GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
Leo nahitaji kushiriki nanyi chakula ambacho mara nyingi mama yangu amekuwa akipenda kutupikia kimekuwa kama ni chakula cha kifamilia na akiweka secret ingredients ambayo hiyo sitoitaja maana inabaki kuwa ni siri ya familia.
Hii ni uji mzito wa vegetables tu ambazo zina nutritions mbali mbali na minerals.
Andaa.
1. Njegere robo kilo
2. Karoti kubwa tatu
3. Hoho mbili
4. Nyanya mbili saga
5. Unga wa mbegu za maboga vijiko vinne vikubwa
6. Vitunguu maji viwili vya wastan
7. Pilipili manga kijiko kimoja kikubwa
8. Unga wa soya kijiko kimoja
9.chumvi kias
10.viazi mviringo vinne vilovyomenywa na kukatwa vidogo
11. Spinach
12. Xxxxxxx
Chemsha njegere zikiiva weka pembeni na maji yake
Chukua sufuria weka maji kiasi tu yakichemka weka vitunguu kaanga kidogo halafu weka nyanya iliyosagwa humo kaanga kidogo then weka viazi...
Vikianza kuiva weka karoti na njegere pamoja..mimina ile supi nya njegere. Weka hoho na unga wa mbegu za maboga,weka soya.. Weka na pilipili manga.
Acha vichemke kiasi.weka hoho na piga kidogo isiiive sana na karoti pia isiive sana. Weka spinach ambayo umekatakata vipande vidogo vidogo. Isiive. Karot,spinach,hoho havitakiw kuiva sana. Weka chumv kiasi.
Ipua subiri ipoe kiasi....unaweza weka kwenye blender ukasaga... Utapata ladha tamu na harufu ya kuvutia.ikishalainika weka kwenye moto iwe ya moto kiasi utakacho au moja kwa moja weka kwenye thermos au hotpot.
Tayari kwa kuliwa na chapati, yenyewe peke yake au na spaghetti.
Ni mlo mzuri kiafya usio na madhara.unafaa wamama wajawazito,waliojifungua soon, wababa kuongeza nguvu,kurudisha nguvu kwa wagonjwa,watoto ,watu wazima. Kabla na baada ya tendo la ndoa.
Karibuni sana. Kama kuna maswali niulizeni.
Hii ni uji mzito wa vegetables tu ambazo zina nutritions mbali mbali na minerals.
Andaa.
1. Njegere robo kilo
2. Karoti kubwa tatu
3. Hoho mbili
4. Nyanya mbili saga
5. Unga wa mbegu za maboga vijiko vinne vikubwa
6. Vitunguu maji viwili vya wastan
7. Pilipili manga kijiko kimoja kikubwa
8. Unga wa soya kijiko kimoja
9.chumvi kias
10.viazi mviringo vinne vilovyomenywa na kukatwa vidogo
11. Spinach
12. Xxxxxxx
Chemsha njegere zikiiva weka pembeni na maji yake
Chukua sufuria weka maji kiasi tu yakichemka weka vitunguu kaanga kidogo halafu weka nyanya iliyosagwa humo kaanga kidogo then weka viazi...
Vikianza kuiva weka karoti na njegere pamoja..mimina ile supi nya njegere. Weka hoho na unga wa mbegu za maboga,weka soya.. Weka na pilipili manga.
Acha vichemke kiasi.weka hoho na piga kidogo isiiive sana na karoti pia isiive sana. Weka spinach ambayo umekatakata vipande vidogo vidogo. Isiive. Karot,spinach,hoho havitakiw kuiva sana. Weka chumv kiasi.
Ipua subiri ipoe kiasi....unaweza weka kwenye blender ukasaga... Utapata ladha tamu na harufu ya kuvutia.ikishalainika weka kwenye moto iwe ya moto kiasi utakacho au moja kwa moja weka kwenye thermos au hotpot.
Tayari kwa kuliwa na chapati, yenyewe peke yake au na spaghetti.
Ni mlo mzuri kiafya usio na madhara.unafaa wamama wajawazito,waliojifungua soon, wababa kuongeza nguvu,kurudisha nguvu kwa wagonjwa,watoto ,watu wazima. Kabla na baada ya tendo la ndoa.
Karibuni sana. Kama kuna maswali niulizeni.