KASULI
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 599
- 669
Wadau lipi neno sahihi kati ya..
1. "Mbaka" au "Mpaka"
Mfano mtu aseme.....
"Mbaka sasa hakuna mshindi katika Pambano hili"
au
"Mpaka sasa hakuna mshindi katika pambano hili"
Yupi yuko sahihi hapo?
2. "Hembu" vs "Hebu"
Mfano:
"Hembu! Sogea nipite nikuoneshe"
Au
"Hebu! Sogea nipite nikuoneshe"
Kipi ni sahihi na kipi sioo Sahihi
Karibuni tujadilianeeee
Mara nyingi haya maneno yanatumiwa sana na Wakazi wa Dar Es Salaam na Maeneo ya Pwani
1. "Mbaka" au "Mpaka"
Mfano mtu aseme.....
"Mbaka sasa hakuna mshindi katika Pambano hili"
au
"Mpaka sasa hakuna mshindi katika pambano hili"
Yupi yuko sahihi hapo?
2. "Hembu" vs "Hebu"
Mfano:
"Hembu! Sogea nipite nikuoneshe"
Au
"Hebu! Sogea nipite nikuoneshe"
Kipi ni sahihi na kipi sioo Sahihi
Karibuni tujadilianeeee
Mara nyingi haya maneno yanatumiwa sana na Wakazi wa Dar Es Salaam na Maeneo ya Pwani