Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Naomba kupata ufafanuzi/maana na tofauti ya maneno haya ya Kiswahili:- 1. Kipaji 2. Kipawa 3. Karama Natanguliza shukrani.
1 Reactions
6 Replies
13K Views
Hamjambo? Naomba tafsiri ya 'Social Enterprise' kwa Kiswahili fasaha.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Katika taarifa ya habari Dira ya dunia BBC jioni ya tarehe 15/11/2021 mwadishi wa habari kutoka Kenya amesema watu kadha WAMEHEPA kutoka gereza fulani,Bakita mtusaidie
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Na nitasimama tena, si ndotoni hadharani Na mtaniona mchana, sio usiku gizani Mtaona ninayonena, kutoka kwangu kinywani Na nitasimama tena, si ndotoni hadharani Kwa akili nayasema, sijawa...
1 Reactions
1 Replies
911 Views
Haya ni baadhi ya yaliyosikika mwaka huu Kimeumana Kupigwa na kitu kizito Kuupiga mwingi Utajua hujui Mbususu Mwendazake Pira biriani .......
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wana Jukwaa, Wiki hi kuna neno limekuwa likitumika sana na chombo Kimoja Cha Habari (Swahili Times), "Mwendazake" sielwagi wanamaanisha Nini Mwanajukwaa yoyote naomba anisaidie.
0 Reactions
9 Replies
13K Views
Nimekuwa nikifuatilia kesi ya Ndugu Mbowe na wenzake lakini mara nyingi Mawakili wa Serikali wakitaka kupinga hoja za Mawakili wa utetezi utasikia wakisema kuwa hoja hii HAINA MASHIKO. Sasa...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Naomba kama kuna mtu anamfahamu mtu au mwalimu anayeweza nifundisha lugha ya kidutch please naomba mnisaidie mawasiliano au hata sehemu alipo. Asanteni.
1 Reactions
3 Replies
972 Views
Hakuna kitu nachokichukia na kinachonikera kama kusikia kuna watu wana amini kuwa eti Ushairi umeendelea kwa sababu ya waarabu na wengine kwenda mbali zaidi na kusema Kiswahili ni kiarabu na...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Neno Stationery huwa mara nyingi huandikwa Stationary. Sehemu nyingi ilipo Stationery inaandikwa stationary. Maana; Stationery-duka la vifaa vya shule na elimu. Stationary-kusimama au kubaki pale...
8 Reactions
16 Replies
3K Views
Nakumbuka miaka ya 80s - 90s wakati nakua nlikuta maneno ya zamani baadhi ni kama kuita Polisi, Mamwela au Manjagu na Mapongo sasa hv tunawaita Tigo au....Wanawake zamani tuliwaita Ngaya. Kufanya...
3 Reactions
40 Replies
6K Views
Hata mimi wakitamka neno "KANDA SIELEWI" huwa nini maana yake!? Tuwaandalie!
0 Reactions
0 Replies
865 Views
Hili tunda linaitwaje kwa Kiswahili? Je? Linapatikana Tanzania. Kwa waliowahi kutumia hili tunda, lina ladha na harufu ya namna gani. Lina virutubisho gani au madhara gani?
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Nipo nasoma sheria zenu, Penal Code (2019) inakosa kidogo kwenye kiingereza limetumia neno 'Parson' badala ya 'Person' katika Ibara ya 176 Neno person ni tofauti na Parson
0 Reactions
1 Replies
770 Views
Wapare: Thubu(supu) Wanyakyusa: Kikombe kya kyai kya kyuma Wahaya: Unangangania, nk
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu naomba maana ya maneno haya! 1.Kuoa 2.kuolewa 3.kuoana Mi naona yananichanganya hivi,hasa hilo neno KUOANA
1 Reactions
29 Replies
9K Views
Hili neno " Magabachori" lilitumiwa sana mchungaji Mtikila RIP wakati anagombea ubunge Ludewa kwa tiketi ya Chadema baada ya kifo cha Kolimba. Gabachori ni nani? Maulid mubarak!
3 Reactions
27 Replies
4K Views
Nini chimbuko la maneno haya mawili: 1. Tafsiri 2. Mawasiliano Kwa wataalamu wa kiswahili
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naombeni mnifundishe maana na matumizi kwa kupatiwa sentensi ya neno muktadha
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Baada kuishi sehemu tofauti kuna lugha kama code ambazo kama ufahamu basi kazi bure. Lugha hizi mfano Kariakoo :- *kimeo - neno hili linatumika pale kama kitu kibovu au jambo baya au...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom