Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,913
- 30,255
Nani anayajua majina ya wanawake hawa wanne wanachama wa mwanzo wa TANU
na wanawake waliomsindikiza Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere Uwanja wa
Ndege wa Dar es Salaam safari ya kwanza UNO 1955?
Nani anayajua majina ya wanawake hawa wanachama wa tawi la TANU
Mgomeni Mapipa 1955?
Shariffa bint Mzee
Nani anawajua wapigania uhuru hawa wanawake wafuatao?:
Hawa bint Maftah
Fatuma bint Matola
Dharura bint Abdulrahman
Mama Mwana Mwema
Halima Selengia
Amina Kinabo
Mama bint Maalim
Sharifa bint Mzee
Sakina Arab
(Kuwataja wachache)