Naunga mkono komentiUzi wa kipuuzi huu.
Umekula kweli?Uzi wa kipuuzi huu.
Hapana mkuu.Umekula kweli?
Sawa hata mimi bado.Hapana mkuu.
Siwezi shindia vyakula vya kimasikini ambavyo havijulikani .Najua kwa sababu umeshindia pomoni😂
Ukiwa na hela hauli hovyo na Wala hausikii njaa , sababu ninacho kahela Cha mawazo kidogo Cha kutamba nacho stress za chakula sina wala ndio maana njaa hainiumi halafu nikirudi home kwa Shemeji nakuta chakula tayari uhakika.Ndio maana una hasira
Mlenda ugali wa mtama na nguruka.
HahahahaNdio maana una shavu mkuu😂