Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ile dhambi ilikuwa mbaya sana sana japo Mwamba alishirikishwa binafsi Nilitegemea Polepole angelaani Nawatakia Sabato njema 🙏
0 Reactions
0 Replies
89 Views
Gwaji boy alijua yajayo kwake? Kwa Nini alijenga nyumba na kanisa zenye andaki Ili akifatwa adumbukie dubwiiiii! Na polisi wasimuone?
9 Reactions
25 Replies
2K Views
Watu wa rohoni huu Unabii juu ya hatima.ya Tanzania mnauonaje!
0 Reactions
1 Replies
253 Views
Kwa kuzingatia masuala kadhaa aliyozungumza Ndugu Pole Pole hasa suala la inefficiency in Government na hasa hoja kuwa nyumba haina mwenyewe. Naomba Special Branch inajijua ifanye special life...
15 Reactions
30 Replies
2K Views
Wameingiza baridi "No Reforms No Election" imewapoteza kabisa. Wakubali masharti: 1. Mh. Lissu aachiwe huru na kufutiwa mashtaka yote. 2. Wafanye mabadiliko chanya ya sheria za uchaguzi. 3...
1 Reactions
0 Replies
197 Views
“Kuhusu mambo ya utekaji, siyaungi mkono. Dada yangu ametekwa jana. Mimi napost post ya kwanza, wamesharuka ukuta. Wamemtia pingu dada yangu. Wamempiga vibao”
8 Reactions
31 Replies
2K Views
Kuna taarifa zinasambaa mitandaoni zikisema, vikao vya juu vya CCM vilivyotarajiwa kukaa leo na kesho vimehairishwa ghafla. Je, hatua hizo ni matokeo ya spana za Polepole dhidi ya udhaifu wa CCM...
3 Reactions
11 Replies
728 Views
Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Nilimsikiliza jana Polepole, ni wanaccm wachache sana wanaweza kuchambua mambo kama yeye, na nathubutu kusema kwa dhati kabisa, hata Rais Mama...
0 Reactions
3 Replies
335 Views
Humu ndio home of Keyboard worriors, ambao on the ground wana negative zero impacts. Wanaharakati humu hakuna hata mmoja anaweza tokea kwenye maandamano,ni rahisi sana watu back wasio na acces...
5 Reactions
20 Replies
586 Views
Mwanaharakati huru Bwana Ahmed Kombo amechafukwa na kujitokeza hadharani kumvaa Balozi Humfrey Polepole ambaye ametangaza kujiuzulu wadhifa wake kwa kukosoa baadhi ya mambo ndani ya Serikali yake...
6 Reactions
77 Replies
4K Views
Husika na mada tajwa hapo juu: Tukio alilolifanya Polepole ni ukosefu wa hekima na busara, ni uvunjivu wa Maadili ya mtumishi wa umma, ni kusaliti kiapo chake, ni uongo ni upotoshaji kwahyo yafaa...
4 Reactions
102 Replies
2K Views
Ikiwa wazungu wana nia ya kuikomboa Africa waanze na hili swala . MTU anafunguaje account nchi za ulaya na anaweka mabilioni ya fedha huko. Mshahara wa waziri na Mbunge na wa viongozi wa juu...
7 Reactions
26 Replies
901 Views
Wakati vuguvugu la uchaguzi mkuu likipamba moto nchini kwa nafasi ya urais, ubunge na udiwani, wapiga kura wa Jimbo la Ukonga wamemtaja Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama kuwa ni mtu sahihi...
0 Reactions
12 Replies
760 Views
Ni swala la muda tu wote watajulikana
0 Reactions
16 Replies
697 Views
Ndio maana wanasiasa wengi huwa wanaitwa wachumia tumbo. Watajifanya wanagombea nafasi za uongozi kwa sababu wanaipenda nchi na wananchi lakini inakua ni uongo mtupu, wanataka kujinufaisha tu wao...
6 Reactions
67 Replies
2K Views
Katika huu mwaka wa uchaguzi Kila kipindi CCM ikiwa inapitia hekaheka nzito vyama kama ACT na CHAUMMA navyo Huwa vinaingiza mkia nyuma lakini huko CCM kukipoa ACT na CHAUMMA utawasikia wanapata...
0 Reactions
5 Replies
358 Views
Vyombo vya juu kabisa vya kichama ndivyo vilivyofanya maamuzi sahihi,ndani ya mikutano yake,na kura zikapigwa kizuri zaidi kura zote kwa asilimia 99.8 zikaafiki,na kumsimika,ya kwamba hawa ndiyo...
0 Reactions
26 Replies
1K Views
Niaje waungwana Japo mimi sio mchambuzi mzuri wa mambo ya siasa, lakini nina imani kuwa wengi mtakubaliana na mimi kwamba utawala wa awamu ya nne na ya sita vinafanana sana, sema tofauti ipo...
1 Reactions
7 Replies
644 Views
Watanzani na unafiki ni kitu kimoja. Makabila madogo yanafuata mkumbo. WAHAYA,WACHAGGA,WANYAKYUSA,ngoshaWASUKUMA. Wanaongoza nchi. Ukabila hautakiwi TANZANIA.
0 Reactions
5 Replies
325 Views
Salama Wakuu, sasa nimeamini adui namba moja wa demokrasia na siasa za vyama vya upinzania ni Freeman Mbowe. Wanachama wa CDM wameteswa na wengine kuuwawa na kupotezwa kumbe FAM anajua na...
1 Reactions
1 Replies
266 Views
Back
Top Bottom