wataalamu wa lugha naomba tafsiri ya hayo maneno kwa lugha ya kingereza.
mengine ni kama
1• huisha (anaweza kui huisha nafsi yako)
2• kimbembe
3• sakata (sakata la pesa za ujenzi...)...
Habari?
Hongera CAG mstaafu kwa kustaafu kwa heshima na karibu CAG mpya.
__
Moja kwa moja niende kwenye mada.
Ninaamini wadau waliomo humu wamepata elimu angalau ya darasa la saba, kama wapo wa...
Hakuna ambaye anajua kutamka neno hili kwa usahihi. Wahudumu wa ndege kwa Kiingereza wanaitwaje?
Chagua jibu sahihi
A. Air hostage
B. Hair Hostess
Jibu ni kati ya hayo mawili hapo juu.
I can neither confirm nor deny that any intelligence was shared to facilitate last night's operation.
Kwa kweli
When a diplomat says yes, he means perhaps; when he says perhaps, he means no...
Hakuna ambaye anajua kutamka neno hili kwa usahihi. Wahudumu wa ndege kwa Kiingereza wanaitwaje?
Chagua jibu sahihi
A. Air hostage
B. Hair Hostess
Jibu ni kati ya hayo mawili hapo...
Naomba kujua matumizi yake,
Kwa mfano mtu anataka umpishe utasikia sorry naomba kupita. Mwingine atasema excuse me. Usahihi wake upo wapi?
Nisaidieni,
we are still learning!
MAONI YA MDAU...
Wanajanvi, nawasalimu kwa jina lake yeye aliyetupa uhai
Wajuvi wa hii lugha iliyoletwa na ndege na meli. Naomba kujua matumizi ya haya maneno:
1. Shall
2. Will
3. Could
4. Would
Ni sehemu gani...
Nadharia ya Kiswahili
Kiswahili ni lugha ya Kibantu inayotumiwa na watu katika mawasiliano hasa Afrika Mashariki na ya Kati. Lugha ni sauti za nasibu zenye mpangilio maalumu zilizokubaliwa na watu...
Naomba kujua tofauti ya maneno haya
Criticism
Arguments
Blaming
Critical points
Je ni nini utofauti wake na lugha gani inapaswa kutumika ili kusadifu kwamba upo katika kundi hilo?
Mfano katika...
Habari wakuu!
Siku hizi ninafanya utafiti wa lugha zinazotumiwa na makabila nchini Tanzania na Kenya. Tafadhali nisaidie kutaja majina ya lugha hizo.
Shukran
Hellow Bosess
Leo nimevutiwa na nukuu moja kutuka kwenye kitabu cha kiswahili nimeiona kwenye post ya Kapula la Marx (nimesahau kidogo jina, nimeutafuta ule uzi sijauona tena)
Noamba kujua ni...
Bonjour! bonjour! bonjour!!
Hello! hello! hello!!
Ndugu; Kwa wale wanaozungumza au kutumia Lugha ya Kiingereza mtakubaliana na mimi kuwa ni ukweli ulotukuka kuwa lugha ya kiingereza imesheheni...
Habari wakuu mimi ni mwanafunzi kujifunza Kiswahili nchini China. Mimi nahitaji kamusi za Kiswahili lakini nimeshapata moja tu.
Maswali matatu:
La kwanza: huko Tanzania watoto wa shule za msingi...