Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
MAHITAJI (kwa mahitaji haya utatoa zaidi ya pisi 200 za barafu ukitumia vifuko vya size 1¼ X 10) Maji lita 7 Maziwa ya unga 1 cup (brand yoyote) Unga wa wanga (corn starch) 2 cups uchanganye na...
15 Reactions
138 Replies
105K Views
Binafsi Matunda ninayoyapenda ni Parachichi, Papai, Ndizi Mbivu, Nanasi, Matunda Damu na Machungwa. Karibuni kila Mtu ataje Matunda yake pendwa.
2 Reactions
5 Replies
399 Views
VIUNGO VYENYEWE NI HIVI Bay leaf Cinnamon Stick Star Anise Black peppercorn Turmeric Powder Cilantro
2 Reactions
19 Replies
81K Views
Wakuu, Ni kifaa kipi kati ya hivyo kinafaa kwa kuchoma nyama, kuchoma kuku mzima, kukaanga chips na kupasha chakula? Nahitaji kifaa kimoja cha kufanya kazi hizo zote kwa ubora mzuri, nichukue...
4 Reactions
50 Replies
7K Views
Nimevuruga vibaya sana (Mchele na choroko) .
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Angalia hapa mapishi ya chatu mtamu. Ukipakuliwa utakula?
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Nawasilimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Naomba kujuzwa unapotaka kupika nyama yako (mfano; ya ng'ombe au Kuku) ni viungo vipi ukichanganya wakati wa kuchemsha nyama hiyo itaifanya...
10 Reactions
78 Replies
32K Views
Leo Jumapili niliamka nikiwa nina hamu sana ya kula chapati za maji. Ila leo nikasema kwa kuwa nina muda wa kukaa jikoni, ngoja leo nijikumbushe enzi zangu. Mahitaji na viambaupishi: -Unga wa...
37 Reactions
97 Replies
4K Views
Hello Kesho nafikiri tupike pamoja JF hapa hatua kwa hatu ratiba yetu itakuwa hivi Morng Saa moja na nusu tutaanda chai ambapo kutakuwa na bagia za dengu na maziwa Mahitaji ya bagia 1) unga wa...
10 Reactions
113 Replies
4K Views
1. Asilimia kubwa ya wa Tanzania ( wa Bantu) Hawajui kupika. The only thing that they can cook better is hot water. Watanzania wanao we za kupika vizuri ni wasomali. Ndo maana kila siku huwa...
1 Reactions
4 Replies
564 Views
Habari zenu wapenzi Karibuni tena tujifunze jinsi ya kupika tambi za mayai.✍🏻 Ni rahisi sana wala hutumii muda mrefu, niiingi moja kwa moja kwenye mada Owky. Mahitaji. Tambi chumvi maji...
12 Reactions
24 Replies
7K Views
Wakuu nataka kuanza kupika mwenyewe sasa nikiangalia sina kitu hata kimoja jikoni. Nataka niwe na jiko la kawaida tu. Naombeni wenye majiko mnipe essentials zote na gharama zake roughly..
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Wadau sina uwezo wa kununua maji ya kunywa ya chupa kwa ajili ya familia,maana tupo wengi,hivyo huyachemsha na kuweka kwenye water dispenser,lakini huwa yana uchafu,je nitumie njia ipi ya...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Safisha dagaa na uwaweke pembeni. Baada ya hapo kaanga vitunguu vikianza kuwa vya brown tia dagaa wakaange kidogo kisha tia chumvi, pilipili, curry powder, turmeric, na nyanya chungu, koroga...
6 Reactions
23 Replies
1K Views
Wakuu vyakula vya Marekani sio vyepesi sana kujisosomola maana mimi nishazoea ugali mgumu sasa huku ni mwendo wa madude fulani ya ajabu ajabu. Ila nikasikia wanasifia sana Taco nikaona ngoja nilo...
18 Reactions
49 Replies
3K Views
Natumaini mko salama Leo naomba niwaletee recipe ya maandazi matamu laini na yanayoweza kukaa hata wiki yakiwa Bado laini na matamu Mahitaji Ngano kilo moja Sukari robo (utaigawa mara mbili)...
20 Reactions
165 Replies
7K Views
Msela leo magetoni nikaamua kuandaa tena kuku kama wa KFC ni watamu sana yaani MAHITAJI NILIYOTUMIA; Vidali viwili, mafuta lita 1, unga wa ngano nusu, soya souce, curry powder, paprika, black...
15 Reactions
19 Replies
2K Views
Mwezi uliopita nilinunua Mayai thelethini ya kuku wa kienyeji. Kwa ajili ya kula. Nimetumia mayai kama 10. Halafu ukapita muda kama wiki. Bila kula mayai. Juzi nikachukua kuchemsha, naona ni...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Nisikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane! Binafsi nimeshajaribu sana hiki chakula lakini kimenishinda! Nimejaribu sana kula wali wa kila aina na ulopikwa Kwa mapishi tofauti tofauti lakini...
7 Reactions
25 Replies
5K Views
Wapi dar es Salaam wanauza Korean kimchi nikale? 😄
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Back
Top Bottom