Moja ya habari inayopata nafasi ni kumuhusu Augustino Polepole kaka wa Humphrey Polepole akieleza kinachoendelea sasa kuhusu mdogo wake.
Lakini mbali na hivyo ameeleza namna Mkuu wa Majeshi...
Hapa Nchini aliyepo juu ya Sheria ambaye tumesikia mara kadhaa anafanya atakavyo ni 'mmoja' tu!
Hakuna Mwingine mwenye jeuri ya kumtisha Kamishina wa madawa ya kulevya.
Halafu Polisi...
Kuna post ya mtu mmoja hapa JF jina namhifadhi anawataka Watanzania waache kumsema vibaya mtoto wa Samia kutumia kodi zetu anavyotaka kwa kigenzo anakula juhudi za mama yake.
Huyu mtu alienda...
Fikiria wewe ni bodaboda ambaye kazi yako ni kubeba abiria kila siku kwa nauli ya 'buku buku' na kama siku hiyo umeshindwa kufanya kazi kwa sababu mbalimbali ikiwemo kuumwa, ajali au hata mvua...
Kwenye List ya Africa : Kenya sasa namba 6 kutoka 7 na tanzania imeshuka namba 11 kutoka 10. Kujilingalisha ni sawa na kusema muuza genge Tanzania hata tukukuwa kwa 6% kwa mwaka ni ndogo kuliko 4%...
Wasira anadai mauwaji yalikuwa sahihi wakati ni kinyume cha sheria na wali uwawa hadi watoto na wajawazito.
kwa sheria za nchi na kimataifa hakuna mauwaji sahihi tuna sheria za nchi na mahakama...
Hili swali najiuliza Sana, kama CHADEMA wangeamua kushiriki uchaguzi na hii bogus INEC je maandamano ya October 29, yangetokea?
Katika kitu kiliwaudhi Sana CCM ni Chadema kujitoa kushiriki kiini...
Wakuu,
Nacheka ka mazuri🤣🤣🤣 kwahiyo mtu akitoa povu lake taasisi/shirika linapozingua ni uvunjivu wa sheria? Nakojoaaaaaa😆😆😆😆. Chawa kafikiwa 😆😆
Kelvin Raphael (Zungu) alitoa povu lake jana...
Wakuu,
Kuna habari gani kuhusu huyo Mafwele, naona mapichapicha tu huko mtandaoni! Kweli jamaa aliingia kwenye kumi na nane za Kanali?
Baada ya kaka wa Augustino Polepole kuongea mchana wa leo...
Baraza Kuu la Chama Cha Wananchi (CUF) limemchagua Eng. Hamad Masoud Hamad kuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho leo Februari 22, 2026.
Baraza hilo limeketi leo chini ya mwenyekiti mpya Yusuf Mirambo...
Jambo nalowahakikishia kama Mh Polepole , Balozi, alifika Nchini hawakujua, Kakaa miezi yote hiyo hawakujua, Utasema wana INTELIJENSIA??.
Bisho Gwajima Kakaa Dar , muda wake wotee huo mpaka...
Kama ilivyokuwa kwa Burkinafaso Blaise Compaore alidhania kumuua Thomas Sankara itaKuwa neema kwake kuwa atatawala kwa kujiachia na kula mali za umma anavyotaka.
Naona hapa Tanzania hali ni mbaya...
Ndio unapata ka mshahara kakubwa lakini kwa gharama gani?
====
Huyu mTanzania anasema alipata $35,000 kuingia jeshi la Russia na analipwa $3,000 kila mwezi. Lakini ameona watu wengi wamekufa...
Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Itilo na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Nzega Mji, Wilayani Nzega kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Paschal Kigaru amefariki Dunia kufuatia ajali ya barabarani ambayo...
Nashangaa sana kuona ni namna gani wabongo wanavyoweza uwa brainwashed.
Kuna habari mitandaoni zinasambaa kama moto kwenye kichaka kwamba mafwele "kawajibishwa" kwa namna flani.
Kwa jinsi hali...
Kwa mtu anayefuatilia mambo ya nchi hii na anayejali mustakabali wa maendeleo ya nchi anajua kabisa uchawa kwa siku za hivi karibuni umeshusha uwajibikaji na hivyo unaendelea kuchangia kwa kiasi...
Ulimsaliti Maalim Seif kwa vipande vya fedha. Umevuna ulichopanda.
Umeondoka kwa aibu kubwa!
Umebakiza kufa tu duniani!
THE EVILS THAT MEN DO LIVE AFTER THEM.
BADO ADHABU YA KABURI INAKUSUBIRI