Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwanza kabisa nitoe shukrani kwa kanisa katoliki, limekuwa mstari wa mbele kupaza sauti lakini kwa bahati mbaya sauti hiyo masikioni mwa walengwa ni kama kelele tu, wanaendelea kufanya wanachotaka...
9 Reactions
65 Replies
3K Views
Nikiwa Rais wa Tanzania kutaanzishwa hii taasisi ya kupigania maslai ya kiuchumi, rasilimali Tanzania tofauti na usalama wa Taifa ambao utaendelea na jukumu lake la kulinda viongozi Hii taasisi...
0 Reactions
5 Replies
308 Views
Wasanii kibao kutoka tasnia mbalimbali wakiwasili Mlimani City jijini Dar es Salaam kunakofanyika uzinduzi wa harambee ya kuchangia kampeni za CCM kuelekea uchaguzi mkuu.
2 Reactions
48 Replies
2K Views
Nauliza tu maana haya mambo ndio yanasababisha tushindwe kuujaza Lupaso Mlale unono 😄🙏
0 Reactions
11 Replies
558 Views
My Take Wale Mliokuwa mnasema Zenj wanatumia umeme wa Bara Bure Sasa mumefungwa midomo. Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameupiga mwingi katika sekta ya nishati ya umeme visiwani...
3 Reactions
38 Replies
2K Views
Afrika kote tunafanana kwa tabia zetu za kizombi. Siasa Safi inawekwa Kapuni na wachache. Watu wanapiga bila kupingwa. NB: poleni FRELIMO, SWAPO na Vyama vyote rafiki.
1 Reactions
5 Replies
584 Views
Katika kipindi cha miaka 5 ndani ya Jimbo la Kawe nimejenga ofisi za chama 42 halafu mtu anasema siipendi CCM, ila mimi naipenda CCM sio awo wanaongea kwa maneno tu. Ndio maana sitaki kuiona CCM...
3 Reactions
6 Replies
730 Views
Habari wanabodi, Hii habari kwangu imenishangaza hasa nilipomsikia Raisi Magufuli akisema kwa kujiamini kabisa kwamba hakupokea hata shilingi moja kama mchango kutoka kwa mfanyabiashara yeyote...
1 Reactions
126 Replies
13K Views
Huwa hawakurupuki kufanya Jambo lao Ni kanisa lililojaa majasusi mpaka wavaa baragashia. Hawa ndio serikali kubwa kuliko zote duniani. Hawana ndio wanashikilia uchumi wa dunia kupitia kupitia...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Sijawahi kumsikia Rais John Pombe Magufuli akitamka kuwa anawachukia wafanyabiashara na wawekezaji. Nachojuwa mimi ni kwamba Mh. Rais hapatani na wafanyabiashara wasio waaminifu, wasio lipa kodi...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kaimu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema chama hicho kitamuenzi marehemu George Mwingira, maarufu kama MC Mwingira kwa kuzifanya nyimbo zake kuwa hazina ya chama hicho. MC Mwingira...
0 Reactions
2 Replies
421 Views
Sitaki nikuinfluence, toa maoni yako.
3 Reactions
6 Replies
379 Views
Tuliona Kipindi Lema akiwa Mbunge alivyopata misukosuko hapo Arusha, wengine tulidhani ni kwa sababu ni Mbunge Kutoka Chama Cha Upinzani! Akaja Gambo na Mongella baadae Makonda, Hawa wote ni...
0 Reactions
1 Replies
368 Views
Champezi Hassan Mwakinyo Umegusia jambo muhimu sana katika harakati; Tundu A.M Lissu kujitetea Mahakamani katika mashtaka ya uhaini, wakati huo; Tundu Lissu anafundisha jumuiya yote kuanzia...
12 Reactions
24 Replies
2K Views
Kama ni kweli hii inapaswa kuwa alarm kwa kila anayejiingiza kwenye hii kesi ya mchongo hasa wale mawakili na wanaowatuma
25 Reactions
136 Replies
11K Views
Kwa mshangao mkubwa waliodhani jahazi lake lazama hali imekuwa kinyume kwani chombo chazidi kukata mawimbi kikisonga mbele kwa kasi kubwa. Kwa bahati mbaya ambacho hawakujua Nahodha ni...
1 Reactions
4 Replies
386 Views
USHAURI Gwajima amesema kuwa ameshauri mara nyingi, na anashauri tena. Askofu Gwajima amesema kwamba nchi imegawanyika sana, na mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kukubali kwenda kwenye...
9 Reactions
16 Replies
973 Views
Mbunge wa Nzega vijijjini mh Dr Kigwangala amesema angekuwa kwenye research au Chuo kikuu angeshakuwa Professor Lakini sasa alipo anaishia kutukanwa tu na Vijana wadogo Dr Kigwangala amelalama...
13 Reactions
77 Replies
6K Views
guest-1787677395
Hiki ni kile nilichokishuhudia kwa macho yangu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na kilichofanyika kwenye so called kuhuisha/kuandikisha wapiga kura wapya. Ni hivi, Mwitikio wa watanzania...
7 Reactions
25 Replies
1K Views
"Watu wa Kilwa na Watanzania, ninaomba mniamini, niligombea nafasi ya umakamu kipindi kile nikiwa CHADEMA, leo hii nimeaminiwa kwenye nafasi ya Urais, naomba mniamini kunipeleka Ikulu kijana wenu...
0 Reactions
8 Replies
376 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…