Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu, Akiwa anazungumza leo kwenye uzinduzi wa dira ya taifa ya maendeleo 2050 Rais Samia amesema kuwa Tanzania itaendelea na sera yake ya kutokufungamana na upande wowote kwani uchumi wa sasa...
0 Reactions
16 Replies
787 Views
Biashara yake ya Kisiasa yote imekufa !! Kwa hakika CHADEMA Sasa ndio chama Cha Upinzani !!
5 Reactions
33 Replies
1K Views
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema dira ya maendeleo ya 2050 inalenga kuipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kujitegemea. Ni safari ngumu na ndefu, lakini inawezekana. Misaada na mikopo ikitumia...
2 Reactions
36 Replies
2K Views
Tuwapongeze akina Gwajima, Heche na wengine kwa kuwaruhusu wasemeseme tu vile wanavyovisema na namna wanavyovisema, maana hayo ndiyo matakwa ya demokrasia za Magharibi. Kama hawavunji sheria...
0 Reactions
14 Replies
557 Views
Siku km mbili tatu kumekuwa na kamata kamata ya wahamiaji haramu wengi sana, ni vipi mipaka yetu hailindwi? Wahusika wako wapi, jeshi la uhamiaji imeenda likizo? Mipaka yetu hailindwi? Usalama wa...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Ndugu wananchi ninapohitimisha napenda kutoa wito na maelekezo yafuatayo kwanza tubadili mtazamo na namna tunavyofanya kazi na kupimana kwani dira 2050 imeweka lengo na shabaha kubwa kufikia...
2 Reactions
15 Replies
568 Views
Raisi akikaa miaka 10 lazima aondoke Hili liende hadi kwa mawaziri na wabunge Kama mtu kakaa bungeni miaka kumi iwe kwa kuchaguliwa au viti maalumu au alikuwa upinzani kama mbunge akaja CCM...
0 Reactions
5 Replies
317 Views
Alhuda Newspaper 17/07/2025 Afrika, Waafrika wajiulize kulikoni • Uzalendo umeondoka, kutumiwa kumetamalaki, uzezeta unachomoza • Utovu wa nidhamu, chuki, ubaguzi miongoni mwa vijana na...
0 Reactions
3 Replies
321 Views
Hii si ya Kukosa Wakuu!!. Wekeni Bando , Samia angekua na namna anataman hata siku hiyo Intaneti izimwe !!. Taarifa zinasema ,Polepole ,Mtumishi wa Mungu asipenda kushiriki Dhambi anaenda...
51 Reactions
113 Replies
7K Views
Yona kwenye Biblia aliambiwa na Mungu nenda Ninawi kahubiri huko watu watubu yeye akaona Ninawi nchi maskini sadaka na mafungu ya kumi na pesa hakuna akaamua aende Tarshishi kwa matajiri...
0 Reactions
3 Replies
182 Views
Wakuu Polepole kaahirisha Mkutano wa Kesho kuipa Nchi usikivu juu ya Uzinduzi wa Dira ya Taifa !! Uzalendo ndio huo, sio kwamba kaahirisha kwakua anamuogopa Rais SAMIA , La hashaa !! Kaarisha...
8 Reactions
35 Replies
2K Views
Prof Kitila UVCCM Waitara UVCCM Dr Mollel UVCCM Chadema asiyekuwa mwanaccm yawezekana na Tundu Lisu tu aliyeingia CCM kukidhi takwa la kikanuni la kujiunga JKT Enzi zetu Kwahiyo Prof...
-1 Reactions
0 Replies
185 Views
Jana EU walikuwa na kikao kwenye bunge lao. Walijadili tawala za kidikteta hapa Africa. Kwa upande wa Tanzania, kumbe Mwigulu Nchemba alidanganya Taifa kuwa Tanzania tutajighalamikia uchaguzi...
17 Reactions
39 Replies
2K Views
Team Kanukuu mambo mengi Amani ya nchi Usalama wa nchi Kuwekeza ktk raslimali watu Sekta ya viwanda kupewa kipaumbele Utekelezaji wa mipango badala ya kubaki na makablasha ya mipango makabatini...
4 Reactions
30 Replies
1K Views
🗣️Tulifuta ujinga tukiwa na chuo kikuu kimoja, lakini hivi sasa tuna vyuo vikuu zaidi ya 50 lakini tuna wajinga wengi.
7 Reactions
6 Replies
528 Views
Hii ilipitishwa pale Ndanda baada ya Shujaa Magufuli kumuuliza Cecil Mwambe imekuwaje yuko Chadema ilhali muonekano wake ni wa kiccm kabisa Cecil Mwambe huku akilia machozi alielezea jinsi...
1 Reactions
5 Replies
456 Views
My Take Kutokana na hulka ya ubinafsi na wivu wa kipuuzi wa mtu mweusi ndio maana Yuko tayari kumfaidisha Mchina ,Mhindi au Mwarabu at the expense ya mweusi mwenzie...
1 Reactions
14 Replies
524 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu anayeshikiliwa na polisi mkoani Ruvuma yupo njiani kusafirishwa kwenda jijini Dar es Salaam. Lissu...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
KUUZA LANGO LA UCHUMI WA NCHI AU KUTAFUTA WANAHISA NI USALITI MKUBWA KATIKA KUVUNJA KATIBA YA NCHI: BANDARI NI MALI ZA WATANZANIA WOTE HATUNA WANAHISA (SHAREHOLDERS) NA HATUHITAJI WANAHISA...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Katiba yetu inasukuma mbele utekelezaji wa Dira ya Taifa 2025? Je, Katiba yetu inadumisha amani na utulivu, nguzo kuu ya dira 2050? Je, katiba yetu inawawajibisha wavivu na wezi wa rasilimali...
0 Reactions
0 Replies
238 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…