contagious
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 528
- 344
Was so Yummy!Mashaallah. Look yummy
Dogo anakula kwa raha zake nimpenda kwa kweli
Mashaallah. Look yummy
View attachment 392731View attachment 392732View attachment 392733View attachment 392734 Karibu Chai sasa, Yeah it's late but it's weekend for Heaven Sake. Recipe from Fauzia Kitchen Fun for Mandazi in Google, nimetumia vikombe sita vya ngano, kijiko kimoja na nusu cha hamira, kijiko kimoja cha iliki, robo kikombe cha sukari, pakti 4 za nazi, nimeongeza maji kidogo sana! Nikachanganya vyote kwenye kabeseni kakukandia, nikakanda kama dak 15, unga ulipokuwa laini. Nikayaacha nje kwa saa nzima, nikakanda tena unga kwa dak kama 3 hivi nikasukuma na kukata na kuanika tena juani, yalipopanda tena nikachoma kwenye mafuta, as you can see them.
Wewe binti unajua sana kupika.....kupitia mada zako za mapishi...na mimi nimekuwa mpishi mzuri sana....
I appreciate.....
Sio uroho....Acha uroho....yaani mate yamekujaa mdomoni....
Sio uroho....
Ulafi.
View attachment 392731View attachment 392732View attachment 392733View attachment 392734 Karibu Chai sasa, Yeah it's late but it's weekend for Heaven Sake. Recipe from Fauzia Kitchen Fun for Mandazi in Google, nimetumia vikombe sita vya ngano, kijiko kimoja na nusu cha hamira, kijiko kimoja cha iliki, robo kikombe cha sukari, pakti 4 za nazi, nimeongeza maji kidogo sana! Nikachanganya vyote kwenye kabeseni kakukandia, nikakanda kama dak 15, unga ulipokuwa laini. Nikayaacha nje kwa saa nzima, nikakanda tena unga kwa dak kama 3 hivi nikasukuma na kukata na kuanika tena juani, yalipopanda tena nikachoma kwenye mafuta, as you can see them.
Babu yako alikula vitumbua na aliishi miaka mia, let me be, let me live my life and eat what I want when I want.Ohhhh my God!!.....enzi hizi kila mtu chakula kitamuua irrespective of our knowledge!!....Mbona hujataja kiasi cha mafuta ulichotumia!! ......na pia umejisifu kwa kuweka kiasi kidogo sana cha maji!.......Mimi sishauri watu wapende kula vyakula vya kukaanga kwa mafuta bali wapende kula vyakula vya mchemsho kama vile viazi vya kushemsha,majimbi,e.t.c!....Siku hizi magonjwa ya kansa,moyo,presha,kisukari ni mengi sana kwa sababu ya kula vyakula bila kuangalia afya kwanza,priority yetu siku hizi imekuwa ni utamu kwanza!........nakuwa disappointed sana watu kusifia vyakula kama hivi,certainly we will not survive!
Umeona sura yake?Kuna mtu amewashtaki wazazi wake kwa kuweka picha zake kwenye mitandao wakati akiwa mtoto watch out
Let me know the outcome.Asante kwa somo hili.....nitalifanyia kazi....
Ila mimi sitaki wageni.....
You are and you will be what you eat!! .....babu yako ni kweli alikula vitumbua kwa wingi na akaishi miaka mia ila kipindi hicho hapakuwepo na bodaboda kwa hiyo alikuwa anatembea kwa miguu deile(mazoezi) kwa hiyo alikuwa anayeyusha mafuta kirahisi ila wewe hutembei sehemu ya hatua mia bila bodaboda!! .....Babu yako alikula vitimbua kwa wingi ila alikuwa analima mboga za majani,wewe mboga za majani unaona ni chungu kama dawa sumu za mafuta zitatokaje mwilini??? .......babu yako alikula vitumbua kwa wingi ila alikuwa anatafunia na maziwa wewe baada ya kula vitumbua unaenda kunywa bia na unaona mtindi ni ushamba!! ........babu yako alikula vitumbua kwa wingi ila alikuwa anakula asali kwa wingi,wewe mara ya mwisho kuiona asali ni lini??? ......do you see??...do you discovered something??....do you learn something??.....Do you????Babu yako alikula vitumbua na aliishi miaka mia, let me be, let me live my life and eat what I want when I want.
Yote hayo hayo.....
Let me know the outcome.