza...
7 Reactions
15 Replies
257 Views
Bwana Katambi, Kama CHADEMA inatishia Usalama wenu , Muifute Yanini kunyima Haki CHAUMMA na ACT wazalendo?? Mkifute tu
5 Reactions
9 Replies
187 Views
Ni kweli kabisa Katiba ya JMT inaruhusu watanzania kujumuika na kufanya shughuli za kisiasa kwa mujibu wa ibara ya 21 ya katiba ya JMT. Japokuwa kuna limititations kwa mujibu wa ibara ya 30 (5)...
6 Reactions
6 Replies
246 Views
Nyie UVCCM kauli za wapinzani zinasumu kwenu? Vipi kauli zenu nyie CCM na kauli zenu ya kwamba ni kauli za asali sana. Embu kuwe weledi hata kidogo basi ================ Baraza la Umoja wa Vijana...
1 Reactions
5 Replies
110 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha reli, shujaa wa Afrika na Jasiri Muongoza...
4 Reactions
55 Replies
509 Views
Jumla ya Wakimbizi 155,811 wanaohifadhiwa katika maeneo mbalimbali nchini wamemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan na Watanzania wote kulinda amani iliyopo nchini...
1 Reactions
1 Replies
67 Views
"Niwaase Watanzania wote kuheshimu misingi ya utawala bora na kuhakikisha kwamba shughuli mbalimbali za kijamii, shughuli mbalimbali za kijamii, kiutamaduni, kidemokrasia za kiuchumi zinazingatia...
2 Reactions
17 Replies
289 Views
Wakati CDM wapo site wanafanya active political maneuver kwa ufundi, utulivu na ubunifu mithili ya pasi mpalazo za Lamine Yamal pale Camp Nou,CCM walikuwa busy maghetoni wanafanya political...
0 Reactions
3 Replies
110 Views
Katiba yetu inatutaka wananchi wote kuilinda katiba ya nchi. Hivyo kila anayetenda au kuelekeza ukiukaji wa katiba, tunatakiwa kumkataa na kujitenga naye kabisa, kwa sababu anatuharibia nchi yetu...
0 Reactions
4 Replies
120 Views
Maendeleo ya kweli yanahitaji uwiano wa kimkakati kati ya kuanzishwa miradi mipya na kuimarisha iliyopo kulingana na uhitaji na mahitaji halisi. Kulingana na mahitaji halisi ya sasa, watalii...
4 Reactions
39 Replies
451 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Balozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), aliyemaliza muda wake nchini Tanzania, Khalifa Abdulrahman...
1 Reactions
4 Replies
153 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…