Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wakuu habari zenu, naomba kufahamishwa kuhusu msemo usemao "kata pua uunge wajihi" una maana gani katika maisha halisi. Ahsanteni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salam. Pambana na hali yako ...Kapambane na hali yako ...Kwani si upambane tu na hali yako ?! ...Umeshindwa kupambana na hali yako ?... Nini maana ya ukapambane na hali yako ? Ukakwibe ? Short...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Unakuta mtangazaji Kwa kujiamini kabisa anatamka BALE(Kiswahili) badala ya beil. Au Lesesta(Leicester) badala ya kusema leista. Leo nimemsikia mtangazaji gwiji wa michezo anatamka Brighton HoVE...
22 Reactions
223 Replies
18K Views
Kukicha au kukikucha? Haya maneno yamekuwa yakitumika mara nyingi sana ila sijui lipi ni sahihi na lipi sio sahihi. 1:Kukicha tu naanza safari. 2:Kukikucha tu '''''''''''’'"'''''’'''''’''...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Treat every part of your towel nicely, because the part that wipes your buttocks today will wipe your face tomorrow. Kwa lugha yetu = Tumia kila sehemu ya kitambaa chako vizuri, kwa sababu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tusaidie uhusiano uliopo baina yao,unaweza pia kutoa maelezo kidogo "Aisha introduces John as the son of the only brother of his father's wife. How is John related to Aisha?" Sent using Jamii...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Wadau wa lugha naombeni maana ya neno yafuatayo kwa kiingeleza 1. Ukanushi 2. Yakinishi sent using [emoji85]
1 Reactions
17 Replies
7K Views
SAYANSI YA MAPEPO. Maharage maharage,maharage leo kala Sharubati kawa mbege,kelele kila mahala Twiga kaota matege,na kijipembe cha swala Hayakua ni matusi,pale akemea pepo. Kweli mlichokiona,ile...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Hakuna uandishi bora au andiko bora pasipo uhariri bora. Hivyo uandishi mzuri hauwezi kutengwa na uhariri bora. Ni dhahiri kuwa makala au andiko lililohaririwa vyema na kwa ustadi wa hali ya juu...
4 Reactions
1 Replies
4K Views
Nin? Maana Ya Code?
0 Reactions
0 Replies
738 Views
kwenye mada moja kwa moja hivi majina kama vile lusungu, lukelo, twilumba na hata anjimie hivi majina haya huweza tumika kwa aina zote mbili za binadam nikimaanisha wanaume na wanawake au...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakubwa, hivi Mti unao itwa Moringo kwa kiingereza, kwa Kiswahili ndio Mlonge?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
[emoji673] Nukta muhimu ya lugha: ukiambiwa *shukran* ni makosa kurudisha neno *afwan*(nimekusamehe) kwani hayaendani; kwamba vipi unasamehe anayekushukuru! Sahihi mtu anapokwambia *shukran*...
9 Reactions
16 Replies
6K Views
Naomba kujua kwanini Raisi anapenda kutumia neno wanyonge? hili neno tafsiri yake ni nini?
0 Reactions
7 Replies
9K Views
TUFAHAMIANE MAKABILA YETU KILA MTU ATAJE KABILA LAKE MEME #MHA WW?
0 Reactions
6 Replies
684 Views
Ukisikia kwenye vipindi vya Radio na Tv na mijadala mbalimbali jinsi Kiswahili kinavyokuzwa na huku Wakikiponda Kiingereza, utadhani Kiswahili ni lugha moja iliyoenea sana Ila Kumbe ukienda nchi...
19 Reactions
137 Replies
13K Views
Rais wa Tz JPM yupo live akizindua soko la Tumbaku huko Malawi,anahutubia kwa kutumia lugha yetu ya Kiswahili huku kukiwa na mkalimani. Je hii ni namna ya kulinda lugha na kuitangaza lugha...
5 Reactions
70 Replies
7K Views
Habari wanajamvi, Kuna baadhi ya taasisi kubwa ambazo zinatumia vibaya neno tunapenda. Zinatumia neno hilo kutoa taarifa njema na mbaya bila kujali muktadha. Kuna siku niliona taarifa kwa uma...
1 Reactions
1 Replies
862 Views
Heshima kwenu wakuu, ninawiwa kujua maana ya neno 'dhaifu' kwa wale mnaofahamu.
0 Reactions
21 Replies
18K Views
Nimeulizwa swali ila nikakosa jib... maana halisi ya neno blackmail,
0 Reactions
28 Replies
13K Views
Back
Top Bottom