Vimto kutoka Saudia ni kinywaji bora kama utaweza jaribu kunywa hutajuta

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,270
1657284251347.png
Asili ya kinywaji hiki kilitengenezs mwa kwanza Manchester Uingereza miaka ya 1800+. Ni mchanganyiko wa berries na zabibu zilizosagwa pamoja na viasilia vingine.

Kinywaji hiki kilitumiwa sana na wanajeshi wakati wa WWI, walifungiwa mabox ya Vimto na kuoekekewa huko mstari wa mbele.

Miaka ya 1900+ waarabu walipata leseni ya kutengeneza Vimto na waliendelea kuitengeneza kwa ubora ule ule. Leo hii Vimto ya Saudia imebaki kuwa bora kuliko ile inayotengenezwa Uingereza. Arabuni kinywaji hiki ni maarufu hasa wakati wa Ramadhani baada ya mfungo wa siku nzima.

Kwa ubora wake changanya 100mls za Vimto kwenye jug la maji lenye ujuzi wa 500mls. Maji ya baridi yanafaa zaidi.

Si kuwa ninawafanyia promotion lakini ningependa kizuri tukinywe wote. Mbele ya Vimto ya Saudia huwa beer 🍺 siipi nafasi.
 
View attachment 2284531
Asili ya kinywaji hiki kilitengenezs mwa kwanza Manchester Uingereza miaka ya 1800+. Ni mchanganyiko wa berries na zabibu zilizosagwa pamoja na viasilia vingine.

Kinywaji hiki kilitumiwa sana na wanajeshi wakati wa WWI, walifungiwa mabox ya Vimto na kuoekekewa huko mstari wa mbele.

Miaka ya 1900+ waarabu walipata leseni ya kutengeneza Vimto na waliendelea kuitengeneza kwa ubora ule ule. Leo hii Vimto ya Saudia imebaki kuwa bora kuliko ile inayotengenezwa Uingereza. Arabuni kinywaji hiki ni maarufu hasa wakati wa Ramadhani baada ya mfungo wa siku nzima.

Kwa ubora wake changanya 100mls za Vimto kwenye jug la maji lenye ujuzi wa 500mls. Maji ya baridi yanafaa zaidi.

Si kuwa ninawafanyia promotion lakini ningependa kizuri tukinywe wote. Mbele ya Vimto ya Saudia huwa beer 🍺 siipi nafasi.
Kinapatikana wapi?
 
Zilikuwa zinatengenezwa zamani hapa Tanzania na kiwanda cha mhindi mmoja akiitwa Viran. Kusema kweli kwangu ni kinywaji kizuri sana. Ukiinywa ya baridi wakati wa joto la Dar unapata burudani ya aina yake.
Hata Tanga wale Wahindi wa Khanbai Pharmacy walikua wanatengeneza concentrated syrup walitumia strawberries kutoka Lushoto. Sikuhizi hakuna vitu hivi tena.
 
Unakumbuka zamani kuna mhindi mmoja nadhani sasa ni marehemu, aliitwa Viran. Nadhani alikuwa mfadhili wa Yanga. Kiwanda chake kilikuwa kinatengeza na zilikuwa zinapatikana kwenye vichupa vidogo vidogo hasa maeneo ya Kariakoo. Sidhani kama zilikuwa zinafika mikoani.
Mama alininunulia sana hizi pamoja na skonzi ili njaa isiniadhibu shuleni.
Zilitufikia hata sisi wa mikoani.
 
Back
Top Bottom