BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
mahitaji
1. Nazi
2. Punje kadhaa za vitunguu swaumu kadri upendavyo
3. Karoti
4. Corriender leaves
5. Pilipili
6. Ndimu /limao
7. Maji kiasi
kuna nazi, grate karoti, menya swaumu , katataka vipande bya korienda, pilipili
tia vyote kwenye blenda, kamulia limao au ndimu za kutosha.....
Maji kwa mbaaaaali
blendi hadi ilainike kabisa.......
Pakua, unaweza kuila kwa kachori, kababu, nyama za kukaanga,katles, mishkaki, bagia za kunde na za dengu hata chips au wali ukipenda
1. Nazi
2. Punje kadhaa za vitunguu swaumu kadri upendavyo
3. Karoti
4. Corriender leaves
5. Pilipili
6. Ndimu /limao
7. Maji kiasi
kuna nazi, grate karoti, menya swaumu , katataka vipande bya korienda, pilipili
tia vyote kwenye blenda, kamulia limao au ndimu za kutosha.....
Maji kwa mbaaaaali
blendi hadi ilainike kabisa.......
Pakua, unaweza kuila kwa kachori, kababu, nyama za kukaanga,katles, mishkaki, bagia za kunde na za dengu hata chips au wali ukipenda