Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 140,364
- 280,093
Jiwe hakupenda kukosolewa, na kila aliyejaribu kumkosoa alikomeshwa na wako wengine waliuawa akiwemo Ben Saanane
Kimsingi Askofu wa huko kwao Niwemugizi wa kanisa katoliki , Kanisa ambalo Jiwe alibatizwa alikataa kuwa chawa na akashughulikiwa, lakini ndiye aliyenyunyuza maji ya baraka kwenye kaburi alilozikwa Magufuli.
Mungu Fundi
Pichani: Mh Magufuli akiwa na Meya wa Kinondoni wakati huo kwenye hafla ya uzinduzi wa ujenzi wa Maghorofa, Magomeni Kota
Leo Bonny ni Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani lakini Magufuli ni Marehemu
Ujumbe: Dunia Mapito
Kimsingi Askofu wa huko kwao Niwemugizi wa kanisa katoliki , Kanisa ambalo Jiwe alibatizwa alikataa kuwa chawa na akashughulikiwa, lakini ndiye aliyenyunyuza maji ya baraka kwenye kaburi alilozikwa Magufuli.
Mungu Fundi
Pichani: Mh Magufuli akiwa na Meya wa Kinondoni wakati huo kwenye hafla ya uzinduzi wa ujenzi wa Maghorofa, Magomeni Kota
Leo Bonny ni Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani lakini Magufuli ni Marehemu
Ujumbe: Dunia Mapito