Humphrey Polepole anaposema mchakato wa kumpata mgombea wa CCM ulikuwa haramu, nadhani anazungumzia mambo kama haya.
👇
Hapa Jakaya Kikwete anaonekana kuongoza kikao cha mkutano Mkuu wa CCM...
Naam wakuu,
Leo ni Jumapili nyingine. Nimezoea kukutana na mnakasha humu JF au kukutana na mabandiko katika makundi sogozi ya WhatsApp yakiambatana na picha yakionyesha Rais alikoshiriki ibada...
Rais Samia amepeleka vijana wengi katika Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), amepanua miundombinu na kuongeza idadi ya vijana wanaojiunga na jeshi kutoka 160,427 mwaka 2020 hadi 190,059 mwaka 2025...
Wakati wazungu wakituhurumia jinsi tunavyopigwa Watanzania, jinsi tunavyokandamizwa, jinsi viongozi wa dini wanavyoshughurikiwa wanapoamua kusimamia kweli, wanasiasa wa vyama vya upinzani na hata...
Huyu Mzee alihudhuria Kesi ya Tundu Lissu Kisutu tarehe 16/7/2025 na alitokea Babati, Ni kiongozi wa Bazecha Babati anaitwa Francis Luumi
Taarifa zinaeleza kwamba baada ya kesi hiyo aliwaaga...
Nyie Mungu ni mwema sana.
Samia na genge lake walipanga mipango mingi sana ya kuiumiza Chadema.
Wakaanzisha migogoro kupitia msajiri na mahakama. Wakaanzisha chama shikizi Ili kuhadaa jamii ya...
MUSTAKABALI WA TANZANIA KATIKA CHANGAMOTO ZA KISIASA NA MCHAKATO WA KATIBA MPYA
Tanzania ni nchi yenye historia ya kipekee katika Bara la Afrika – historia ya amani, mshikamano, na uvumilivu wa...
Mnamo 1990, aliapishwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akichukua nafasi ya Rashidi Kawawa, na kuhudumu hadi 1995 .
Kati ya uteuzi wake, Rais Ali Hassan Mwinyi alimteua kuwa Waziri...
Katika kitabu cha Qur'an, aya ya 80, katika Sura ya 20 inasema:
"Enyi Wana wa Israili! Hakika tulikuokoeni na adui yenu, na tukakuahidini upande wa kulia wa mlima. Na tulikuteremshieni Manna na...
Askofu Dr Malasusa amesema Kiongozi ni lazima aweke gap kati yake na wale anaowaongoza vinginevyo haina maana yoyote ya wewe kuwa Kiongozi
Askofu Dr Malasusa amesema Kiongozi lazima awe na uwezo...
Naomba nitofautiane na watu wengi wanaoshangazwa na Mgombea wa ccm kuanza kampeni miezi 12 kabla ya uchaguzi, unapoanza kampeni mwaka mmoja kabla ya uchaguzi unatoa nafasi kwa Wananchi wakuchoke...
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza orodha ya Taasisi na Asasi 164 zilizopewa vibali vya kutoa elimu ya mpigakura kuelekea Oktoba mwaka huu.
Taasisi na Asasi hizo zitakuwa na jukumu...
Chama kinaisha na kinaibuka chauma kwa kasi na kwa msaada wa serikali watapata viti vichache vya ubunge na udiwani ili wapindue meza na kuwa chama kikuu cha upinzani.
Duniani kote hakuna serikali...
1. Kuzua taharuki ya kiusalama; Makala kusema CHADEMA wanataka kufanya shambulio la kibayolojia la Mpox na Ebola nchini kuvuruga uchaguzi.
2. Malalamiko ya utaratibu wa uteuzi wa wagombea urais...
Itakumbukwa huko nyuma Marehemu Ali H.Mwinyi Raisi aliingiza nchi OIC kinyume cha Katiba , ikapelekea G55 , na mwishowe Mwl aliandika kitabu , uongozi na hatima ya Tanzania na kupelekea J.M...
Katika siasa za ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), jina la Fulgence Lwiza limezidi kupewa uzito mkubwa katika Kata ya Yombo Vituka, Wilaya ya Temeke, jijini Dar es Salaam. Kwa sasa, hakuna...