Mihogo ya kukaanga (crispy)

farkhina

Platinum Member
Mar 14, 2012
14,568
16,906
Mahitaji

Muhogo uliomenywa Na kukatwa vipambe ukubwa kiasi

Mafuta

Chumvi Na pilipili kavu twanga pamoja

Namna ya kutaarisha

Chemsha muhogo wako Na maji hadi uwive Na kua laini (angalia usivurugike)

Mwaga maji uliochemshia

Katika karai weka mafuta jikoni hadi yapate moto

Weka mihogo Na kaanga hadi ubadilike rangi kiasi

Toa weka kwenye sahani tayari kwa kula pamoja Na pilipili
5914146435c855a873dbd24bec2b83bb.jpg
 
Mahitaji

Muhogo uliomenywa Na kukatwa vipambe ukubwa kiasi

Mafuta

Chumvi Na pilipili kavu twanga pamoja

Namna ya kutaarisha

Chemsha muhogo wako Na maji hadi uwive Na kua laini (angalia usivurugike)

Mwaga maji uliochemshia

Katika karai weka mafuta jikoni hadi yapate moto

Weka mihogo Na kaanga hadi ubadilike rangi kiasi

Toa weka kwenye sahani tayari kwa kula pamoja Na pilipili
5914146435c855a873dbd24bec2b83bb.jpg
Wewe ndo umewafundisha pale coco beach nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom