superwarkills
Senior Member
- Aug 18, 2014
- 136
- 83
Ndugu wadau hivi karibuni kumekuwa na matumizi makubwa sana ya neno chawa,najua chawa halisi (waliowafuga) wengi mnawafahamu ,je ni sawa jamii kuitana chawa ili hali chawa ni mdudu.
Tafsiri isiyo rasmi mtaani wanasema chawa ni kama mpambe na kiaina kama kuwadi hivi. Je ni kweli..basi
BAKITA watupe tofauti ya neno MPAMBE na CHAWA ni lipi sahihi kwa matumizi ya sasa na kwa nani ?
Tafsiri isiyo rasmi mtaani wanasema chawa ni kama mpambe na kiaina kama kuwadi hivi. Je ni kweli..basi
BAKITA watupe tofauti ya neno MPAMBE na CHAWA ni lipi sahihi kwa matumizi ya sasa na kwa nani ?