Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wadau naombeni kujua maana ya ''ABROAD'' kwa mapana zaidi plz wa jf kuna mabishano yanaendelea hapa almanusura zipigwe
0 Reactions
2 Replies
1K Views
natafuta maana halisi ya neno sharo baro
1 Reactions
7 Replies
26K Views
Can a life pass before yourself? Sometimes a hope isn't anything, just like night and day. Can my heart fall for someone more? Life is something that no one understands. Just like punishments and...
0 Reactions
1 Replies
869 Views
Jaman tusaidiane, mpaka leo bado kuna baadhi ya sehemu tunachanganya matumizi ya a and the, so i would like you guys to tell me the proper use of a and the, where do we use a and where do we use...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Elimu haina mwisho na no one knows everything.Samahani wadau naomba maelezo kuhusu matumizi ya maneno haya hasa maofisini.You are accountable,you are responsible,you will be held accountable...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Katika gazeti la RAI la Jana (09/08/2012) katika maoni kulikuwa na misamiati mipya ya kiswahili. Misamiati hiyo ni: ICU (intesive care unit) = SADARUKI. Serikali ya Mseto (coalition government) =...
1 Reactions
19 Replies
19K Views
Wanajamvi kwa anayejua kiswahili cha Dragoni
0 Reactions
2 Replies
10K Views
Gaidi Mtaani, or "Terrorist on the Street" in Swahili, was introduced in April and has published two issues in Swahili and English. The magazine's editorial says it drew inspiration from Inspire...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nitakupa, atakupa mbele, hujapewa mbele, utapewa nyuma, nitakupa nikikaa vizuri, ngoja isimame nikupe, subiri asimamishe nikupe, hivi nilivyo kaa nita kupaje, utapewa tulia, nikupe mara ngapi...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Nilitaka kuuliza "Baba mimi ni mtoto wa ngapi kwenye familia?" hivi tunasemaje kwa kiingereza?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa utofauti wa maneno haya wakati, wakaa, wasaa na muda.
0 Reactions
0 Replies
903 Views
1.kG itakuwa ni suruhisho lamatatizo 2.comment za kutaka afanye nini kitoe 3. we want maendeleo, bado tunapiga mark time mr president 4.mi napinga sie kunufaika na vijiasilimia vilivokuwepo 10% 5...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanajamii naomba msaada wa kuandika muhtasari baada ya kupitishwa kwa katiba,pia msaada wa kuandika barua ya kuomba kusajili shirika katika wilaya
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1. mazali 2. tumeshoka (sio tumechoka) 3. mitaala 4. "kulunafisini dhalkatul maut" 5. nyanja 6. mdau Asanteni sana!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hivi Laptop kwa kiswahili fasaha ni nini?
1 Reactions
28 Replies
34K Views
Ninapokutana na sentensi kama hili "Katika sherehe za kumsimika ofisini", huipita mbiombio kiaina nikidhani ni tusi. Wewe unalionaje?
1 Reactions
6 Replies
14K Views
Mtu asiyefunga mwezi wa Ramadhan huitwa KOBE. Swali: nini asili ya jina hili? Kuna uhusiano gani kati ya asiyefunga na mnyama kobe? Kwa nini asingeitwa NGURUWE kabisa kwasababu mnyama huyo ni...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
anayejua anambie
0 Reactions
20 Replies
12K Views
Salut Mon Amis! Jamani nahitaji mwalimu wa Kifaransa asap, wa online au/na offline! Merci beaucoup! PS. Mademoiselle RussianRoulette where are you? Je ne comprende pas Française! Moi voulez...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom