Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,142
- 13,216
Hili neno linasumbua wengi (wengine wameishia kuita hivyo hivyo, wengine huita vijiti vya meno na wengine huita kichokonoo hasa kule Zbar) lakini naomba kushirikisha hapa kwamba maana yake ni kimbaka, vikiwa vingi vimbaka...(mchango zaidi)
Chanzo: Malenga wa Kiswahili-Kipindi cha kiswahili TBC FM
Chanzo: Malenga wa Kiswahili-Kipindi cha kiswahili TBC FM