figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Heshima kwenu wakuu,
Nmegundua kumbe kutengeneza chapati simple sana. Nimetengeneza chapati sikutegemea kama zitakua tamu hivi. Yaani ni tamu balaa.. Nikimpikia mgeni itabidi nimwambie awe makini asijing'ate kidole au ulimi.
Ila bado kuna tatizo, kama mlivyo nifundisha kutengeneza chips, Nimejaribu kukaanga Chips sijafanikiwa sana, msaada jamani
Naomba niongezewe utaalam wa chapati. Nataka nikija kuoa mke wangu asipate tabu pale anapoumwa au kusafiri. Chapati ninazotengeneza hazitazamiki halafu mafuta yanadondoka kama asali.
Je, nyie mwatengenezaje na mwatia viungo gani?
Nmegundua kumbe kutengeneza chapati simple sana. Nimetengeneza chapati sikutegemea kama zitakua tamu hivi. Yaani ni tamu balaa.. Nikimpikia mgeni itabidi nimwambie awe makini asijing'ate kidole au ulimi.
Ila bado kuna tatizo, kama mlivyo nifundisha kutengeneza chips, Nimejaribu kukaanga Chips sijafanikiwa sana, msaada jamani
Naomba niongezewe utaalam wa chapati. Nataka nikija kuoa mke wangu asipate tabu pale anapoumwa au kusafiri. Chapati ninazotengeneza hazitazamiki halafu mafuta yanadondoka kama asali.
Je, nyie mwatengenezaje na mwatia viungo gani?