Namna rahisi ya kupika maarage

Namna rahisi ya kupika maarage

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
17,376
Reaction score
19,257
Nunua maarage masafi kabisa ambayo hayajakaa sana store
Ambayo hayajakaa sana store bado yana rangi yake kama soya njano unakuta unjano umekolea sana
Ila kama yamekaa store yanaanza kuwa kahawia
Uyasafishe vizuri kisha loweka kwenye bakuli na maji ya kawaida
Kwa masaa zaidi ya 6
Au kama unapika jioni loweka asubuhi
Ukirudi yapike
Kabla ya kupika mwaga yale maji uliyolowekea na uyaoshe tena kidogo

Dakika 10 tu kwenye gas au 20

Yanaiva vizuri sana na yanakua mazuri
Yanakua yamepungua kabisa gas kwa hiyo kwa watu wenye shida na maarage haya ni mazuri sana
Tia nazi yako ya kutosha
Unga kwa viungo upendavyo
Kwa wali au kwa chakula chochote
 
Nunua maarage masafi kabisa ambayo hayajakaa sana store
Ambayo hayajakaa sana store bado yana rangi yake kama soya njano unakuta unjano umekolea sana
Ila kama yamekaa store yanaanza kuwa kahawia
Uyasafishe vizuri kisha loweka kwenye bakuli na maji ya kawaida
Kwa masaa zaidi ya 6
Au kama unapika jioni loweka asubuhi
Ukirudi yapike
Kabla ya kupika mwaga yale maji uliyolowekea na uyaoshe tena kidogo

Dakika 10 tu kwenye gas au 20

Yanaiva vizuri sana na yanakua mazuri
Yanakua yamepungua kabisa gas kwa hiyo kwa watu wenye shida na maarage haya ni mazuri sana
Tia nazi yako ya kutosha
Unga kwa viungo upendavyo
Kwa wali au kwa chakula chochote
Maarage ndio kidude gani?
Yanaitwa maharage au maharagwe
 
Sema namna ya kupika kirahisi maharage mapya. Ila kama Kuna njia ya kupika maharage kirahisi yote kwa ujumla anzisha Uzi mwingine. Usitiwekee masharti ya mahage ambayo hayajakaa sana.
 
Sema namna ya kupika kirahisi maharage mapya. Ila kama Kuna njia ya kupika maharage kirahisi yote kwa ujumla anzisha Uzi mwingine. Usitiwekee masharti ya mahage ambayo hayajakaa sana.
Hata hayo ya zamani yanafaa
Sasa masharti gani???
Maaarage yoyote yanafaa
Vizuri tu
Ila matokeo sio sawa kama yamekaa sana store
Ni sawa nakutaka mchuzi mzuri kwa nyanya mbovu
Afu mbona kama umevurugwa wewe?
 
Hata hayo ya zamani yanafaa
Sasa masharti gani???
Maaarage yoyote yanafaa
Vizuri tu
Ila matokeo sio sawa kama yamekaa sana store
Ni sawa nakutaka mchuzi mzuri kwa nyanya mbovu
Afu mbona kama umevurugwa wewe?
Nimecheka kwa sauti mpaka nilio nao wamenishangaa. SIJAVURUGWA DADAA KE, Niko sawa ila sikukuelewa hapo uliposema malage mapya
 
Nunua maarage masafi kabisa ambayo hayajakaa sana store
Ambayo hayajakaa sana store bado yana rangi yake kama soya njano unakuta unjano umekolea sana
Ila kama yamekaa store yanaanza kuwa kahawia
Uyasafishe vizuri kisha loweka kwenye bakuli na maji ya kawaida
Kwa masaa zaidi ya 6
Au kama unapika jioni loweka asubuhi
Ukirudi yapike
Kabla ya kupika mwaga yale maji uliyolowekea na uyaoshe tena kidogo

Dakika 10 tu kwenye gas au 20

Yanaiva vizuri sana na yanakua mazuri
Yanakua yamepungua kabisa gas kwa hiyo kwa watu wenye shida na maarage haya ni mazuri sana
Tia nazi yako ya kutosha
Unga kwa viungo upendavyo
Kwa wali au kwa chakula chochote
Hayatapoteza virutubisho kwa kuyaloweka muda mrefu?
 
harage la bweni sitalisaha lilikua linadunda kwenye bakuli kama tenesi
 
Acha niwe nanunua tu, hiyo mboga naipenda ila inamaliza gesi tu.

Na vipi ile njia ya kuweka kwenye chuoa ya chai ikoje?
 
Nunua maarage masafi kabisa ambayo hayajakaa sana store
Ambayo hayajakaa sana store bado yana rangi yake kama soya njano unakuta unjano umekolea sana
Ila kama yamekaa store yanaanza kuwa kahawia
Uyasafishe vizuri kisha loweka kwenye bakuli na maji ya kawaida
Kwa masaa zaidi ya 6
Au kama unapika jioni loweka asubuhi
Ukirudi yapike
Kabla ya kupika mwaga yale maji uliyolowekea na uyaoshe tena kidogo

Dakika 10 tu kwenye gas au 20

Yanaiva vizuri sana na yanakua mazuri
Yanakua yamepungua kabisa gas kwa hiyo kwa watu wenye shida na maarage haya ni mazuri sana
Tia nazi yako ya kutosha
Unga kwa viungo upendavyo
Kwa wali au kwa chakula chochote
Thanks
 
Picha ya hayo Maharage iko wapi?

Kwa jinsi ulivyo wasilisha uzi wako ni kama vile watu wote tunayajua hayo maharage.
 
Back
Top Bottom