Ikulu ya Dar es salaam ilianza kama madrasa

Ikulu ya Dar es salaam ilianza kama madrasa

Ni sawa ,Kwa hyo kuliwa na Aya nn manufaa yake😔
 
Ni sawa ,Kwa hyo kuliwa na Aya nn manu
Ushahidi tu kuwa uislamu ulitangulia kwa karne kadhaa na waislamu ni wa mwanzo kabla ya wazungu.
Uislamu ulileta maendeleo makubwa Afrika yaliyokuja kubomolewa na wakoloni wakristo.
 
Ushahidi tu kuwa uislamu ulitangulia kwa karne kadhaa na waislamu ni wa mwanzo kabla ya wazungu.
Uislamu ulileta maendeleo makubwa Afrika yaliyokuja kubomolewa na wakoloni wakristo.
Umeongea vitu kwa kuvichanganyachanganya.
Mzungu yupo kitambo
Uislam ni dini ya juzi tu
 
Umeongea vitu kwa kuvichanganyachanganya.
Mzungu yupo kitambo
Uislam ni dini ya juzi tu
Unajua kuwa mzungu wa mwanzo ni akina Livingstone miaka ya karibuni.Alipokuja yeye mwenyewe alioneshwa njia na akina Tipu Tip na alikuta uislamu umeenea mpak Kongo.
Pia soma hapo chini utaona Vasoda Gama hakujuwa njia ya kufika India mpaka alipooneshwa na waislamu wa Afrika Mashariki.

Marekani iligunduliwa kibahati mbaya wakati wakristo wakifukuzana na maendeleo ya waislamu

 
Ushahidi tu kuwa uislamu ulitangulia kwa karne kadhaa na waislamu ni wa mwanzo kabla ya wazungu.
Uislamu ulileta maendeleo makubwa Afrika yaliyokuja kubomolewa na wakoloni wakristo.
kumbe haya ndio matunda ya dini 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
 
Back
Top Bottom