Nini maana ya haya maneno mapenzi na mahaba?

Nini maana ya haya maneno mapenzi na mahaba?

marko maluli

Senior Member
Joined
Mar 14, 2015
Posts
164
Reaction score
49
Jamani haya maneno mawili yananitatiza sana naombeni tusaidizane tofauti iliyopo kati ya mapenzi na mahaba.
 
Wewe chagua magufuli kwanza,hayo utayajua baadae tukishaboresha elimu yetu.
 
Mapenzi ni hisia za upendo kwa mwenza wako na mahaba ni vitendo vya kuyathibitisha mapenzi hayo!una fanya mahaba ili kudhihirisha penzi lako! mapenzi ni hisia ulizo nazo na ili kuzi onesha utafanya mahaba ,na mahaba vitakua ni vitendo mbalimbali -jinsi unavyo mwangalia kwa huba mpenzi wako,unavyomwitikia ,unavyomsikiliza ,utakavyomgusa,na hata jinsi ya kugombana nae!na mapenzi yaso mahaba sawa na nyumba iliyo sanifiwa vyema ila ikawa haina plaster ,rangi,hata dari !hakika haitapendeza!
 
Mapenzi ni hisia za upendo kwa mwenza wako na mahaba ni vitendo vya kuyathibitisha mapenzi hayo!una fanya mahaba ili kudhihirisha penzi lako! mapenzi ni hisia ulizo nazo na ili kuzi onesha utafanya mahaba ,na mahaba vitakua ni vitendo mbalimbali -jinsi unavyo mwangalia kwa huba mpenzi wako,unavyomwitikia ,unavyomsikiliza ,utakavyomgusa,na hata jinsi ya kugombana nae!na mapenzi yaso mahaba sawa na nyumba iliyo sanifiwa vyema ila ikawa haina plaster ,rangi,hata dari !hakika haitapendeza!

ofcoz!
 
Mapenzi ni kutumia viungo vyenu vya uzazi... mahaba ni hisia za upendo lakini unazionesha kwa vitendo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom