Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
#ICE_CREAM #JUICE #Kwa_mtaji_mdogo_tu. Anza leo biashara ya #Ice_Cream_&_Juice,kwa mtaji mdogo.Hadi elfu 20 tu,inatosha sana kuanza nayo kama mtaji. #Nakupa ofa ya Kitabu kitakacho kupa mafunzo...
0 Reactions
0 Replies
251 Views
National Occupational Safety and Health Certificate (NOSHC) Module 1 and 2 ni kozi za muda mfupi zinatolewa na OSHA kwa muda wa wiki 2 ada yake ni tsh 700,000/=. naomba ushauri naweza kupata wap...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Nimechoka kila siku asubuhi kula mkate na chai, nikisema ninunue vitafunio kama chapati sijui maandazi nayo nimeshayakinai.... Majuzi nilipata breakfast ya chai ya maziwa na vitumbua vikubwa vya...
2 Reactions
4 Replies
529 Views
Jana nilichelewa sana kurudi maskani na njaa ikawa inaniuma balaa. Harakaharaka nikaamua kujisongea ugali kwenye jiko la gesi nikiamini nitapata mboga za chapchap yaani dagaa mchele na maziwa...
13 Reactions
42 Replies
1K Views
Hellow Sikuiz nipo bise that why sileti thread Kwanza andaa mchele wako vizuri kisha katakata hoho na karoti hapa kwenye hoho unaweza tumia hoho za rangi ya kijani, njano, au nyekundu Baada...
12 Reactions
41 Replies
2K Views
Hellow mchana mwema Leo tupike hiki chakula asili yake Madam B atasema Kwanza chukua tambi zako ulizo kataka ndogo ndogo kisha weka kwenye sufuria ya mafuta yalio chemka kisha anza kuzikaanga...
21 Reactions
134 Replies
5K Views
Habari Leo nilikuwa na hamu ya ugali na mlenda basi nikaanza kukata majani ya maboga na bamia kisha nikaweka maji kidogo na magadi pamoja na chumvi kisha nikaweka jikoni na kuchanganya majani ya...
12 Reactions
55 Replies
2K Views
Jifunze jinsi ya kupika futari ya Mihogo Nazi. Picha zinajieleza Nawatakia Mfungo Mwema 🙏 Eid Mubarak ♥️🕋
4 Reactions
53 Replies
2K Views
Katika ulimwengu wa vyakula na mapishi kuna aina mbalimbali ya vyakula ambavyo upande mmoja wa dunia vinaweza kuwepo na upande mwingine kukosekana. Ukiachana na hilo pia kuna jambo moja inabidi...
6 Reactions
97 Replies
31K Views
Hellow wapendwa poleni na kazi leo tunapika nyama pori mzuri kwa ugali Kwanza chemsha hii yangu sio ngumu kuiva ata mvuke peke yake unaivisha wakati nyama iko jikoni niliandaa viungo vyangu...
23 Reactions
199 Replies
7K Views
What vegetable do you hate if you had to pick one?
0 Reactions
3 Replies
402 Views
Hope mpo Vyedi kabisa Jana nilikuwa na hamu ya makande nikaamua kuyachemsha jana usiku wakat naangalia tv nikawasha jiko la mkaa nikaweka makande yakawa yanaiva pole pole mda wa kulala ulipofika...
18 Reactions
148 Replies
5K Views
Hello Leo nilikuwa na hamu ya izi mboga maini siyapendi sana ila leo nilikuwa na hamu nayo Nikachukua maini nikayachemsha baada ya kuya katakata na kutoa lile gamba la maini baada ya hapo...
26 Reactions
133 Replies
4K Views
Hii mashine nimeiona huko mitandaoni imenivutia, kwanza unapata juice halisi kabisa, maana haisagi inakamua, na kukusanya makapi sehemu yake. Kama kuna mtu anatumia kifaa kama hiki anaweza kuja...
2 Reactions
0 Replies
451 Views
Miaka ya 90 Kijijini Sengerema tulikuwa na kawaida ya kwenda kuwasalimia na kuwapa hai wazee, tukifunga shule basi kesho yake asubuhi ni safari kwenda kijijini kusalimia, na kuishi kidogo na Babu...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Nguruwe ndiyo nyama inayoliwa zaidi duniani, ikichangia asilimia 36 ya matumizi ya nyama duniani kote. Inayofuata kwa karibu ni kuku (asilimia 33), ikifuatiwa na nyama ya ng’ombe kwa asilimia 24...
2 Reactions
5 Replies
947 Views
Hello mliomba nipike biriani hili hapa saa sita tu lishaiva linasubiri walaji mje Kwanza niliandaa mchele kisha nikauloweka kwa mda wakati nyama inaiva mchele huu ni ule wa basmati baada ya hapo...
10 Reactions
34 Replies
2K Views
Je kuna unga wa kunde na hupatikana wapi?
0 Reactions
5 Replies
559 Views
Mei 21 kila mwaka ni siku ya kuadhimisha Chai duniani. Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali kuna aina 19 za chai. Wewe unafahamu aina ngapi? Different Types of Tea Discover different kinds of tea...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom