Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,882
- 38,512
Linaweza kuonekana swali la kipuuzi lakini haya maneno kama huwa yanatatiza.
Hivi mtu akisema ananifahamu na mwingine akasema ananijua. Wanaweza kuwa na maana sawa? Au yanatofautiana wapi. Je, lipi lipaswa kutumiwa wapi na lisitumiwe wapi.
Je, mtu anaweza akanifahamu lakini asinijue?(na pia kinyume chake)
Hivi mtu akisema ananifahamu na mwingine akasema ananijua. Wanaweza kuwa na maana sawa? Au yanatofautiana wapi. Je, lipi lipaswa kutumiwa wapi na lisitumiwe wapi.
Je, mtu anaweza akanifahamu lakini asinijue?(na pia kinyume chake)