Elekeza mama, na hiyo masala piaKuku wako ukisha kumkatakata na kumsafisha weka viungo kama kawaida. Yaani thomu, tangawizi, chumvi na pilipili washa kiasi.
Mwache akolee viungo vizuri kiasi masaa mawili.
Ukikaribia kumchoma, muweke tanduri masala kijiko kimoja kikubwa-hii kwa kuku mmoja. Kamulia ndimu 2 za kiasi.
Weka foil juu ya tray ya oven then wapange kuku wako juu yake tayari kwa kuchoma kwenye oven.
Kama unatumia mkaa, wapange juu ya chanja na uchome kama kawaida.
kama hujui namna ya kuchoma, sema nikuelekeze namna zot 2, kwa oven au kwa mkaa.
jee waijua tandoori masala?
Elekeza mama, na hiyo masala pia
Sijambo bestJambo shostito?
Elekeza mama, na hiyo masala pia
Thanks, hivi ukwaju ulinambia ni ukwaju, iliki na sukari tu?View attachment 384940View attachment 384941hio hapo.
Na nyuma ya box kuna maelekezo.
Ila zipo brandy tofauti tofauti.
Kama ukwaju wa mishkaki basi hutii hiliki. Ni chumvi, pilipili, thomu na sukari kdg au tende au zabibu raisings.Thanks, hivi ukwaju ulinambia ni ukwaju, iliki na sukari tu?
Kama ukwaju waThanks, hivi ukwaju ulinambia ni ukwaju, iliki na sukari tu?
Ukwaju tu wa kulia vitu vitu, visalad n.k nimeweka sukari na hiliki ila bado mchachu kiaina, sio mtamu kama ule wa wapembaKama ukwaju wa mishkaki basi hutii hiliki. Ni chumvi, pilipili, thomu na sukari kdg au tende au zabibu raisings.
Kama ukwaju wa
Hata me napenda sana sekela.Ninavyopenda sekela sasa...
Hadi nimepamiss magomeni shibam...
Sio kwa sekela wale
Welcome dear.asante sanaaaaa Angel Nylon
Ukitaka usiwe mchachu uroweke kwa muda ukilainika mwaga hayo maji ya kwanza halfu weka maji mengine ndo uweke sukari na hiliki.Ukwaju tu wa kulia vitu vitu, visalad n.k nimeweka sukari na hiliki ila bado mchachu kiaina, sio mtamu kama ule wa wapemba
Oooh ahsanteUkitaka usiwe mchachu uroweke kwa muda ukilainika mwaga hayo maji ya kwanza halfu weka maji mengine ndo uweke sukari na hiliki.
tuko pamoja EvelynOooh ahsante
Natamani kulia nilivyorudi kwenye hii thread ya sekela.Hata me napenda sana sekela.
Huwa nawapika nyumbani siku moja moja.
Wa kununua tunapunwa mwenzangu.
Pesa ya kununulia kuku mzima sie tunauziwa nusu kuku. Mie huona uchungu.
Shoga ukipata muda siku moja moja na we jichomee nyumbani. Mbona hana kazi.