Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,339
- 5,664
Wameingiza baridi "No Reforms No Election" imewapoteza kabisa. Wakubali masharti:
1. Mh. Lissu aachiwe huru na kufutiwa mashtaka yote.
2. Wafanye mabadiliko chanya ya sheria za uchaguzi.
3. Mchakato kule kwao ufuate Katiba.
4. Uandaliwe uchaguzi huru, haki na uwazi.
5. Wajiandae kuona Rais anatokea upinzani.
1. Mh. Lissu aachiwe huru na kufutiwa mashtaka yote.
2. Wafanye mabadiliko chanya ya sheria za uchaguzi.
3. Mchakato kule kwao ufuate Katiba.
4. Uandaliwe uchaguzi huru, haki na uwazi.
5. Wajiandae kuona Rais anatokea upinzani.