Nilipokua mdogo kati ya miaka 10na kuendelea niliishi na Tamaduni mbalimbali katika maeneo nnayo ishi.
Tamaduni hizo nilizoea kuziona katika maonesho mbalimbali ikiwemo ktk zifa za kitaifa na...
Leo mrema ameamua kutupa ukweli, ifahamike kwamba kuna watu walijitokeza kuwalipia wafungwa waliotakiwa kulipa faini wakashindwa na hivyo kupelekwa mahabusu kutumikia kifungo, lakini...
Canaan Sodindo Banana (Machi 5, 1936 - 10 Novemba 2003) alikuwa Rais wa kwanza wa Zimbabwe kutoka Aprili 18, 1980 hadi Desemba 31, 1987
Wakati wa uhai wake, Banana ndiye aliyeviunganisha vyama...
Nilizaliwa Tanga ni mda mrefu nimemaliza miaka yangu katika jiji hili la mapenzi yalipozaliwa lakini pia nimepata bahati ya kutembea miji mingi Tanzania bara lakini sijawahi kuona mji ambao una...
Home
Monday, 2 January 2017
DR. RAWYA SAUD AL BUSAID KITUKUU CHA TIP TIP
Utangulizi
Kila unapoitafiti historia ya Zanzibar ndipo inapozidi kukushangaza na kukustaajabisha khasa katika...
Ilikuwa Julius Nyerere akiwa rais wa TANU ndiye aliyemshawishi Zuberi Mtemvu kuacha kazi na kuwa mtumishi wa kuajiriwa wa TANU.
Mtemvu akaacha kazi kama Assistant Wlefare Officer na kuwa mtumishi...
--------------IN FACT-------------------
NCHI AMBAZO PENGINE HATIZA SURVIVE VITA YA III YA DUNIA.
Wengi wetu tuna shauku ya kujua ni kitu hasa kitatokea endapo vita ya III ya dunia...
Historia ya hili linaloitwa Kabila la wagogo halipo na kwamba lilibuniwa tu na Wakoloni" Habari kamaili ipo hapo chini, kwa hiyo kwa kifupi hakuna kitu kama Kabila la Wagogo kama ilivyo hakuna...
Jamani eti binadamu wa kwanza aliishi Tanzania, ninavyo fahamu Binadamu wa kwanza ni Adamu je, Adamu aliishi hapa Tanzania? tusaidiane jamani hizi history pasua kichwa. TTB yaitangaza Tanzania...
Mhariri wa Raia Mwema katika toleo lake la 15 - 21, Machi 2007 katika tahariri yake kwa kumuadhimisha marehemu George Kahama aliyezikwa jana ameeleza masikitiko yake kwa Tanzania kutokuwa na...
"UPINZANI UMEPOTEA TOEN HOJA ZA KUWAHUDUMIA WANANCH WALIO WACHAGUA" nashangaa sana kusikia wabunge wa chadema wamejiandaa kuwasha moto katika bunge linalo anza 04 april , kuhusu mh; paul...
"Katiba hii imenipa Madaraka makubwa sana, siku atakuja mtu ataitumia atakavyo na kuwa kama Mungu". - Mwl. Nyerere 1982.
“Ni kazi bure kwetu, na kwa kweli ni ubatili mtupu, kuwa na Taifa lenye...
Agri Care, Substantially provides accurate measures in preserving natural soil nutrients that has lately faced fatal degradation through direct application of chemicalized fertilizer form...
Wazawa wa Makete wakiwa nje ya Makete wanajitambulisha kuwa wote ni Wakinga.
Ukweli ni kwamba kuna makabila manne ambayo ni Kinga,Wanji,Magoma na Mahanji.
Wakinga ndio wengi kuliko makabila...
Hapa naomba nitawaletea historia fupi ikiambatana na Picha kwa aliekuwa Rais wa Afrika kusini, Nelson Mandela.
Sorry najaribu kuweka Picha naona zinagoma
Wanaukumbi,
Kuna mwenzetu mmoja kauliza swali.
Wangapi wanamkumbuka muasisi wa TANU Lameck Makaranga Bugohe?
Ninaweka hapa jamvini machache kuhusu shujaa huyu wa uhuru wa
Tanganyika.
Ijue...
Nadhani ni vema kuwaenzi na kuwakumbuka mashujaa wetu waliofariki kama alivyopendekeza PJ kwenye posti moja hivi. Mimi naanza:
1. Juma Kidogo
2. Baruti Mwesiga aka Kandambili
3. Profesa...
Kwa mtazamo wangu hawa ndio watu ambao wana ufahamu na uelewa mkubwa zaidi kuwahi kutokea Tanzania tangu tupate Uhuru!
1.Mwalimu J.K. Nyerere
2.Kambona
3.Mashilingi
4.Andrew Chenge
5.Daudi balali...
Mke wa Rais alipojua udhaifu wa mume wake, kwamba anampenda sana acha afanye vituko. Nchi ikasimama. Vurugu zote yeye. Nani wa kumzuia na ndiye usingizi wa Mkuu wa Nchi?
Watu waliufahamu ukali wa...