Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kama ilivyo ada basi uzi huu ni maalum wa kuelekezana kutamka maneno ya kiingereza ambayo yanakuchanganya kutamka, weka utasaidiwa humu.
3 Reactions
554 Replies
73K Views
Naomba nisaidiwe kutafsi maneno hafuatayo kwa lugha ya kiingereza: i. ASTASHAHADA. ii.STASHAHADA iii. SHAHADA iv. SHAHADA YA UZAMILI v. SHAHADA YA UZAMIVU Natanguliza shukrani
1 Reactions
7 Replies
70K Views
Kwa wale wajuzi wa lugha yetu tofauti ya maneno hayo ni nini hasa? Michango ya wadau Hayati ni neno la kiarabu likimaanisha uhai, kwa hiyo mtu aliyekufa na kuacha Legacy yaani bado kuna vitu...
0 Reactions
140 Replies
70K Views
Jakaya =Za Nyumbani Kikwete = Asiyejali Namnani Havae = Vipi Aisee Uitwanga nani? = Unaitwa Nani? Watonga wapi = Unaenda wapi Nigavie Havae = Nigawie Aisee(Jamaa) Nienda kukodhoa kidogo =...
0 Reactions
87 Replies
70K Views
Nimeorodhesha tabia mbalimbali za makabila yetu ili kuangalia ni wapi tumekosea na tujirekebishe ili kuondoa sura yetu mbaya machoni kwa jamii. Hapa kila mtu akiikana nafsi yake na kuikataa tabia...
7 Reactions
181 Replies
70K Views
DIBAJI Ni kawaida kwa watu kuvutiwa zaidi na simulizi za kusisimua zinazohusu maisha ya watu wengine. Ziwe ni simulizi za kweli au za kutunga, uzoefu unaonesha kuwa hadithi hizi zimekuwa...
0 Reactions
1 Replies
65K Views
Kumekuwepo na kasumba ya watu kutamka maneno ya kingereza kimakosa ima kwa kujua au pasina kujua, ifuatayo ni orodha ya hayo maneno, waweza ongezea mengine msomaji wangu ikiwa unayo...
12 Reactions
574 Replies
64K Views
It s not a competition but let us be entertained and entertain ourselves by debating . Other may also join but only english. Feel free and lets not be afraid of "kuchapia" as we did in in...
11 Reactions
764 Replies
64K Views
WanaJF, Jana kuna MwanaJF alianzisha thread akilalamika kuwa Mbunge wake wa Arumeru Mashariki ni mgonjwa sana na hivyo hawana mwakilishi jimboni kwao. Alitaka kujua serikali inaonaje kama...
13 Reactions
278 Replies
63K Views
Sikuwahi kufahamu kuwa katika kiswahili kuna neno linaitwa mubashara, likimaanisha "matangazo ya moja kwa moja yaani live". Jana kwa mara ya kwanza nilivyoona hilo neno chini ya nembo ya ITV...
13 Reactions
261 Replies
63K Views
Nilikua mwajiriwa katika kampuni moja maarufu jijini dare s salaam , katika kuajiriwa kwangu huko nikawa msaidizi maalumu wa bosi wa kampuni ile , basi siku moja moja nilikuwa naenda kujirusha na...
1 Reactions
27 Replies
60K Views
Waswahili wengi hufikiri kwamba hakuna maana halisi ya computer na badala yake wanatohoa neno hilohilo nakuandika "Kompyuta". Hivyo ni makosa maana halisi ya Computer ni neno "NGAMIZI" na kwa...
2 Reactions
17 Replies
60K Views
Heshima yenu wakuu, mara nyingi mtu unaweza kuwa mzuri sana kwa grammar lakini tense zikakuumbua. Mathalani; >She love her dady very much badala ya >she loves her dady very much. PRESENT SIMPLE...
5 Reactions
105 Replies
59K Views
Praying Mantis Hivi anaitwaje kwa Kiswahili?
0 Reactions
41 Replies
59K Views
Wadau, siku hizi moyo wa kusoma vitabu vya aina zote-vya Taaluma na Riwaya umepungua sana na imepelekea Watunzi wa Riwaya kutoandika tena vitabu. Leo nawakumbuka baadhi ya Waandishi/ Watunzi wa...
5 Reactions
203 Replies
57K Views
Naomba kuondolewa ujinga, nimeulizwa na mtoto mdogo anayesoma darasa la tatu nimeshindwa kumjibu na kuishia kumpigia stori nyingine ili asahau swali lake, lakini kamekomaa kila muda...
1 Reactions
116 Replies
56K Views
Naomba msaada kwa yeyote anayejua anifahamishi hizi mbegu zinazoitwa kwa kiiingereza Flax Seed au Lin seed zinaitwaje kwa kiswahili na ni wapi naweza nikazipata Dar es salaam, au mahali...
0 Reactions
16 Replies
56K Views
Wadau nisaidieni kwa kweli
1 Reactions
15 Replies
54K Views
Nimekuwa nalitumia, kusikia sana msemo huu "CHAMTEMA KUNI" kwa muda mrefu sasa katika maisha yangu ya kila siku. Najua kuna maneno yanatumika kwa maana hiyo hiyo kama vile; kilichomtoa kanga...
2 Reactions
140 Replies
54K Views
HII NDIYO MAANA HALISI YA NENO KATERERO Rafiki yangu mpendwa, naandika maneno haya nikiwa na uhakika kuwa yatakufikia na kuweza kukutoa katika kifungo cha mawazo. Ni wajibu wangu na ni haki yako...
1 Reactions
9 Replies
54K Views
Back
Top Bottom