Wengine tuliobaki ,tunjiani twasogea.
Mkapa ameondoka, katu hatorudi tena.
mengi ametufanyia kwa hisabu sikumbuki
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Kama wanafunzi bora,tuyasome yake mema.
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Sisemi hana mabaya,ya pemba si ya kuigwa
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Majuto ni mjukuu,tuige yake mazuri
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Tanzania yetu sote,wengine kwao ni gumu
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Moja haliwezekani,sote tuwe ni Raisi
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Nchi huwa na mmoja,na wote akiwalinda
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Haki bora kuitenda,hata kwa wako swahiba
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Magufuli hala hala,mbele yako uchaguzi
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Hebu tangazia umma, za wizi uzikatae
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Ushindi uliobora ,si wa kuzidisha moja
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Mwisho wa siku majuto,Mkapa ameandika
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena.
.....Endelezeni ka mna ubavu
Mkapa ameondoka, katu hatorudi tena.
mengi ametufanyia kwa hisabu sikumbuki
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Kama wanafunzi bora,tuyasome yake mema.
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Sisemi hana mabaya,ya pemba si ya kuigwa
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Majuto ni mjukuu,tuige yake mazuri
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Tanzania yetu sote,wengine kwao ni gumu
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Moja haliwezekani,sote tuwe ni Raisi
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Nchi huwa na mmoja,na wote akiwalinda
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Haki bora kuitenda,hata kwa wako swahiba
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Magufuli hala hala,mbele yako uchaguzi
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Hebu tangazia umma, za wizi uzikatae
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Ushindi uliobora ,si wa kuzidisha moja
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Mwisho wa siku majuto,Mkapa ameandika
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena.
.....Endelezeni ka mna ubavu