Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mgombea wa Urais kupitia Chama cha United People Democratic Party (UPDP), Twalib Kadege, amewasili katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi majira ya saa 7:53 mchana, akiwa ameambatana na...
0 Reactions
1 Replies
521 Views
Mgombea Urais kupitia chama cha wakulima AAFP, Kunje Ngombale Mwilu, amesema kuwa chama hicho kitajikita katika kuhamasisha uzalendo pamoja na Amani ya nchi. Kunje ameyasema hayo baada ya...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Duniani kuna mambo. Matrilioni ya uchaguzi yatateketezwa kupiga mhuri wa kura feki kwenye kuhalalisha kumweka mtawala bila kuwajali walipa kodi Analetwa mzanzibar aliyekuwa mgombea mwenza wa...
5 Reactions
21 Replies
902 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jimbo la Kibamba Ernest Mgawe amesema ajenda ya No reforms no Election imeitikisa serikali bila kupepesa, lakini watu wanaibeza ajenda hii...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Bara, Benson Kigaila, ametoa wito kwa watanzania, hususan vijana, kujitokeza kwa wingi kushiriki kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025...
0 Reactions
14 Replies
664 Views
Rais wetu mpendwa! Salaam! 1. Nakupa hongera sana kwa kufika muda wa kuchukua fomu wewe na mgombea mwenza Dkt Nchimbi; 2. Dunia inafahamu wema wako na Serikali iliyopita kupitia msamaha kwa...
3 Reactions
11 Replies
699 Views
Je, huu ndo utendaji wa Jeshi la Polisi? Polisi anajisifia kufanya harassment? Hata siamini.. Naomba Neema asipotezwe.
2 Reactions
10 Replies
766 Views
Kwa mda mrefu sana bodi za wakurugenzi kwenye mashirika ya umma zimekuwa ni sehemu za watu kumalizia uzee nikimaanisha zimekua ni sehemu za wale walio-staafu serikalini wanachaguliwa kwenye hizi...
2 Reactions
23 Replies
790 Views
Mgombea Urais wa Chama cha Makini, Coaster Kibonde, amechukua fomu ya kugombea nafasi hiyo katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), akiahidi kwamba iwapo ataibuka mshindi, kila...
0 Reactions
22 Replies
907 Views
Habari, wakuu, HIvi karibuni, kulitkea DRAMA kati ya Luhaga Mpina na Samina na Bashe, Tukaambiwa tumwachie ana Majuukumu naye, je ndio hayo kwenda ACT?
1 Reactions
14 Replies
838 Views
Kwa jinsi ambavyo nimemfuatilia Ndugu Polepole na kwa jinsi mambo ya kiCCM yanavyoendeshwa ni dhahiri siku wakimkamata ana kesi nzito ya Uchochezi na akikaa vibaya wanambandika Uhaini akapumzike...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Ameandika kwenye ukurasa wake wa mtandao wa X, zamani Twitter
51 Reactions
126 Replies
8K Views
Naomba anayejua “ Kazi maalum “ inayofanywa na ACT wazalendo anielimishe Elimu haina mwisho 😄🙏
0 Reactions
9 Replies
438 Views
Muswada wa Sheria ya kulinda mashahidi ulipelekwa bungeni 2018 wakati Chadema ikipngoza kambi ya Upinzani Maana yake Chadema walishiriki kutunga Sheria inayowatesa Leo Siyo kila kitu tuilaumu...
1 Reactions
13 Replies
683 Views
Kwa uchambuzi wa ripoti ya CAG, Bw. Job Ndugai alikaa India kwa miezi mitano, sawa na siku 150. Kwa siku moja alilipwa posho ya dola 500 sawa na Sh. 1,160,100.00, na hivyo kwa miezi mitano...
72 Reactions
182 Replies
32K Views
Umeifanyia mengi nchi hii Mpaka unastaafu ulikuwa Rais bora kabisa Uliwabeba wapinzani na kuimarisha demokrasia Kujiataach na utawala huu watu wameanza kukuchukia Nachelea kusema mazuri yote...
56 Reactions
211 Replies
9K Views
Anaandika anasema "Like seriously unaenda kuteketeza Tsh. 700+Billions kuingia kwenye uchaguzi kushindana na hawa‼️⁉️ Kweli Mama hao ndio washindani wako na unapata amani kuingia madarakani? Na...
43 Reactions
80 Replies
5K Views
Hii ni mbinu adhimu sana, navisihi vyombo vya ulinzi na usalama viitumie kusambaratisha wahuni. Najua kuna watu wao huko kwenye vyombo, lakini najua upo uwezekano wa kutekeleza hili ili taifa...
1 Reactions
0 Replies
187 Views
Sheria za kindezi zilitungwa kuwanufaisha wenzi wa viongozi wa juu wa nchi pale viongozi wale wanapokufa. Sasa ngoma imeanza kuwa nzito baada ya kifo cha Ndugai, na kuibuka kwa wajane wawili...
16 Reactions
135 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…