kuna dogo mmoja alikuwa anafuatilisha tangazo la EATV!!! "together tunawakilisha" nikamuuliza together maana yake nini akasema "tunawakilisha" hayyyya tena na we tupia lako ambalo ulilielewa...
Wakuu.
Natambua heshima ya hali ya juu ya jukwaa hili ikiwa ni pamoja na kuwa daraja la kupitisha habari na taarifa kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine.
Hata hivyo mara kadhaa hapa...
Kumekuwepo maswali kadha wa kadha toka kwa wadau wakitaka kujua maana ya UTAKATISHAJI FEDHA (Money laundering), wengine huita "PESA/FEDHA CHAFU" na tumeona ni vema ikaeleweka kwa lugha rahisi kwa...
I say, hello to you all!
Lets translate our Swahili proverbs in English.
Lemme start:
1. Where it slopes down, is where it slopes up,
2. Today is today. He who says tomorrow is a liar,
3. When...
Habari, nimetunga riwaya ambayo nategemea nitapata maoni yenu kwani iko mbioni kuchapishwa. Na hapa nimeona niwawekeeni kitabu hicho na nitarudi kupata maoni yenu baada ya kukisoma. Nategemea...
Wadau naomba tusaidiane, eti nasoma degree ya kwanza, St.Augustine University of Tz( branch ya tabora) sheria ni lazima Utafiti uwe kwa lugha ya kiingereza hata kama unasoma kiswahili. Je...
I could be....
Someone you can run to
When you are a loner
Just like a flower
Spreads its gay arms
Embracing the bee
To suck its nectar..
I could be..
Someone you can count on
When everyone else...
Jua lililokuwa limeutawala mchana wa siku hiyo lilimezwa na mawingu, ambayo yalitanda na kuliziba anga kama blanketi kubwa lililotandikwa mbiguni. kiupepo kilianza kuvuma na kubeba takataka...
Ndugu wana JF.
Nimefurahishwa na mazungumzo yaliyoongozwa na Mtangazaji aliyewauwa CCM wakati wa Mchakato majimboni maarufu kama SHABAN KISSU (KIWEMBE) katika kipindi cha LULU ZA KISWAHILI...
Natafuta mdhanini atakayenidhami kwenda nchini Afrika ya Kusini kwenda kufundisha KISWAHILI. Baadhi ya taasisi zisizo za kiserikali, zimeanzisha mafunzo ya lugha ya kiswahili huku zikikosa walimu...
Wataalam wa lugha hasa wale wanaoketi mbele ya tbc juzi waliniumiza kichwa kwa kusema kuwa neno ''KUFUNDISHA'' lina maana kutoa elimu ya masuala yaufundi(mchundo) lakini yule anayesimama mbele ya...
Naomba kusaidiwa maana ya Unazi, utaskia mtu anasema "usilete unazi wewe" au "acha unazi", inakuwa na maana gani?
Gaijin, kiraia, SMU and 16 others like this.
Jaman kiswahili kina kuchapia kwake mfano mm niliwahi kusema mrisho ngisa@mrisho ngasa,usipo ziba ukuta utajenga ufa@usipo ziba ufa utajenga ukuta na mengne mengi.Najua kila mtu anakosea je...
Jamani mtanisamehe kama hili lilishaulizwa lakini itakuwa pia kwa faida ya wale ambao hawakuona hapo kabla, haya maneno naona yamekuwa yakitumiwa kwa maana nyingi tofauti, je kuna mwenye kiswahili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.