Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Nataka kujifunza lugha ya Kisumbwa, anaeweza anisaidie.
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Kifaransa nilikisoma kidogo mwaka 2004 pale Makongo Form 3 baadaye ya kuhamia pale tokea Lake Secondary School ya Mwanza. Sina msingi mzuri wa Form One and Two kwani sikufanikiwa kupata msingi...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
There's no doubt that English language is the dominant, first class business and science and technology language. Many life principals, wisdom, knowledge and practical skills are documented in...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Nahitaji kujifunza lugha hizo mbili (in a formal way) kwa wakati mmoja. Dar es salaam. Ratiba isiwe ya kunibana sana. Wapi nitapata huduma hii kwa uhakika zaidi?
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Ni mradi unaohusiana na kuwepesisha mafunzo ya hukumu mbali mbali ya Uislamu kwa lugha mbali mbali, kwa lengo la kueneza Uislamu ulio sahihi kwa waislamu. Mradi huu unajumuisha kitabu chenye picha...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nlisikia iyo sentensi kwenye nyimbo ya harmonize inaitwa "kushoto kulia" Harmonize alisema "sipigi ngenga, pesa ninayo", sasa najiuliza kupiga ngenga maana ake ni nini?
2 Reactions
12 Replies
5K Views
Asubuhi = good morning Mchana = good afternoon Jioni = good evening Usiku =? Siyo kama sijui kama kuna goodnight, lakini kwa sababu good night inatumika watu kutakiana usiku mwema, imagine mtu...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu samahani naomba kujua tafsiri ya neno PISI linatumiwa sana Mawingu studio na Millard kwa walimbwende wa Mashindano ya Taifa! Na kama haijakaa sawa kutumiwa kwa walimbwende hawa inakuwaje...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau nimeikuta kwenye televisheni mtangazaji aliuliza mwishoe hakutoa jibu. Binafsi sijui Nini tafauti kati ya glass na bilauri? POVU RUKSA
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hi, Looking for people who understand a little bit about Sport and are able to write in Swahili. We're looking to pay $3 for 400 words. All articles should be unique and will be checked for...
1 Reactions
4 Replies
955 Views
Wanajanvi, Hebu leo nijuzeni. Neno Mungu si Athumani, ni msemo wa tangu na tangu. Naomba kujua, huyu Athumani ni nani, asili yake wapi hata atumiwe katika heshima ya Mwenyezi?
2 Reactions
14 Replies
7K Views
Inakuwaje! Humphrey Polepole akiongea Kiingereza enzi hizo. Watu 'wanatokaga' mbali sana.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
MZURURAJI Nenda kote uzunguke Kapayuke upasuke Umbea kautangaze Na taifa uliuze Wazalendo twasubiri Kikinuka tukuanze Mjinga sana ni wewe. Kijijini una ndugu Tena masikini sugu Kula yao hawajui...
1 Reactions
2 Replies
864 Views
Habari zenu waungwana, Naombeni msaada wenu, juu ya maana ya neno "Asha kum si Matusi" Maana watu hulitumia na kuweka neno la tusi mfano; Asha kum si matusi - Mbwa wewe.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Tafadhali Naomba mwenye maono na uelewa mpana juu ya neno hili "club" kama linavyotumika .. xie xie =ahsante #jr
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Kwa wanaofahamu naomba mnijuze ALFAJIRI, ASUBUHI, MCHANA, ALASIRI, JIONI, USIKU, USIKU WA MANANE ni kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi?
1 Reactions
10 Replies
56K Views
Huwa tunatumia sana hili neno katika mchezo wa mpira tukimaanisha (TIMU MBILI MASHUHURI ZA MJI MMOJA ZIKIKUTANA NA KUCHEZA PAMOJA) ndo tuna sema DERBY. Sasa hili neno DERBY tumelizoea sana...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Habari za jioni Wakuu, Nina swali hivi Rais akiwa Mwanaume mke wake huitwa First Lady. Je, Mke akiwa Rais mume wake anaitwaje?
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Maana ya regime ni nini? je, neno regime lina maana sawa na government? Niliwasikia wajumbe wa kamati mojawapo ya European Union wakisema Tanzania kuna regime ambao alipewa hela za covid-19...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu, Wasafi FM wanatangazo la kutuhimiza kwenda kupiga KURA. Ajabu kabisa hata waliolitengeneza hilo tangazo wameona mtangazaji yupo sasa kusema tukapige KULA tena kwa msisitizo. Aibu.
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom