MAMMAMIA JF-Expert Member Feb 26, 2008 3,811 1,603 Jul 31, 2012 #1 Ninapokutana na sentensi kama hili "Katika sherehe za kumsimika ofisini", huipita mbiombio kiaina nikidhani ni tusi. Wewe unalionaje?
Ninapokutana na sentensi kama hili "Katika sherehe za kumsimika ofisini", huipita mbiombio kiaina nikidhani ni tusi. Wewe unalionaje?
N Nonda JF-Expert Member Nov 30, 2010 13,358 4,304 Jul 31, 2012 #2 Kusimika ina maana nyingi. Neno moja maana nyingi. Mbali na viungo vya uzazi,kike/kiume kusimama Kusimika inatumika sana katika msamiati wa kanisa katika kuwateua na kuwakabidhi vyeo/ majukumu ya kiuongozi watumishi wa kanisha. Maana nyenginezo ni: Dictionary - Definition of kusimika. .. sow (kusimika), set up (kusimika), plant (kusimika), appoint (kusimika). Wigo na matumizi ya maneno katika lugha yananyambulika/yanakua na wakati. Kiswahili cha leo,sio cha jana, mkuu. Kusimika pia ni jina la mtu. link http://www.facebook.com/lumbani.kusimika au Kusimika Chatterjee
Kusimika ina maana nyingi. Neno moja maana nyingi. Mbali na viungo vya uzazi,kike/kiume kusimama Kusimika inatumika sana katika msamiati wa kanisa katika kuwateua na kuwakabidhi vyeo/ majukumu ya kiuongozi watumishi wa kanisha. Maana nyenginezo ni: Dictionary - Definition of kusimika. .. sow (kusimika), set up (kusimika), plant (kusimika), appoint (kusimika). Wigo na matumizi ya maneno katika lugha yananyambulika/yanakua na wakati. Kiswahili cha leo,sio cha jana, mkuu. Kusimika pia ni jina la mtu. link http://www.facebook.com/lumbani.kusimika au Kusimika Chatterjee
MAMMAMIA JF-Expert Member Feb 26, 2008 3,811 1,603 Jul 31, 2012 Thread starter #3 Asante sana Mkuu Nonda kwa maelezo na ufafanuzi. Ni kweli Kiswahili kinakua na wengine kinatuacha njiani. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Asante sana Mkuu Nonda kwa maelezo na ufafanuzi. Ni kweli Kiswahili kinakua na wengine kinatuacha njiani.
danali JF-Expert Member Jan 30, 2012 1,135 1,674 Jul 31, 2012 #4 kwa upande wa wakwetu pba kusimika ni kusimama kwa uume (kudisa)
Dotworld JF-Expert Member Aug 10, 2011 4,035 3,773 Aug 2, 2012 #5 . Mkuu MAMMAMIA ... kwa mujibu wa Kamusi ya TUKI Neno Simika lina maana mbili: 1. simika = erect, set up. maneno mengine simikia; simikika; simikwa. 2. simika = install in office, appoint. maneno mengine simikia; simikana; simikika; simikwa. .
. Mkuu MAMMAMIA ... kwa mujibu wa Kamusi ya TUKI Neno Simika lina maana mbili: 1. simika = erect, set up. maneno mengine simikia; simikika; simikwa. 2. simika = install in office, appoint. maneno mengine simikia; simikana; simikika; simikwa. .
KakaJambazi JF-Expert Member Jun 5, 2009 18,711 12,067 Aug 2, 2012 #6 Kundinda pia sio matusi, BBC na radio za Kenya huwa wanatamka live, mfano,,Madocta waidindia serikali. Tanzania kwasababu akili zetu zipo masaburini, huwa haiwezekani kutamkwa kwenye vyombo vya habari kihivyo.
Kundinda pia sio matusi, BBC na radio za Kenya huwa wanatamka live, mfano,,Madocta waidindia serikali. Tanzania kwasababu akili zetu zipo masaburini, huwa haiwezekani kutamkwa kwenye vyombo vya habari kihivyo.
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,097 Aug 2, 2012 #7 Kusimika ilitokana na ile kisu ya kimasai (Simi) ambapo unapuichoma ardhini (kusimisha) unakuwa umeweka mamlaka juu ya kitu fulani
Kusimika ilitokana na ile kisu ya kimasai (Simi) ambapo unapuichoma ardhini (kusimisha) unakuwa umeweka mamlaka juu ya kitu fulani