Maneno yanayonichanganya

KASULI

JF-Expert Member
Aug 6, 2020
599
669
Wadau lipi neno sahihi kati ya..

1. "Mbaka" au "Mpaka"

Mfano mtu aseme.....

"Mbaka sasa hakuna mshindi katika Pambano hili"

au

"Mpaka sasa hakuna mshindi katika pambano hili"

Yupi yuko sahihi hapo?


2. "Hembu" vs "Hebu"

Mfano:

"Hembu! Sogea nipite nikuoneshe"

Au

"Hebu! Sogea nipite nikuoneshe"


Kipi ni sahihi na kipi sioo Sahihi

Karibuni tujadilianeeee


Mara nyingi haya maneno yanatumiwa sana na Wakazi wa Dar Es Salaam na Maeneo ya Pwani
 
Wadau lipi neno sahihi kati ya..

1. "Mbaka" au "Mpaka"

Mfano mtu aseme.....

"Mbaka sasa hakuna mshindi katika Pambano hili"

au

"Mpaka sasa hakuna mshindi katika pambano hili"

Yupi yuko sahihi hapo?


2. "Embu" vs "Ebu"

Mfano:

"Embu! Sogea nipite nikuoneshe"

Au

"Ebu! Sogea nipite nikuoneshe"


Kipi ni sahihi na kipi sioo Sahihi

Karibuni tujadilianeeee
Wewe ni mtanzania? Au umejifunza kiswahili ukubwani??

Mpaka na Hebu.

Aisee, basi una mengi pia unakosea ila hayo mawili ndio umegundua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom