Naomba kufahamishwa maneno yafuatayo yanayotumika kumu"address" viongozi mbalimbali wa kiimla na wakisiasa.
Emperor na empress
Chief
Prince na princess
Crown prince na crown princess
His/her...
Aisee binafsi nakerwa sana na msemo Nyani haoni kundule
Sababu: hilo neno kundule naona kama nimetukanwa vile [emoji2]
Wewe ni msemo gani wa kiswahili una kukera? Na kwanini?
Kuna msemo watu huwa wanasema mtu huyu au yule ana gubu au chama fulani wafuasi wake wanagubu sielewi neno gubu linaashiria nini mwenye kuelewa atiririke hapa tujue.
Kuna mzee mmoja aliniambia...
Binafsi nilimuona hayati Magufuli kama mtu mwenye matendo makali na Tundu Lisu kama mwenye maneno makali.
Naomba maoni yenu katika hili Matendo makali vs Maneno makali
Mungu ni mwema wakati wote!
Wapendwa wanangu, naamini hamjambo. Mie baba yenu ni mzee wa zama za dhahabu. Huwa nasikia neno kimeumana. Sijui maana yake. Mara ya kwanza, nililisikia kule Nairobi aka Nairobbery Kenya, ila...
Safari inaanzia, kwetu nyumbani ndani
Njaa imevamia, kilimo chawa mtihani
Mifugo wamelishia, yote mazao shambani
Tulivyowakatazia, kazuka vita taflani
Kila mmoja achunge, yake mipaka yakazi.
Na...
1 Sentensi Shurutia.
ni sentensi inayohuundwa kwa viambishii kama -ngeli-, -nge-, na -ngali-.
kwa mfano:
(1) ningelikutana naye angelinisaidia sana.
vilevile aina hii ya sentensi hutumia...
Mwalim xaid naomb unixaidie kuomba vyuo maana xixta xalm hajanixaidia amexem unxaidie wewe ama ukiwez, ntatm hela 2mor
..
Tatizo la hawa vijana ni nini mazoea ya kuandika au ni rika
Wakuu,
Kuna hizi kauli wanatumia hawa mabondia zina maana gani na lugha za kabila gani?
Dulla mbabe "Afile munu asigale munu"
Twaha Kiduku " Mako dinda Mako Stamina"
Kama nimekosea...
Pamoja na sintofahamu ya maneno hayo ninayokutana nayo lakini hii sasa inapelekea kukosa umakini wa maneno hasa Kundi na Kikundi.
Kawaida kwenye vyombo vya habari hasa DW au BBC lugha ya Kiswahili...
Kwa nilivyosikia mimi neno shikamoo maana yake ni "niko chini ya miguu yako.
Pia nimesikia hilo neno ni la kitumwa na lilikuwa linatumiwa na watumwa kuwaonyesha heshima wakuu wao.
Kuna baadhi...
kwanini?
Lugha ya kijerumani ni lugha yenye herufi sawa na za kiswahili kasoro chache tu na hazifiki 5.
Hakuna kitamkwa kilichopo katika lugha ya Kijerumani ambacho hakipatikani katika kiswahili...
Ngoja nihende moja kwa moja kwenye oja. Ivi uu uhandishi watu wanaondoa irabu na kuweka konsonanti [h] ama kinyume chake humetokeha wapi? Ni shule mbovu hau ni stahili mpya? Ninadhani mumenihelewa.
#Hakika Jf ni mnyukano, Nami ni nani nisiunge mkono.
Kilicho bora milioni tano, kuwa balozi si kibano.
Nitashinda huu mtifuano, ukinipa hiyo yako tano.
Kwa maandishi Ambatano, na hoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.