Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Zawadi Lupelo Wanajamvi salamu kwanza! Nimeusikiliza wimbo mpya wa Diamond Platnumz kwa makini sana. Kitu kilichonitatiza na kuja kunishughulisha hapa jamvini ni neno hallelujah na namna...
31 Reactions
298 Replies
53K Views
Nantwambe-umeamkaje /kwa wanaume Nantwama-umeamkaje/wanawake Nesindiswa mbe-umeshindaje /baba Nesindiswa ma-umeshindaje/ kwa mwanamke mwana-mtoto Msoro/Msero- Son Sambura-Daughter Mfu- mabinti...
4 Reactions
63 Replies
53K Views
Haraka Haraka Haina Mbaraka Kawie Ufike Chelewachelewa utakuta mgeni si wako Ngoja Ngoja yaumiza matumbo Hizi zinachanganya sana, una nyingine?
0 Reactions
14 Replies
51K Views
Kwa anayefahamu jina hasa la mtoto wa mbuzi kwa kiswahili anifahamishe.
0 Reactions
22 Replies
51K Views
Oats zinaitwaje kwa Kiswahili? Na wapi zinapatikana kwa bei rahisi, zisizo kwenye makopo.
0 Reactions
6 Replies
49K Views
ndg wana JF, Mwenye kujua kwa ufasaha tofauti kati ya riwaya na tamthiliya anisaidie jaman.
0 Reactions
7 Replies
49K Views
WanaJF ninaomba 2saidiane mana 2libisha sana kiasi kwamba 2meshndwa kuelewa nan yupo sawa
1 Reactions
63 Replies
49K Views
Vipi kuhusu Eric James Shigongo? Mbona anaandika sana hadithi, je yeye siyo gwiji kuzidi akina Hammie Rajab, Ben Mtobwa na Eddie Ganzel? Kuna watu wanadai kuwa anatafsiri riwaya za watu wengine je...
1 Reactions
27 Replies
48K Views
RIWAYA: Mwanafunzi Mchawi ( A Wizard Student ) - Sehemu ya Kwanza MTUNZI:ENEA FAIDY Ilikuwa ni majira ya saa moja jioni ambapo mkuu wa while ya Mabango alikuwa ofisini kwake akiwa amechanganyikiwa...
5 Reactions
71 Replies
48K Views
Wajameni; kuna mtu anaweza kunipa link itakayonisaidia kupata Misemo ya kiswahili katika mtandao?
1 Reactions
20 Replies
48K Views
Karudi baba fulani, toka safari ya nje Kavimba yote maini, na kucheua punje Wanae wakaleta ubani, ili kuepua njenje Wakataka na madini, yawafae nje nje Akatamka mtumbua, nimevimbiwa kwelikweli...
1 Reactions
172 Replies
47K Views
Wadau wa lugha naomba kujuzwa nini maana ya "Ashakum si Matusi"? Au hii sentensi inatumikaje?
0 Reactions
44 Replies
47K Views
Habari wadau wa jamvini, Hope mnaendelea vizuri na mapambano ya kitaifa na uchumi wa kati. Nilikuwa nataka kujua na kufahamu maana halisi juu ya huu msemo uliozuka wa kwa Mpalange. Juzi kati...
2 Reactions
60 Replies
47K Views
A - a -a prep. of. -a baridi adj. cold. abiria n. passenger. -abudu v. worship; adore. -a bure adj. free. -acha v. cease; allow; leave; let go; abandon. -achana v. leave each other...
7 Reactions
43 Replies
46K Views
Bagalu bichane, aliyoneyo, nandje kwa kubagisha pye! Salaam kwa wote. Samahani wakuu, inaniwia vigumu kuandika kwa kutumia lugha moja kuwasilisha hoja na maswali yangu. Ningelipenda sana lakini...
1 Reactions
62 Replies
45K Views
Jamani haya maneno mawili yananitatiza sana naombeni tusaidizane tofauti iliyopo kati ya mapenzi na mahaba.
0 Reactions
4 Replies
45K Views
Ulikuwa unavutiwa zaidi na yupi kati ya wakali hao?
2 Reactions
191 Replies
45K Views
Huku Taifa likipokea wawekezaji wengi kutoka nchi zinazozungumza lugha ya kiarabu duniani na pia kuwepo kwa fursa za ajira na biashara katika nchi zinazozungumza kiarabu (Morocco, Algeria, UAE...
22 Reactions
410 Replies
45K Views
Hili neno linasumbua wengi (wengine wameishia kuita hivyo hivyo, wengine huita vijiti vya meno na wengine huita kichokonoo hasa kule Zbar) lakini naomba kushirikisha hapa kwamba maana yake ni...
0 Reactions
7 Replies
44K Views
Tangu nikue, hadi nimemaliza chuo, ni neno moja tu ninaloliona na kuliskia, iwe ni dukani, kwenye TV n.k.: Blue Band. Je, kwa kiswahili inaitwaje? maana nime-google sipati jibu, japo nahisi neno...
0 Reactions
61 Replies
44K Views
Back
Top Bottom