Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu! Hatima ya wagombea waliopenya, kuliwa kichwa kuwekwa hadharani! CCM inatarajia kutangaza majina matatu ya wagombea ubunge na udiwani kwa kila jimbo na kata ndani kuanzia leo, baada ya...
0 Reactions
2 Replies
875 Views
Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, amesema ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakuna utamaduni wa kuvuana nguo hadharani, bali kuna utamaduni wa kukosoana kwa lengo la...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
"Kwangu mimi na wenzetu Watanzania kuahirishwa kwa Kura za Maoni ilikuwa jambo kubwa na la msingi kabisa kwasababu, Katiba inayopendekezwa ilikuwa mbaya" "Naamini Katiba inayopendekezwa na Watu"
3 Reactions
3 Replies
687 Views
Huwezi kumaliza wahuni kwenye nchi au chama weka mifumo bora Polepole anakosea kwa kujali wahuni badala ya mfumo mzima wa nchi wa uhuru na haki
0 Reactions
2 Replies
182 Views
Wakati wa Magufuli Polepole uliwaita mabeberu leo unatumia mtandao wa USA and number ya Miami Florida!!
0 Reactions
17 Replies
745 Views
Inasekana ugomvi baina ya Mpina na viongozi wa CCM Mkoa wa Simiyu ndio chanzo cha jina lake kukatwa katika vikao vya Mkoa. https://youtu.be/qN1T8rrBep8?si=64FCUMgEIb8iIE-T
1 Reactions
1 Replies
293 Views
Sijafurahishwa kabisaa na kitendo cha Mbowe kuungana na CCM kumshughulikia kisiasa Lissu, naamini kabisa haya yote anyopitia Lissu na CHADEMA ni mchoro wa Mbowe moja kwa moja. Wengi...
21 Reactions
55 Replies
2K Views
Balozi Humphrey Polepole ambaye alipanga kufanya mkutano na waandishi wa habari kupitia Zoom Meeting na kushindikana kutokana na changomoto ya kusikilizana, na baadaye alipotaka kutumia YouTube...
7 Reactions
40 Replies
4K Views
Kwa muujibu wa mwanachama nguli wa CCM Humphrey Polepole, utaratibu wa kumpata mgombea wa nafasi ya urais kwa tkt ya CCM ulikiukwa, mbona huyu msajili wa vyama vya siasa ambaye yuko very active...
6 Reactions
23 Replies
1K Views
Polepole pigania mfumo! Dada yako kutekwa ni maelezo tosha!. Wewe ulikuwa mwenezi badala ya kupigania kubadilisha wahuni unatakiwa kupigania mfumo mzima wa nchi ili Dada, Kaka, Mama, na ndugu...
0 Reactions
0 Replies
267 Views
Dira ambayo hailindwi na KATIBA ni sawa na janjajanja tu !!. Kila siku CAG report yake itaonyesha Madudu na Ufisadi mkubwa, na hamna ambaye atachukuliwa hatua !! Uzembe, Uvivu, Ufisadi ...
5 Reactions
3 Replies
342 Views
Nimeisikiliza dira ya taifa ya kuelekea 2050 japo naona haijatutendea haki kwani imetukadiria kwa udogo lkn kama hatutakuwa serious tunaweza tusitoboe. Jambo muhimu ninalopendekeza ili kufikia...
2 Reactions
0 Replies
188 Views
Kila mmoja wetu anastahili kuheshimiwa na kuthaminiwa utu wake, kulindwa na kuhakikishiwa faragha yake. Hapa niseme tuh chini ya Rais Samia Amefanya na anadelea kutekeleza Dira hii ambayo...
1 Reactions
1 Replies
180 Views
Nionyeshe Jimbo hata moja lenye maendeleo maana yake kuwa na maendeleo lina sera mbalimbali bora kabisa hapo jimboni. 1. Huduma bora za afya 2. Sera nzuri ya ajira, hakuna tati la ajira. 3. Sera...
4 Reactions
26 Replies
750 Views
Kumbe Serikali inataka hata kwenye kesi ya Bonny Yai na Godlisten Malissa napo kuwe na Mashahidi wa Siri. Mahakama ya Kisutu ilitupilia mbali hoja hiyo ya Mwendesha mashitaka, Serikali imekata...
17 Reactions
53 Replies
3K Views
0 Reactions
0 Replies
218 Views
Friends and our Enemies, Kipindi kile akiwa mwenezi wa JPM pole pole huyu ambae mimi namuona ni popo,msimamo wake ni kuwa lisu ni kibaraka na anatumwa na wazungu waje kuharibu nchi yetu...
1 Reactions
39 Replies
1K Views
Siku chache baada ya kutangaza kujiuzulu Ubalozi wa Tanzania nchini Cuba na visiwa vya Jirani, Kada wa CCM na aliyewahi kuwa Katibu Mwenezi wa chama hicho wakati wa utawawala wa hayati Rais...
19 Reactions
86 Replies
6K Views
Hiyo ni kanuni muhimu ya uwajibikaji wa pamoja ndani ya CCM Akabidhi KADI ya Uanachama na aende huko anakoona kinamfaa
0 Reactions
23 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…