Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu habari, Nimegundua tu CCM wana akili sana na wanawaza kimkakati zaidi Tunaweza kuona chawa hafai kuwa kiongozi, lakini wao wametumia ushawishi wa uchawa katika siasa na kuangalia wingi wa...
0 Reactions
7 Replies
637 Views
Akizungumza Jumapili Agosti 24, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole alipendekeza kuwepo kwa sheria ya kuwawajibisha viongozi kwa matendo wanayofanya wawapo madarakani. Je...
1 Reactions
1 Replies
561 Views
Masoud Kipanya anasema ''ngoja tuunde chama cha waliokatwa - CCW'' Soma pia: Ni vigumu watu wote 27 waliokatwa kutulia na kukubali matokeo
0 Reactions
1 Replies
236 Views
Wilayani Tanga, hali ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imefikia kiwango cha juu cha mvutano baada ya wanachama wa chama hicho kuandamana kwa umakini na kutangaza kurejesha kadi zao za uanachama...
4 Reactions
58 Replies
4K Views
Anayepita njia ya haki tutamfuata na kumsikiliza,kwa maana njia ya haki ni njia ya Mungu,kwa anayoyaongea Ndugu Polepole ni haki ya Watanzania ambayo imeporwa hivyo basi tutamuunga mkono Ndugu...
3 Reactions
3 Replies
253 Views
Aliyekuwa Mbunge wa Tanga Mjini Ummy Mwalimu Ummy ametupwa nje na chama chake cha CCM kugombea kwa awamu nyingine jimbo la Tanga Mjini na nafasi yake imechukulia na Kassim Baraka
6 Reactions
63 Replies
7K Views
Wakuu, Haya sasa waliochangia kampeni wameanza kufoka huku, ila tunajua hii ni njaa tu baadae waweze kujitwalia fedha bila tozo ----------------------------- Wachimbaji wa Wadogo wa Madini...
0 Reactions
4 Replies
421 Views
Wakuu, Polepole kakataa rasmi kuitwa Balozi
2 Reactions
2 Replies
548 Views
Kizazi cha ndugu zetu kilichokuwa na akili kidogo ni kile cha kina Gamal Abdel Nasser aliyekuwa Rais wa Misri miaka ya 1960. Kizazi hiki ndo the Golden Generation ya hawa ndugu zetu. Pamoja na...
18 Reactions
216 Replies
5K Views
JIMBO LA VUNJO JAMBO NI MOJA TU LEO...ENOCK KOOLA KUCHUKUA FOMU!! Wana Vunjo wote na Watanzania kwa ujumla, jambo kubwa limewadia! Leo tunapiga mbiu ya mgambo: Kipenzi cha Wanavunjo, Enock Koola...
0 Reactions
0 Replies
471 Views
Wakuu, Ukiangalia mambo yanayoendelea nchini ni kuwa kila kitu kimetimia kwenye kuwasha moto, yaani kuni zimewekwa za kutosha utafikiri tunataka kumuua shetani mwenyewe, na kuni zina hali nzuri...
3 Reactions
4 Replies
346 Views
Ukisoma kitabu cha Mkapa My life my purpose . Ameelezea mambo mengi Ila kubwa kuliko kazungumzia , Kuhusu tume ya huru ya uchaguzi. Na akasema Kama angeweza kurudisha miaka Nyuma angehakikisha...
2 Reactions
2 Replies
458 Views
Balozi anasema usafiri wa kwenda na kurudi upo. Hivyo anatafuta watu wa kujaza magari ya kwenda kwenye ufunguzi wa kampeni ccm kuelekea uchaguzi mkuu wa oktoba. Wakazi wa dar es salaam mmekumbana...
8 Reactions
36 Replies
2K Views
Jana Agosti 25, 2025 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Ndg. Luhaga Joelson Mpina, akiambatana na Mgombea Mwenza wake, Bi. Fatma Fereji, walifika...
2 Reactions
5 Replies
585 Views
Kumeshaanza kuchangamka, mgombea kutoka CCM awasili eneo la tukio bila ya mapokezi kutoka kwa wananchi. Gari linapita barabarani na hakuna hata mmoja anaetoka nje kumpokea, watu wako bize na kazi...
17 Reactions
46 Replies
3K Views
Habari zenu waungwana! Hivi Rais Nyerere na Mkapa walikuwa na kauli mbiu gani enzi za utawala wao?
0 Reactions
6 Replies
15K Views
Kama mwaka 1992 Serikali ya CCM ingewasikiliza wananchi walio wengi na kuendelea na mfumo wa chama kimoja huenda leo hii tungekuwa na siasa imara za ushindani na hata katiba mpya japo kwa...
6 Reactions
36 Replies
1K Views
Imeisha hiyo baada ya Ummy Mwalimu kulistaafisha rasmi kundi ila Machawa wake na kuwataka wamrejee Allah Upendo tv Ahsanteni sana
0 Reactions
2 Replies
250 Views
Inasikitisha sana
1 Reactions
1 Replies
287 Views
Waliokuwa wanachama wa CHADEMA Kata ya Kinyerezi na baadae wakahamia Chaumma leo wametangaza kurudi CHADEMA na kuomba viongozi wawapokee Sababu ya kuhama mifumo iliyopo kwenye chama CHAUMMA si ya...
19 Reactions
55 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…