Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
METHALI MIA SITA NA KUMI (610) 1. Aanguaye huanguliwa. 2. Asiye sikia la mkuu, huvunjika guu. 3. Abebwaye hujikaza. 4. Adhabu ya kaburi aijuae maiti. 5. Adui aangukapo, mnyanyue. 6. Adui mpende...
1 Reactions
17 Replies
51K Views
Ndugu mabaharia na maharia, kama title inavosomekahapo juu, hilo neno kwangu limekuwa ni kitendewili sana hasa ninapokuwa nachati na marafiki wakike. Unakuta unamsalimia anakujibu, halafu baada...
6 Reactions
67 Replies
54K Views
Hello, am a English Lerner (both wirting and speaking), I need a teacher who will guide me and talking to me through the phone at least one hour per day, then I pay in according to how will make...
4 Reactions
41 Replies
5K Views
Nawasalimu wana jf, leo nimekuja na hii dhana ya Ushairi kwa mujibu wa Sheikh Amri Abed Kaluta: "shairi ni wimbo hivyo kama shairi haliimbiki shairi hilo halina maana" Je, dhana hii bado ina...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimekutana na kifupisho hicho kwenye matumizi ya mazungumzo katika mitandao mara nyingi ila nimechemka kufahamu maana yake, naomba wajuzi wa kudadavua mnisaidie maana yake.
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Wadau nina shida ya kujifunza kiingereza cha kuongea naombeni msaada maana interview zinanitesa sana. Kama unaweza nisaidia ni inbox tuongee kwa kina.
2 Reactions
26 Replies
5K Views
Wakuu, hivi maaana ya hili neno "Achuz" ni nini? Msaada tutani.
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Hakika Haya maneno yananisumbua kuyaelezea kwa tafsiri sahihi. Naishia kusema tu mtu ni binadamu na binadamu ni Mtu. Karibuni wataharamu wa lugha. Munisaidie Kunipa tofauti Ya haya Maneno...
1 Reactions
29 Replies
8K Views
Wimbo wa kiingeleza wa kutakiana kheri ya siku ya kuzaliwa hivi umeshindikana kuutafasiri? Mbona tunazidi kuwatukuza hawa mabeberu....siamini kama lugha yetu pendwa bado I maskini wa maneno...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Nasema uongo ndugu zangu? Huu msemo kwasasa ndio unatrend sana hapa jamiiforums. Ni nadra sana ukafungua uzi wowote halafu kwenye comment 10 za mwanzo usikutane na huu msemo, ni nadra sana! Nasema...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu, nmekuwa nikisoma hapa JF, mara nyingi tu huu msemo kuwa "" nasema uongo ndugu zangu?".... Naomba kufaham msemo huu ulitokea wapi na ni nani mwasisi wake, huwa unatumika katika mzingira...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari jf najua humu kuna wataaramu wa kuongea english bila kubabaika naomba mnijuze njia ninazoweza kuzitumia kujifunza bila kuwepo mwalimu Maana nina ndoto za kuwa wa kimataifa
1 Reactions
4 Replies
45K Views
Wakuu vipi, hamjambo? Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza naomba msaada wa namna ya kujua kuongea ung'eng'e vizuri mbele ya watu. Nimesoma mpaka digrii ya kwanza lakini najiona fala...
4 Reactions
63 Replies
18K Views
Habari wakuu Nimekua nikilisikia hili neno "SHAHIDI"hasa kwenye siasa za jamhuri ya watu wa Iran. Je, lina maana gani? Msaada tafadhali.
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Swali ndo Hilo Hapo Kazi kwenu kirefu Cha neno "BOMA"
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nini maana ya msemo " Riziki Mafungu Saba". Wanajukwaa nini maana ya huu msemo?
2 Reactions
5 Replies
12K Views
Breath and Breathe what is the difference between? I need your help!!
2 Reactions
3 Replies
648 Views
TBC1 na ITV - Ninyi mnatofautiana kuandika neno MBASHARA? MUBASHARA? USHAURI: Nendeni BAKITA wawapatie neno sahihi maana inaonekana mnashindana wananchi hatuelewi LIPI ni neno sahihi? MUBASHARA...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Nataka kujifunza lugha ya Kisumbwa, anaeweza anisaidie.
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Kifaransa nilikisoma kidogo mwaka 2004 pale Makongo Form 3 baadaye ya kuhamia pale tokea Lake Secondary School ya Mwanza. Sina msingi mzuri wa Form One and Two kwani sikufanikiwa kupata msingi...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Back
Top Bottom