Bayport ni hawafai

send jr

Member
Dec 16, 2018
15
17
Habari wa JF,

Naomba msaada wa kisheria nifanyeje hili swala.

Niliomba mkopo bayport tar 25/4/2024 na makato yakapita kwa utumishi tar 2/5/2024 cha ajabu up to now hawajaingiza hela kwenye account licha ya kuwa mwez huu tayari hela wameshanikata pale napofanya nao mawasiliano wananipa kalenda mfano yaan wiki hii lazima upate hela wiki inaisha kimya halafu ni wakali balaa kama pilipili naomba msaada wa kisheria nianze vp kujinasua na hawa bayport.
 
Habari wa jf.
Naomba msaada wa kisheria nifanyeje hili swala.
Niliomba mkopo bayport tar 25/4/2024 na makato yakapita kwa utumishi tar 2/5/2024 cha ajabu up to now hawajaingiza hela kwenye account licha ya kuwa mwez huu tayari hela wameshanikata pale napofanya nao mawasiliano wananipa kalenda mfano yaan wiki hii lazima upate hela wiki inaisha kimya halafu ni wakali balaa kama pilipili naomba msaada wa kisheria nianze vp kujinasua na hawa bayport.
Duh..
Mbona kama hueleweki?!
Unamaanisha umeomba mkopo na bado hujapewa, ila tayari wameshaanza kukukata marejesho?
 
Habari wa jf.
Naomba msaada wa kisheria nifanyeje hili swala.
Niliomba mkopo bayport tar 25/4/2024 na makato yakapita kwa utumishi tar 2/5/2024 cha ajabu up to now hawajaingiza hela kwenye account licha ya kuwa mwez huu tayari hela wameshanikata pale napofanya nao mawasiliano wananipa kalenda mfano yaan wiki hii lazima upate hela wiki inaisha kimya halafu ni wakali balaa kama pilipili naomba msaada wa kisheria nianze vp kujinasua na hawa bayport.
ukiona tangazo lina huyu mtu kimbia
ssssdfsdfsafdf.jpg
 
Inashangaza kuona hadi hii 2024 kuna watu wanaenda kukopa Bayport tena mtu ana access na internet kabisa.

Na watakukata pasipo kukuwekea hiyo hela mpaka muda wa mkopo uishe ndiyo wakuwekee halafu waendelee kukufyeka tena.
 
Back
Top Bottom