Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Je, Unaelewa Lingala - Oyebi Lingala? Sielewi Kilingala vizuri - Nayebi Lingala malamu te. Ninaweza kuzungumza Kilingala - Nakoki koloba Lingala. Watie moyo wote - Lendisa bandeko nyonso / nyoso...
7 Reactions
25 Replies
5K Views
Naomba tofauti kati ya haya maneno: IDENTITY , CHARACTER, & BEHAVIOR
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Naombeni kufafa bulawayo
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kufahamishwa maneno yafuatayo yanayotumika kumu"address" viongozi mbalimbali wa kiimla na wakisiasa. Emperor na empress Chief Prince na princess Crown prince na crown princess His/her...
3 Reactions
9 Replies
4K Views
Aisee binafsi nakerwa sana na msemo Nyani haoni kundule Sababu: hilo neno kundule naona kama nimetukanwa vile [emoji2] Wewe ni msemo gani wa kiswahili una kukera? Na kwanini?
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Kuna msemo watu huwa wanasema mtu huyu au yule ana gubu au chama fulani wafuasi wake wanagubu sielewi neno gubu linaashiria nini mwenye kuelewa atiririke hapa tujue. Kuna mzee mmoja aliniambia...
1 Reactions
8 Replies
41K Views
Heshima mbele wakuu Naomba kuuliza WAHAFIDHINA maana yake nini?je neno ni la lugha gani?ni sifa zipi zinazomtambulisha mhafidhia kwa jamii?
1 Reactions
17 Replies
11K Views
Binafsi nilimuona hayati Magufuli kama mtu mwenye matendo makali na Tundu Lisu kama mwenye maneno makali. Naomba maoni yenu katika hili Matendo makali vs Maneno makali Mungu ni mwema wakati wote!
0 Reactions
1 Replies
787 Views
Wapendwa wanangu, naamini hamjambo. Mie baba yenu ni mzee wa zama za dhahabu. Huwa nasikia neno kimeumana. Sijui maana yake. Mara ya kwanza, nililisikia kule Nairobi aka Nairobbery Kenya, ila...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Safari inaanzia, kwetu nyumbani ndani Njaa imevamia, kilimo chawa mtihani Mifugo wamelishia, yote mazao shambani Tulivyowakatazia, kazuka vita taflani Kila mmoja achunge, yake mipaka yakazi. Na...
0 Reactions
0 Replies
406 Views
Ukweli kwangu kinaya, mazuri sipigi kumbo, Na wala sioni haya, kunangwa na masombombo, Nikiyaona mabaya, nitaimba kama wimbo, Ukweli kwangu kinaya, unisikize mwajimbo, Bure ukinichukiya, naona...
1 Reactions
0 Replies
632 Views
1 Sentensi Shurutia. ni sentensi inayohuundwa kwa viambishii kama -ngeli-, -nge-, na -ngali-. kwa mfano: (1) ningelikutana naye angelinisaidia sana. vilevile aina hii ya sentensi hutumia...
2 Reactions
0 Replies
7K Views
Mwalim xaid naomb unixaidie kuomba vyuo maana xixta xalm hajanixaidia amexem unxaidie wewe ama ukiwez, ntatm hela 2mor .. Tatizo la hawa vijana ni nini mazoea ya kuandika au ni rika
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu, Kuna hizi kauli wanatumia hawa mabondia zina maana gani na lugha za kabila gani? Dulla mbabe "Afile munu asigale munu" Twaha Kiduku " Mako dinda Mako Stamina" Kama nimekosea...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Pamoja na sintofahamu ya maneno hayo ninayokutana nayo lakini hii sasa inapelekea kukosa umakini wa maneno hasa Kundi na Kikundi. Kawaida kwenye vyombo vya habari hasa DW au BBC lugha ya Kiswahili...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa nilivyosikia mimi neno shikamoo maana yake ni "niko chini ya miguu yako. Pia nimesikia hilo neno ni la kitumwa na lilikuwa linatumiwa na watumwa kuwaonyesha heshima wakuu wao. Kuna baadhi...
7 Reactions
356 Replies
115K Views
kwanini? Lugha ya kijerumani ni lugha yenye herufi sawa na za kiswahili kasoro chache tu na hazifiki 5. Hakuna kitamkwa kilichopo katika lugha ya Kijerumani ambacho hakipatikani katika kiswahili...
4 Reactions
36 Replies
8K Views
Ngoja nihende moja kwa moja kwenye oja. Ivi uu uhandishi watu wanaondoa irabu na kuweka konsonanti [h] ama kinyume chake humetokeha wapi? Ni shule mbovu hau ni stahili mpya? Ninadhani mumenihelewa.
9 Reactions
67 Replies
4K Views
#Hakika Jf ni mnyukano, Nami ni nani nisiunge mkono. Kilicho bora milioni tano, kuwa balozi si kibano. Nitashinda huu mtifuano, ukinipa hiyo yako tano. Kwa maandishi Ambatano, na hoja...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
2021年4月23日至4月26日,上海外国语大学东非研究中心主任、东方语学院斯瓦希里语专业负责人马骏老师,东非研究中心副主任、斯瓦希里语专业宁艺老师率领斯瓦希里语专业5名同学赴京参加“全国非洲语言教学研讨会暨首届中国高校非洲语言学科竞赛”,随后前往清华大学国际与地区研究院参加交流研讨活动。...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom