Bakari China
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 251
- 583
Habari wakuu mimi ni mwanafunzi kujifunza Kiswahili nchini China. Mimi nahitaji kamusi za Kiswahili lakini nimeshapata moja tu.
Maswali matatu:
La kwanza: huko Tanzania watoto wa shule za msingi hutumia kamusi gani?(kwa sababu nina msingi wa Kiswahili tu) na baada nijifunze zaidi nahitaji kamusi gani kwa watu wazima?
La pili: najua Kiingereza kidogo, kwa hivyo kamusi za Kiswahili~Kiswahili, za Kiingereza~Kiswahili, za Kiswahili~Kiingereza nazihitaji zote. zipi nazihitaji kabisa, mwasemaje? (Ikiwa na kamusi za Kiswahili~Kichina&Kichina~Kiswahili itakuwa vizuri sana)
La tatu: vipi naweza kupata kamusi hizi? kwenye mtandao wa China sijaiona kamusi yoyote ya Kiswahili. Tafadhali nipe tovuti kadhaa km. AMAZON ya TANZANIA, ili nipate njia ya kupata kamusi
shukran nyingi kabisa
Maswali matatu:
La kwanza: huko Tanzania watoto wa shule za msingi hutumia kamusi gani?(kwa sababu nina msingi wa Kiswahili tu) na baada nijifunze zaidi nahitaji kamusi gani kwa watu wazima?
La pili: najua Kiingereza kidogo, kwa hivyo kamusi za Kiswahili~Kiswahili, za Kiingereza~Kiswahili, za Kiswahili~Kiingereza nazihitaji zote. zipi nazihitaji kabisa, mwasemaje? (Ikiwa na kamusi za Kiswahili~Kichina&Kichina~Kiswahili itakuwa vizuri sana)
La tatu: vipi naweza kupata kamusi hizi? kwenye mtandao wa China sijaiona kamusi yoyote ya Kiswahili. Tafadhali nipe tovuti kadhaa km. AMAZON ya TANZANIA, ili nipate njia ya kupata kamusi
shukran nyingi kabisa