Jukwaa la Historia

On JF:

https://www.instagram.com/reel/DIIoJOPtpCc/?igsh=MWpzdmVoeGRtam9rbg==
3 Reactions
1 Replies
297 Views
https://youtu.be/DrvRASg0n_M?si=-WYJZqPRWbtkwjmU
3 Reactions
19 Replies
894 Views
LUTHERAN PRIMARY SCHOOL MOSHI KAMA ILIVYOKUWA 1950s NA SASA Nilianza darasa la kwanza mwaka wa 1958 kwenye jengo hilo hapo chini lililokuwa ni Kanisa la Kilutheri. Baada ya miaka mingi nilifika...
40 Reactions
112 Replies
10K Views
BAHASHA ILIYOBEBA KITABU KUTOKA KWA ALLY DAR ES SALAAM KWENDA KWA ALI NAIROBI Asalaam Aleikum Warahmatullah Wabarakatuh Sheikh Salim, Ahsante sana kwa kuniletea kumbukumbu ya Balozi Chirau Ali...
2 Reactions
2 Replies
376 Views
Mhando aliongeza kueleza kuwa pia alikuwa akimtambua mtu mwingine kwa jina la Piu Mtakubwa Lugangira au Father Tom na au Uncle Tom.Alimtambua ,alisema baada ya kumpeleka kwa mganga mmoja wa...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
"A JOURNEY" MY LIFE, SPEECHES & WRITINGS" KUTOKA KALAMU YA JUMA VOLTER MWAPACHU Kuna wakati naamini hata William Shakespeare alikuwa anaishiwa na maneno kalamu ikabakia inaning'inia mkononi na...
11 Reactions
18 Replies
2K Views
MOYO MWEMA WA JUMA MWAPACHU Tulikuwa tumeshamaliza kuzika taratibu tunarudi kwenye magari yetu tuondoke Pande turejee Tanga mjini. Akanijia mmoja wa vijana walionipokea Tanga nilipohamia mwaka...
6 Reactions
4 Replies
625 Views
Katika uchumi nguvu za kijeshi na ushawishi wake katika dunia Hii
5 Reactions
225 Replies
79K Views
Niliwahi kusoma makala moja iliandikwa na marehemu Ali Nabwa,kwenye gazeti la dira,yenye kichwa cha habari,Zanzibar yafa dungu msokoni. Makala hiyo ilielezea ugomvi mkubwa sana kati ya karume na...
0 Reactions
0 Replies
723 Views
DEJAVU: ABRAHAM LINCOLN, RAIS WA MAREKANI ALIYEOTA KIFO CHAKE Katika historia ya dunia, kuna matukio ya ajabu ambayo yamewashangaza watu wengi. Moja ya matukio haya ni uwezo wa baadhi ya watu...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Miongoni mwa urithi muhimu kutoka kwa waislamu https://www.youtube.com/watch?v=h5N76AzNRYQ
0 Reactions
6 Replies
433 Views
Ushahidi wa Historia Kupitia Maneno ya Kawaida Maneno tunayoyatumia kila siku yanaweza kutufundisha mengi kuhusu historia. Mfano mzuri ni neno "algorithm," ambalo linatokana na jina la...
0 Reactions
2 Replies
331 Views
Wengi wanamfahamu Malkia Elizabeth II kama kiongozi wa Kifalme aliyedumu kwa muda mrefu, lakini wachache wanajua kuwa alikuwa fundi wa magari aliyepata mafunzo rasmi. Mnamo mwaka 1945, wakati wa...
4 Reactions
3 Replies
445 Views
Kutana na Gazeti lililotabiri kuhusu simu kushikwa mkononi na kuwekwa kwenye mifuko Nani anakumbuka kama Kuna siku itafika simu itaweza kuwekwa kwenye mifuko au kutembea nazo na kuwa sehemu ya...
3 Reactions
8 Replies
766 Views
PROF. KABUDI: HISTORIA YA WANAWAKE WALIOPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA Siku mbili hizi zimekuwa siku za furaha kwangu kwa kuona katika hadhira kubwa sana za CCM wapigania uhuru waliosahauliwa kwa...
1 Reactions
4 Replies
778 Views
Utangulizi Juma Mwapachu alikuwa mwanafunzi wa shule ya msingi Nansio, Ukerewe wakati Abdul Sykes na Ali Mwinyi Tambwe walipokwenda Nansio mwaka wa 1953 kumuona baba yake, Hamza Kibwana Mwapachu...
4 Reactions
15 Replies
5K Views
Huyu ndie Abdulahaman Shimbo Gwiji la Vita lililoipa sifa JWTZ kimapigano nje ya nchi Comoro msikilize https://youtu.be/d71PNHcO8sM?si=DgJ2O2LFYCYfumPQ
1 Reactions
18 Replies
850 Views
KUTOKA MAZIKONI: CHIRAU ALI MWAKWERE, JUMA MWAPACHU NA ALLY SYKES Ally Sykes hakupata kunieleza kama alipata kukutana na Chirau Ally Mwakwere. Ali Mwakwere ndiyo kanifahamisha jana tukiwa Pande...
1 Reactions
2 Replies
495 Views
Kuna nadharia kificho (conspiracy theory) kwamba Sokoine na Imran Kombe waliuawa na kwamba vifo vyao vinahusiana. Je, kuna maelezo kishawishi yapi (convincing) kufanya nadharia hiyo iwe na...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Unapoitazama nchi ya Rwanda leo huwezi kuamini kwamba kuna wakati ilitawaliwa na Wahutu tangu ilipopata uhuru mwaka 1962. Nchi hiyo iliyokuwa koloni la Ubeligiji ilipata uhuru wake na kukabidhi...
3 Reactions
5 Replies
845 Views
Back
Top Bottom