Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa kusoma mabadiliko ya mienendo ya Mbowe, tangu alivyopokea kipigo tukufu cha January 21; hautaweza kushangazwa na yeye kwenda kupeana mikono na kupiga picha na Rais Samia. Ni wazi Mbowe...
9 Reactions
30 Replies
1K Views
Nimepitia haraka haraka dira ya maendeleo ya taifa 2025-2050 iliozinduliwa leo na kugundua misingi yake ina hadaa umma wa Watanzania. "Kila mtu anafurahia uhuru, ulinzi wa maisha yake na haki zote...
0 Reactions
9 Replies
476 Views
2015 ndio ulikuwa mwaka pekee wa upinzani kuingia Ikulu na CCM kuwekwa pembeni huku mafisadi yakisubiri kuburuzwa Mahakamani. Lakini kinyume chake ni kwamba mafisadi walizidi kung'ara na...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Kwa mara ya kwanza CCM ilipoona nguvu za CHADEMA ilikuwa mwaka 1994 kwenye chaguzi za Serikali za mitaa na mwaka 1995 kwenye uchaguzi Mkuu. Tangu mwaka 1995 mpaka Sasa CHADEMA imekuwa mwiba...
3 Reactions
11 Replies
761 Views
Rostam anaposema watanzania kampuni yake ya Vodacom hailipi gawio kwa wana hisa pamoja na watanzania kumuwezesha mtaji kupitia kununua hisa Anachoongea yeye mwenyewe hafanyi pamoja na kuwezeshwa
0 Reactions
0 Replies
157 Views
Wakuu, Leo ni siku maalum duniani ya kuadhimisha maisha na legacy ya aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini Nelson Mandela Na ni leo pia nimekuja kujua kuwa huyu mwamba alikuja Tanzania mwaka 1990...
1 Reactions
0 Replies
233 Views
Ee mungu, ee shetani, ee mtoa roho, enyi mizimu ya uzimuni, ee Mungu wa wakristo, ew Mungu wa waislam, ee Mungu wa wahindu na miungu yote kwa ujumla,. Nawaomba kama itatokea siku moja nchi yangu...
3 Reactions
21 Replies
708 Views
Haya maneno ya Polepole yananikumbusha mifano ya utekaji iliyotolewa na Askofu Gwajima ilivyomuhudhunisha P wa Kinondoni Niishie hapo 😄
1 Reactions
5 Replies
822 Views
Nasikia Wenzetu kwenye vyombo vingine tayari wanamsikiliza Kwanini hapa JF bado? 🐼
2 Reactions
5 Replies
326 Views
Kuna kila dalili hiyo press haitafanyika vinginevyo afanye kwa mbinu za Gwajima za kujifanya anaongea na waandishi kumbe ni yeye mwenyewe.. Hata Nape alivyotaka kuongea baada ya kufanyiwa uhuni...
2 Reactions
49 Replies
2K Views
Leo sitomwaga mchele Ila mtambue kuna watu wameajiriwa kwa hiyo.kazi Huyu ndugu yangu muda mwingi alikuwa haendi kazini Ila akienda ilikuwa ni vikao Vya kuua na kutesa . Watu huwa wanafikiri...
6 Reactions
21 Replies
1K Views
Kwanza hongera sana kwa Uteuzi wako. Kama sikosei ulipelekwa Mahakama ya Rufani ukiwa na miaka 60. Hivyo sasa utakuwa Jaji Mkuu kwa kipindi kisichozidi miaka 5 kwa kuwa Katiba ya Jamhuri ya...
6 Reactions
36 Replies
2K Views
Pamoja na mapungufu yake yoote, Nyerere aliona unyeti wa Uhuru wa Mahakama ndo mana aliheshimu sana mapendekezo ya Wanasheria waliopendekeza uwepo wa Ibara ya 107A ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano...
16 Reactions
45 Replies
2K Views
Anaandika Askofu Kalikawe Lwakalinda Bagonza kupitia ukurasa wake wa Facebook: Miaka minne imepita tangu tangazo la kifo cha Rais wa awamu ya tano, hayati JPM litolewe. Kama kilivyo...
13 Reactions
27 Replies
2K Views
Baada ya Polepole kusema kuwa Dada yake amevamiwa na watu waliokuwa wanauliza taarifa na hajulikani alipo, nikaunganisha na Mzee Kibao kutekwa kwenye basi na poisi mchana kweupe na kwenda kuteswa...
0 Reactions
1 Replies
217 Views
Wakuu! Humphrey Polepole ametangaza kusogeza mbele mkutano wake na waandishi wa habari uliokuwa umepangwa kufanyika Julai 17 hadi Ijumaa, tarehe 18 Julai 2025 saa 5:00 asubuhi, ili kupisha...
11 Reactions
83 Replies
6K Views
Jiwe hakupenda kukosolewa, na kila aliyejaribu kumkosoa alikomeshwa na wako wengine waliuawa akiwemo Ben Saanane Kimsingi Askofu wa huko kwao Niwemugizi wa kanisa katoliki , Kanisa ambalo Jiwe...
0 Reactions
3 Replies
447 Views
Donald Trump anaugua ugonjwa sugu wa mshipa, Ikulu ya Marekani ilitangaza siku ya Alhamisi, baada ya siku kadhaa za uvumi kuhusu picha zinazoonyesha michubuko kwenye mkono wa rais huyo wa...
1 Reactions
2 Replies
380 Views
Kwa mambo yanayoendelea Kuna uwezekano kuna sheria zinatungwa serikali kujimilikisha account za viongozi na social influencers, maana yake hata kama account ni yako binafsi, as long as we ni...
1 Reactions
3 Replies
293 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…