Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wana jamii hili suala la kumleta mchungaji janja janja kama Hananja ni dalili za kupotea na kutokujua unachofanya. Let be honest ivi kweli mtu unamleta mchungaji Hananja ndo aje kuombea ufunguzi...
0 Reactions
2 Replies
493 Views
Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha, Amos Makalla ameomba ushirikiano kutoka kwa viongozi na wananchi ili kuendeleza shughuli za kiuchumi zikiwemo sekta ya utalii na kilimo cha maua na mbogamboga...
0 Reactions
3 Replies
525 Views
Huyo mzee anayekuwa anapeleka bahasha nilimjua kwa jina si vema kutaja alitumwa na nani ! I Niliandika Twitter Pitia 👇🏾
12 Reactions
61 Replies
6K Views
Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi ,INEC, imemuondoa Peter Yohana Mgombea wa Chama cha NRA katika Nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Mbarali, mkoani Mbeya, baada ya kushindwa kurejesha fomu ya kuteuliwa...
0 Reactions
0 Replies
220 Views
Wakati nimempa Mwaliko bwana mdogo ameniuliza Swali akasema hiv Mimi na Pascal Mayalla hatuwezi kumpa majibu? Akauliza maswali magumu kidogo 1.Hivi Rais akiwa anatibiwa walinzi wanakuwa wapi? Je...
8 Reactions
42 Replies
5K Views
GT Siongezi neno jionee mwenyewe
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Ukweli mchungu ni kuwa, hawa watu wameshafanya makosa mengi sana yakiwemo ya jinai kama vile tuhuma za wizi na ufisadi, mauji,kuteka na kupoteza watui na nyingine nyingi. Hivyo, si rahisi kwa wao...
14 Reactions
46 Replies
2K Views
Hivi TUGHE hamzioni barua za vitisho toka kwa waajiri kuwalazimisha watumishi na wanafunzi kuhudhuria mikutano ya kampeni ya mgombea wa CCM? Barua za waajiri zinawataka watumishi kuhudhuria...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Hongera Sana CHADEMA na pia poleni Sana na changamoto mnazopitia . Mimi kama mwananchi, nimeona niwape ushauri ambao unaweza kuwapeleka nchi ya ahadi ikulu . Kwa hapa mlipofika mmekwama kisiasa...
2 Reactions
12 Replies
737 Views
Akihutubia kampeni katika Viwanja vya Tanganyika Packers, Rais Samia Suluhu Hassan alisema ujenzi wa kiwanda cha mbolea cha ITRACOM Dodoma, chenye uwezo wa kuzalisha tani 1,000,000 za mbolea kila...
0 Reactions
26 Replies
1K Views
Wakuu! Mgombea wa Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan yuko mkoani Morogoro akiendeleza kampeni zake ambapo jana Agosti 28, 2025 zilizinduliwa rasmi Kawe, jiji Dar es Salaam...
0 Reactions
12 Replies
581 Views
Habari Tanzania ! Eti mpenzi unaonaje, Wagombea waliothibitishwa na Vyama vyao na Tume ya Uchaguzi wapewe vyombo vya usafiri hoja kubwa ni; Wanatumikia umma. Hii itachochea wagombea kujitokeza...
0 Reactions
6 Replies
342 Views
Wakuu! CNBC Africa wameandika kuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewazuia wagombea wa Vyama vikubwa vya upinzani kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, hatua inayomwacha Rais Samia...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Mambo vipi wanajf jobless nakuja tena kutabiri,,,ukiangalia mwelekeo wa maendeleo ya taifa chini ya uongozi wa Rais Samia katika miaka mitano ijayo, ebu ngoja nigusie vitu vifuatavyo watu au wenye...
0 Reactions
0 Replies
500 Views
==Ndugu Wananchi, akizungumza na wananchi mkuu wa mkoa wa Katavi Mhe Mrindoka amesema sekta ya kilimo katika Mkoa wa Katavi inachangia asilimia 90 ya pato la Mkoa na kuajiri asilimia 85 ya...
1 Reactions
5 Replies
480 Views
Dar es Salaam, Tanzania – Uzalishaji wa mazao ya chakula nchini umeongezeka kutoka tani milioni 17.1 mwaka 2021 hadi kufikia tani milioni 22.8 mwaka 2024, ongezeko linaloashiria jitihada za...
0 Reactions
2 Replies
437 Views
Wakuu, Mahakama Kuu Kanda ya Manyara yafuta amri ya Msajili wa Vyama Vya Siasa ya kuzuia Ruzuku ya Chadema na kutowatambua Katibu Mkuu, Manaibu wake na Wajumbe Watano wa Kamati Kuu...
17 Reactions
113 Replies
8K Views
Nimeona hii clip, wenyeji wa huko tuambieni kama ishu ina ukweli hii? ====================================== Wakizungumza na Wawakilishi wa Mbunge wa Jimbo la Namtumbo, Vita Rashid Kawawa...
4 Reactions
72 Replies
6K Views
Dar es Salaam, Tanzania – Bajeti ya Wizara ya Kilimo imeongezeka kutoka Sh. bilioni 294 mwaka 2021 hadi kufikia Sh. trilioni 1.242 mwaka 2025, ongezeko la Sh. bilioni 948 sawa na ongezeko la 322%...
1 Reactions
3 Replies
434 Views
Rais Mstaafu wa Tanzania na Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema utaratibu uliotumika kumuidhinisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM...
1 Reactions
7 Replies
584 Views
Back
Top Bottom