Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Hellow mchana mwema Leo tupike hiki chakula asili yake Madam B atasema Kwanza chukua tambi zako ulizo kataka ndogo ndogo kisha weka kwenye sufuria ya mafuta yalio chemka kisha anza kuzikaanga...
21 Reactions
134 Replies
4K Views
Habari Leo nilikuwa na hamu ya ugali na mlenda basi nikaanza kukata majani ya maboga na bamia kisha nikaweka maji kidogo na magadi pamoja na chumvi kisha nikaweka jikoni na kuchanganya majani ya...
12 Reactions
55 Replies
2K Views
Jifunze jinsi ya kupika futari ya Mihogo Nazi. Picha zinajieleza Nawatakia Mfungo Mwema 🙏 Eid Mubarak ♥️🕋
4 Reactions
53 Replies
1K Views
Katika ulimwengu wa vyakula na mapishi kuna aina mbalimbali ya vyakula ambavyo upande mmoja wa dunia vinaweza kuwepo na upande mwingine kukosekana. Ukiachana na hilo pia kuna jambo moja inabidi...
6 Reactions
97 Replies
30K Views
Hellow wapendwa poleni na kazi leo tunapika nyama pori mzuri kwa ugali Kwanza chemsha hii yangu sio ngumu kuiva ata mvuke peke yake unaivisha wakati nyama iko jikoni niliandaa viungo vyangu...
23 Reactions
199 Replies
6K Views
What vegetable do you hate if you had to pick one?
0 Reactions
3 Replies
372 Views
Hope mpo Vyedi kabisa Jana nilikuwa na hamu ya makande nikaamua kuyachemsha jana usiku wakat naangalia tv nikawasha jiko la mkaa nikaweka makande yakawa yanaiva pole pole mda wa kulala ulipofika...
18 Reactions
148 Replies
4K Views
Hello Leo nilikuwa na hamu ya izi mboga maini siyapendi sana ila leo nilikuwa na hamu nayo Nikachukua maini nikayachemsha baada ya kuya katakata na kutoa lile gamba la maini baada ya hapo...
26 Reactions
133 Replies
4K Views
Hii mashine nimeiona huko mitandaoni imenivutia, kwanza unapata juice halisi kabisa, maana haisagi inakamua, na kukusanya makapi sehemu yake. Kama kuna mtu anatumia kifaa kama hiki anaweza kuja...
2 Reactions
0 Replies
436 Views
Miaka ya 90 Kijijini Sengerema tulikuwa na kawaida ya kwenda kuwasalimia na kuwapa hai wazee, tukifunga shule basi kesho yake asubuhi ni safari kwenda kijijini kusalimia, na kuishi kidogo na Babu...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Nguruwe ndiyo nyama inayoliwa zaidi duniani, ikichangia asilimia 36 ya matumizi ya nyama duniani kote. Inayofuata kwa karibu ni kuku (asilimia 33), ikifuatiwa na nyama ya ng’ombe kwa asilimia 24...
2 Reactions
5 Replies
896 Views
Hello mliomba nipike biriani hili hapa saa sita tu lishaiva linasubiri walaji mje Kwanza niliandaa mchele kisha nikauloweka kwa mda wakati nyama inaiva mchele huu ni ule wa basmati baada ya hapo...
10 Reactions
34 Replies
2K Views
Je kuna unga wa kunde na hupatikana wapi?
0 Reactions
5 Replies
531 Views
Mei 21 kila mwaka ni siku ya kuadhimisha Chai duniani. Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali kuna aina 19 za chai. Wewe unafahamu aina ngapi? Different Types of Tea Discover different kinds of tea...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wapishi na wapenda mapishi, naomba msaada wenu! Ni viungo gani mbalimbali vinavyotumika katika kupika mboga ili kuzifanya ziwe na ladha nzuri? Maana ni mwezi sasa tangu nitoke home naona mapishi...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Ni vema MAKANDE chakula kikuu cha Wapare yakatambuliwa kana chakula pendwa kiafya cha Taifa la Tanganyika kwa sababu zilizo wazi kabisa kuanzia wepesi wa pishi lake mpaka faida nyingi za kiafya
4 Reactions
14 Replies
622 Views
Wana maakuli kwema? Moja kwa moja kwenye mada, mazee kila mtu ana msosi anaopenda ambao akiukuta kwenye sherehe mambo yanakuwa byee. Nikianza na mimi, bwana sherehe bila pilau nyama na...
1 Reactions
64 Replies
4K Views
MAHITAJI (kwa mahitaji haya utatoa zaidi ya pisi 200 za barafu ukitumia vifuko vya size 1¼ X 10) Maji lita 7 Maziwa ya unga 1 cup (brand yoyote) Unga wa wanga (corn starch) 2 cups uchanganye na...
15 Reactions
138 Replies
105K Views
Binafsi Matunda ninayoyapenda ni Parachichi, Papai, Ndizi Mbivu, Nanasi, Matunda Damu na Machungwa. Karibuni kila Mtu ataje Matunda yake pendwa.
2 Reactions
5 Replies
398 Views
Back
Top Bottom