Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Makamanda Shalom! Makamanda juzi niliona lile lilevi Augustino Polepole anapiga mikwala kwenye Clip moja iliyowekwa humu JF Asubuhi naamka najiuliza hivi haya masaa 24 ambayo yametolewa...
7 Reactions
91 Replies
3K Views
Hivi karibuni niliandika nyuzi zilizojikita zaidi kwenye nidhamu na ukosoaji wa matendo mabaya, nyuzi zilizopelekea kupokea jumbe nyingi za huzuni na lawama ambazo zilinihuzunisha sana Nimeona ni...
2 Reactions
53 Replies
1K Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Awali ya "Saint Clemence" ndugu Clemence Kenani Mwandambo, mkazi wa Uzunguni "A" Jijini Mbeya kwa tuhuma za kuchapisha na kusambaza...
8 Reactions
44 Replies
1K Views
Mtu mmoja aliyejitambulisha kama mmiliki wa magari ya Esther Joseph Didas Ngelewiya akiongea na wanahabari hivi karibuni alisema: “Mimi ndiye mmiliki wa mabasi ya Esther Luxury Coach, hivi...
3 Reactions
97 Replies
2K Views
Kijana Jovin Kaaya, Mzaliwa wa King’ori, Wilayani Arumeru Mkoani Arusha, amesimulia safari yake ya kukamatwa, kushitakiwa kwa kosa la uhaini, pamoja na hali na maisha aliyopitia akiwa chini ya...
2 Reactions
9 Replies
248 Views
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema wanaharakati walijipanga kuhamasisha vurugu Oktoba 29, 2025 kwa lengo la kuharibu uchaguzi mkuu ili wasipatikane viongozi na kutoa nafasi ya maandamano...
4 Reactions
64 Replies
928 Views
Ukikaa na watu walioshuhudia tukio ghasia za kuukataa utawala wa rais Samia ile Oktoba 29 mpaka Oktoba 31 utapata picha kamili kuwa watu wahataki kutawaliwa na huu utawala. Watu wameshuhudia...
4 Reactions
17 Replies
256 Views
Tanzanians marked their Independence Day under lockdown, with heavy security, social media restrictions, and unsanctioned gatherings outlawed to stifle expected protests. Recent deadly violence...
9 Reactions
31 Replies
672 Views
Hakuna mtu anayepinga kuwa kulitokea uhalifu kipindi watu wanaukataa utawala wa Rais Samia ile oktoba 29. Lakini swali la msingi je hawa wahalifu walikuwa na siraha za kivita? Shoot to kill...
8 Reactions
30 Replies
439 Views
Tukubaliane maandamano ya October 29, siku ambayo CCM ilishinda kwa asilimia 98% ya uchaguzi huru na haki hayakuongozwa na chama chochote kile cha siasa ilo tukubaliane. Kama hivyo ndivyo ilivyo...
1 Reactions
0 Replies
125 Views
Wamejitungia sheria ili wawezenkutenda maovu/dhambi bila kushitakiwa. Likitokea la kutokea hawa lazima waundiwe court Martial ili HAKI ITENDEKE na wala si kuwaonea. 1. Msoga et al 2. CCM mtandao...
1 Reactions
11 Replies
287 Views
Mchambuzi wa masuala ya siasa na mwanasiasa mkongwe, Said Miraj, amesema serikali ina jukumu lisilopaswa kupuuzwa katika kulinda maisha ya wananchi, akisisitiza kuwa uhai wa mtu ni thamani kubwa...
4 Reactions
5 Replies
200 Views
Bondia Hassan Mwakinyo ameibuka na ushindi dhidi ya Stanley Eribo kutoka Nigeria kwa knock out (KO) katika raundi ya pili tu. Wakati akitangazwa mshindi wa pambano hilo Hassan Mwakinyo...
3 Reactions
24 Replies
746 Views
Badala ya Tume kujenga ukaribu na wananchi ili wapate wanachokitaka wamejipa mamlaka ya upolisi na kuanza kuwafokea. Namshauri huyu Mkiti wa Tume, kuliko kuanza kujibizana na vijana wadogo bora...
20 Reactions
48 Replies
1K Views
List ni ndefu na vichwa ni vingi.. Nina heshima kwa wengine pia nimeona juhudi zao, uwezo wao, maono yao na michango yao.. Kwa hakika ya moyo nimewapa salute yangu kubwa LAKINI naomba niwatambue...
14 Reactions
42 Replies
1K Views
Nyie wote ni mashahidi namna ambavyo humu jukwaani kumejaa hoja za kutetea utekaji, mateso, ufiraji na hata mauaji yanayotekelezwa dhidi ya raia wa Tsnanzania. Mmeshuhudia namna wanavyojenga hoja...
9 Reactions
15 Replies
231 Views
Wakili Jebra Kambole anasema: Mahakama imepanga kusikiliza kesi ya Kupinga Uteuzi wa tume tarehe 10/02/2026 baada ya muda wa Tume kuisha. Bila kujali maslahi mapana ya kesi na kuzingatia hati ya...
10 Reactions
29 Replies
607 Views
Luka 13:32 Yesu akawajibu, “Nendeni mkamwambie huyo mbweha hivi: ‘Leo na kesho ninafukuza pepo na kuponya wagonjwa, na siku ya tatu nitakamilisha kazi yangu.’ Kabla ya uchaguzi, Wati walishasema...
7 Reactions
17 Replies
324 Views
Uongozi wa Samia hautakuwa kama miaka iliyopita na tusahau mambo kurudi kama zamani. Samia amepoteza heshima kwa chama chake, nchi yake na wananchi wake. Nani atamweshimu mtu fake! Yaani ni sawa...
10 Reactions
16 Replies
473 Views
Wameunda tuma ili kujua walio na ushidi ni akina nani, muhusika wa mauwaji na ndie chanzo hawezi kuunda tume kwa lengo zuri.
0 Reactions
4 Replies
108 Views
Back
Top Bottom