Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Arusha miaka kadhaa nyuma ilikua ngome ya chadema Leo hii ni ccm damudamu Fullstop, kwishaaaa
4 Reactions
113 Replies
5K Views
Tulishuhudia kwa Magufuli 2020 Walioshinda kura za maoni hawakuteuliwa, wakaja kuteuliwa mpaka walioshika nafasi ya tano..!!! Imefika 2025, Samia nae hivyohivyo, Wagombea walioshinda wamekatwa...
1 Reactions
2 Replies
346 Views
WATANZANIA VIGEU GEU SANA nI SISI TUMEKUWA TUKILALAMIKA VIONGOZI WAMEKUWA VINGANGANIZI HAWATAKI KUPUMZIKA TOKA JANA NAONA MITANDAON KILA MTU.UMMY OOR UMMY. OOH WANANCHI WAMERUDISHA KADI...
3 Reactions
38 Replies
1K Views
Hellow! Ushauri huu ni mzuri, Hawa wastaafu wa Tra kwa mfano, wakistaafu, wafungue pia biashara zile zile walizokuwa wakiwabana wenzao walipe, nao iwahusu. Ameshauri wastaafu serikalini ifike...
12 Reactions
125 Replies
4K Views
Mwamba aliipatia Sana kila mara akiongea lazima achomekee Dakta Mama yetu. ila ndo vile kapigwa pin
8 Reactions
18 Replies
1K Views
Link Down Below https://www.youtube.com/watch?v=tcNQ0ZEdV8c Rostam Aziz anamiliki hisa katika kampuni kadhaa zinazojihusisha na uchimbaji madini ya makaa ya mawe, hasa kampuni yake ya Taifa...
15 Reactions
70 Replies
5K Views
Kila mwenye kitambulisho cha NIDA anapaswa kuwa Afisa kipenyo kwa utekelezaji wa Ilani ya Chama katika ngazi husika (Kata, Jimbo na Taifa).
0 Reactions
0 Replies
162 Views
Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa dawa ya kutibu na kujikinga na ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona uliotolewa kwa Tanzania na Nchi ya Madagascar, Msaada huo...
18 Reactions
414 Replies
43K Views
Ndugu zangu Watanzania, Mheshimiwa Ummy Mwalimu ambaye alikuwa na amehudumu katika wizara mbalimbali hapa Nchini ikiwepo Wizara ya Afya .ambayo alikuwepo kama Waziri wake mara ya mwisho kabla ya...
0 Reactions
66 Replies
3K Views
Moja ya sababu kubwa iliyofanya Ole Sendeka, Fred na Ole Shangai kupewa mgongo na kamati ni msimamo wao kuhusu suala la kuhamishwa kwa jamii ya Maa Ngorongoro. Mwaka 2015 wilaya ya Ngorongoro...
8 Reactions
39 Replies
2K Views
Mughonile! kanisani leo tumesoma Yohana 17:22-23, ambapo Yesu anaomba kwa Baba: "Nimewapa utukufu ambao Umewapa mimi, ili wawe wamoja kama sisi tulivyokuwa wamoja mimi na Wewe, Mimi ndani yao na...
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki amefanya mazungumzo na Bw. Ando Naoki, Makamu wa Rais wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan...
0 Reactions
1 Replies
294 Views
Na Ummy Mwalimu kutoka kwenye ukurasa wake mtandao wa Instagram Alhamdulillah ala kulli hal. Nimepokea uamuzi wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kwa moyo wa shukrani. Quran Tukufu...
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Wakati vyombo vya habari hapa nchini vikisuasua kuhusu mlipuko wa bomu lilosababisha vifo katika mkutano wa CHADEMA jana, hizi ndizo habari zilizoandikwa na magazeti ya nchi za nje...
6 Reactions
47 Replies
6K Views
Kiukweli baada ya operesheni 255 , Matumaini ya Watanzania wengi yameongezeka mno! Cha kufurahisha ni kwamba Hata wenzetu wana Usalama nao wameanza Kutabasamu. Ama kwa hakika Tanzania mpya...
41 Reactions
111 Replies
10K Views
Sasa hivi tumeona wimbi la wachimbaji wadogo na wa kati kutoka Zanzibar, siyo wachimbaji tu, hata polisi waliopo sasa hivi hapo Mererani ni wazanzibari, Samia na familia yake wanahusika kwa kiasi...
6 Reactions
23 Replies
1K Views
Chadema itakuwa wapinzani wa Kweli pale Tundu Lisu atakapokuwa huru na kufurusha mapandikizi yote akina Wenje nk kisha kuijenga Chadema Mpya kama shujaa alibyoijenga CCM Enzi zake Kama Tundu...
0 Reactions
0 Replies
162 Views
"Chama chetu kimetekwa, lakini bado tunaendelea kuwatia moyo hasahasa mwenyekiti wetu afanye mageuzi makubwa ya Chama cha Mapinduzi, atuondolee kundi la wanamtandao kisha atuwekee mchakato mpya...
1 Reactions
6 Replies
529 Views
Salaam! Je, ni sawa kupanga kujenga mnara pasipo kukaa chini na kupiga hesabu juu ya gharama zake? Siasa ni sayansi, je ni sawa chama Cha siasa kumpitisha mgombea asiyekubalika ,asiyekidhi...
2 Reactions
10 Replies
514 Views
Nyinyi tuunganisheni Nguvu wote na Kanisa, Tuwafurumushe Hawa wahuni Fikiria wewe ni mwanaCCM, umepiga kura, Mgombea wako kashinda Kwa Kura nyingi Alafu Wanamtandao kutoka Halmashauri Kuu...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…